WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

Sina shida na cheo wala elimu yake. Baada ya hilo sema kitu au jibu maswali ili na mimi nasema vitu
Vizuri...

Baada bya kujibu hili nieleze ni kwanini unadhani amedanganya wakati anaonekana kuwa na wadhifa ambao unamfanya anachoongea kiwe na uzito mkubwa sana....
 
Nakubaliana na wewe kuhusu kutojadili hili humu. Kuhusu inconsistencies ya maelezo yangu kutoka kwenye bibilia ni sehemu moja tu au mbili nilichangananya wala isikupe shida nitakuwa nakupa mistari kabisa. Mimi sio padri wala pastor Bali Bible lover and believer ninapokosea nakubali na tunasonga sioni mantiki ya kutumia hilo kama utetezi wako. Tuendelee na mada
Good.....
 
Maoni na mitazamo mizuri, lakini hapo daniel2 na 7 rudi utulie vizuri. Hapo kuna Summary ya dunia hii na predictions zote za haya tunayojadili. huku tutaenda kwingine.
Kuhusu Ulimwengu kuwa chini ya Shetani, nitakuwa na mashaka kidogo kuamini hilo maana neno hilo limetumika kwa muktadha mbalimbali ila wakimaanisha earth yaani dunia na wakazi wake. Shetani alitupwa akaja Duniani Tukampokea kwa kukubali kuvunja akigizo la Mungu. LAkini Ulimwenge kwa Maana ya UNIVERSE hapa kwanza unazungumzia eneo kubwa saana lenye diameter zaidi ya CENTRIONS of DIameter tena hapo ni kadilio la chini sana. Na huwa nasema kila siku HAKA KADUNIA NA Usumbufu wake wote ni kama Punje ya Mchanga kwenye kitu kiitwacho MILK WAY GALAX (Geography form 3). Hapo ndio kwanza hujaanza safari ya Universe. Ndio maana nakwambia yawezekana Mungu aliumba viumbe wengine wengi nje ya Planet Earth ambao hawajawahi kukubaliana na Shetani. Wenda hao wakawa miongoni mwao (Japo hadi kesho validity ya Uwepo wao ni Fumbo kubwa kwa wanadunia ndio maana kwa sababu ni fumbo lisilo na jibu mnapata mwanya wa kupitishia ujanjaujanja kama unaoutetea). Huku nako ni kwengine tusizame sana
Mkuu aliyesema kuwa Shetani ni mkuu wa ULIMWENGU siyo mimi ni Yesu mwenyewe,labda uniambie kuwa unatilia mashaka maneno ya Yesu....

Ukubwa wa Ulimwengu huu hata uwe mkubwa namna ipi hauwezi kuzuia Shetani kuwa mkuu wake,huo ukubwa unakupa tatizo kwasababu unafikiria kimwili zaidi siyo kiroho.Kiroho hakuna cha ukubwa wala nini,kama unahitaji kwenda mahali penye umbali wa miaka maelfu kwa spidi ya mwanga ukiwa kwenye physical body ni chuni ya sekunde moja tena zaidi ya hapo ukiwa kwenye spiritual body....

Sijui ni wapi umepata ushahidi wa kwamba huko kwenye ulimwengu kuna viumbe wengine let alone kukubali ukuu wa Shetani.Nitafurahi ukinishirikisha jambo hili kwa ushahidi mkuu....
 
Hoja yako kubwa ni kwamba, MAendeleo ya Kitechnolojia duniani yalianzishwa na HAO vioumbe unaowahisi na wanadamu wamechangia kwa sehemu chache sana kitu ambacho sioni kama ni sahihi kwa sababu Mungu aliwaumba wanadamu na Uwezo mkubwa sana wa kubuni,kudesign na kuexplore nature na kuja na hitimisho ambalo ni maendeleo ya ajabu. Inabidi hayo maendeleo yaliyoletwa na ALLIENS yafanye kuonekana kama ni siri ya wachache kwa sababu hayana uhalisia na kimsingi sioni kama ni kweli.

a) Mungu anauwezo wa Kumpa mtu Maarifa na Ujuzi wa hali ya Juu kutengeneza chochote kile kwa faida ya wanadamu au jamii fulani Hili pia LInaua Hoja yako,

USHAHIDI UPO MWINGI TU
1/
KUTOKA 35
30 Mose aliwaambia Waisraeli; “Tazameni! Mwenyezi-Mungu amemteua Bezaleli, mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda.
31 Amemjaza roho yake, amempa ujuzi, akili, maarifa na ufundi,3
2 abuni michoro ya sanaa na kufanya kazi za kufua dhahabu, fedha na shaba;

33 achonge mawe ya kupambia na mbao kwa ajili ya kazi nyingine zote za kifundi.
34 Pia amemwongoza yeye na Oholiabu, mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani wawafundishe wengine.

35 Amewapa ujuzi wa kufanya kila kazi ya ufundi au ifanywayo na watu wa sanaa au mafundi wa kutarizi kwa sufu ya rangi ya buluu, zambarau na nyekundu na kitani safi iliyosokotwa, kwa kutumia ufundi wowote wa msanii.
Mkuu mbona hapa panazungumzia mambo ya kawaida kabisa?

Pamoja na hayo,hata kama ujuzi huu utakuwa ni wa ajabu,Mungu aliutoa kwa watu maalum tu kama unavyosoma hapo na siyo kwa kila mtu vinginevyo hakukuwa na sababu ya Musa kusema hayo...

Kikubwa zaidi,unadhani mwanadamu kabla hajanguka dhambini aliumbwa kwaajili ya mambo haya?
2:Kuna mahali pia nafikiri ni mambo ya nyakati, Mungu alimpa kiongozi skills za ajabu kutengeneza silaa za kivita, zenye uwezo na ustadi na technology ya wakti huo ya ajabu na kumshida kabisa adui yake. Kama wasingesema Mungu kahusika MKUU UNGELIAMBIA HUO NI UTHIBITISHO ALIEN WALIKUWEPO TANGU ZAMANI NA WAKO NYUMA YA HIGH TECH ZA WAKATI HUO. HApa ni kutaka kuhafifisha uwezo wa kiakili wa kibinadamu na Kukimbizia kwenye vitu visivyona uhakika kisa mtu flani alisema baadae akauwawa. Yawezekana na yeye alikuwa sehemu ya mpango maalum.
Mkuu haya mawazo ya kusema ningesema hivi au vile ni yako wewe siyo yangu,kama unahitaji mawazo yangu utaniuliza...

Kuhusu hao kutengeneza silaha za ajabu,hap panajieleza wazi kwamba ni kwa namna ipi walipata uwezo huo.Hapo juu nimeeleza hili....
b)WANADAMU WAMEUMBWA NA UWEZO MKUBWA SANA AMBAO UNATOSHA KUWAHALALISHA KUWA NYUMA YA MAENDELEO HAYA YA DUNIA NA SIO HAO VIUMBE UNAOWATETEA. KAMA WANAUWEZO ZAIDI YENU NI KWA FAIDA YAO NA HUKO WATOKAKO ILA HAWAKO NYUMA YA MAMBO YANAYOENDELEA DUNIANI.
Hapana, tena HAPANA kubwa....

Nijibu,mwanadamu kabla hajakosea alikuwa ameumbwa kuja kufanya haya unayoyasema hapa?
Mfano Ushahidi:
Huko huko Mesopotamia ambapo baadae wakawa na link na EGYPT ambapo maalifa ya kale pia yanapatikana. Mwaka 605-562 B.C. Alitawala Huyu NEBUCHADNEZER(Pia kaelezewa katika bibilia). Alikuwa ni Mwandadamu mwenye Uwezo wa hali ya juu. Super Geneous, Aliyeweza Kudesign na kudevelop Amazing archtectural structures ambazo zingine hadi leo bado duniani wanajiuliza alitengeneza vipi mfano THE FLOATING GARDEN. Hata alipotaka kujivuna kwa Uwezo mkubwa aliokuwa nao, Mungu aliingilia kati Akamfundisha somo (SOma Daniel). Huyu alikuwa mpagani tu ila kwa elimu zako za kufikilika ungezema Jamaa alikuwa allien au SUper Human. SIkatai kuwepo kwa viumbe nje ya Binadamu,Shetani na Maraika hata wao kuwa na uwezo mkubwa lakini sio product ya Shetani na Pili Hawako responsible na chochochte duniani maana Sio eneo lao la Utendaji wenda ni wa Malimwengu mengine maana tuko limited na dunia.
Wewe unakuja hapa na list ndefu sana ya watu,halafu hapo hapo huko mwanzo ulisema hawa jamaa walipata ujuzi huu huko Misri,huko Misri nani aliwapa?
H
iyo List ni mchanganyiko ya watu wa kila aina na kutoka sehemu mbalimbali dunianani wasio na uhusiano na Ugiriki. Nilichosema Wakigiki walitoa huo ujanja Egypt.
Greek philosophers Thales, Pythagoras, Democritus, and Plato studied with Egyptian masters.
Mkuu kwanza aliyeitaja Misri wa kwanza kwenye mjadala huu ni wewe ukijibu post yangu ya kwanza kwenye mjadala huu,hili usilikane kabisa.....

Post yako hii hapachini
Sababu halisi ya vita hizi kama zinavyofundishwa huku darasani na tumejibia mitihani binafsi huwa naziona nyepesi sana. Haiwezekani jamaa apigwe risasi huko Sarajevo kesho inakuwa ni sababu kubwa ya vita vya dunia. Hiki kilichoandikwa kinaweza kuwa kweli au kikabaki kama changamoto.
Hao wakina Plato na story zao sioni kama wananafasi kwenye Mada hii maana mimi huwa nawachukulia kama watu wadogo ambao almost maarifa yao yote wameyatoa misri. Kuna uzi nimewahi kuelezea hilo. Wamepata umaarufu sana kwa sababu ni Roman empire iliwaadmire sana hivyo kuchukuliwa kama founders wa classical philosophy lkn ni ujuzi wa kimisri. Na fujo zote zilianzia huko.

Yaani kwa ufupi ni wazungu wa kwanza kuwa wajanja wakati ujanja waliutoa misri na wazungu wote wanataka kuiaminisha dunia kuwa hao ndio elite wa dunia.

Pili,naomba uniwekee huo mstari ambao Mungu alimpa somo Nebukadneza kabla sijasema lolote kuhusu jambo unalosema alilifanya....
Science and technology to my opinion with evidence from bible(God can Give special Skill) and history Is the product of Human Invension bila kujali walianzia wapi. HAO ALLIEND KUWA BACKUP YA WORLD TECHNOLOGY NI MYTH NDIO MAANA INAFANYWA SIRI SIRI KULETA ATTENTION ZISIZO NA MASHIKO.

Karibu
Hili una elimu ndogo sana kulihusu....

Watu unaowaamini wanakueleza kwamba dunia sasa iko kwenye maendeleo makubwa kuliko wakati mwingine wowote ule,kitu ambacho binafsi sikubaliani nacho.Tunaelezwa kwenye biblia kwamba Adamu aliishi miaka 900,kwa akili ya kawaida tu,huyu binadamu wa kwanza na wewe na mimi na wengine wote walioko humu duniani leo ni nani alikuwa na uwezo mkubwa wa kimwili na kiakili?

1;Kama ni wewe na mimi,eleza ni kwanini leo tunaishi muda mfupi zaidi...
2;Kama ni Adamu,huoni kwamba uwezekano wa watu wa kale kuwa na uwezo mkubwa wa akili ni mkubwa kuliko leo?

Kama ni kweli kuwa Adamu alikuwa na uwezo mkubwa zaidi ni kwanini tunadanganywa kuwa tuna maendeleo wakati huu kuliko wakati mwingine wowote?
 
Vizuri...

Baada bya kujibu hili nieleze ni kwanini unadhani amedanganya wakati anaonekana kuwa na wadhifa ambao unamfanya anachoongea kiwe na uzito mkubwa sana....
Nitakuletea hapa maelezo yake yote kwa kina kutoka kwenye video zote mbili sio hii moja tu. Then tutaanza kuangalia uhalali au uharamu wa kimoja baada ya kingine. Point tuliyofika ni ya muhimu mno katika mijadala huu maana nimegundua hapa ndipo tunapishana wewe unaenda mashariki na mimi magharibi wote tukawa na ajenda Sawa NWO.
Kwa kukuongezea tu huyu sio wa kwanza kuzungumza alichokisema ndio ma wengine wakaenda mbali kabisa hadi mwaka 193o ambapo jamaa anaitwa H. G Wells aliitunga novel THE WAR OF THE WORLD s na siku ilipokuwa broadcasted live mfano nchini Ecuador 1949 watu walikimbilia makanisani kuhofia kuuliwa na hao UFOs taharuki hii iligharimu maisha ya zaidi ya watu 6 hadi 20 na hicho kituo cha radio kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali. Concept za kwenye hicho kitabu ndio nyingi huyu mdau alikuwa akijipa uhusika kuwa alipigana na aliens pia eti 1954 us gov event walisighn mkataba na aliens ili washirikiane kujenga hizo dumb sijui walikuwa wanaongea lugha gani. Kwa kukuongezea tu vyote hivyo ni conspiracy zisizo na ushahidi wa kutotiliwa Shaka.

Pia nilitaka nikusaidie Phil Schneider sio reliable source ya hizi conspiracy za UFOs. Bali ni Senetor Barry Goldwater, Lord Hill Norton mkuu kitengo flani British loyal army, Brigedia General Urther Axon.Director wa kwanza wa CIA Roscoe Hillenkoeter, waziri wa ulinzi wa Canada Paul Helyer hawa ndio watu walikaa wakawasikiliza hoja zao za UFOs na hadi kesho hawajawahi kuonyesha au kutoa ushahidi usio na Shaka. Huyu jamaa yako alikuwa anatembea na jiwe eti material yake anadai hayapo kwenye periodic table ya kibinadamu hence ni product ya ufo space craft s Bila hata kumpa mtu yoyote athibitishe anachokisema. Vyote anavyosema shahidi ni huyohuyo mtoa taarifa.

Hizi zilikuwa dondoo za awali ujue huyo jamaa sio wa kwanza na taarifa zake sio mpya. Na Mara ya kwanza taarifa hizi kusomwa kwenye media nchi mbalimbali kabla hata huyu jamaa hajazaliwa ziliteta taaruki. Nitaendelea kuona analink vipi na mada hapo juu ya vita ila kwa kuhusisha na hao viumbe wako
 
Mkuu mbona hapa panazungumzia mambo ya kawaida kabisa?

Pamoja na hayo,hata kama ujuzi huu utakuwa ni wa ajabu,Mungu aliutoa kwa watu maalum tu kama unavyosoma hapo na siyo kwa kila mtu vinginevyo hakukuwa na sababu ya Musa kusema hayo...

Kikubwa zaidi,unadhani mwanadamu kabla hajanguka dhambini aliumbwa kwaajili ya mambo haya?

Mkuu haya mawazo ya kusema ningesema hivi au vile ni yako wewe siyo yangu,kama unahitaji mawazo yangu utaniuliza...

Kuhusu hao kutengeneza silaha za ajabu,hap panajieleza wazi kwamba ni kwa namna ipi walipata uwezo huo.Hapo juu nimeeleza hili....

Hapana, tena HAPANA kubwa....

Nijibu,mwanadamu kabla hajakosea alikuwa ameumbwa kuja kufanya haya unayoyasema hapa?

Mkuu kwanza aliyeitaja Misri wa kwanza kwenye mjadala huu ni wewe ukijibu post yangu ya kwanza kwenye mjadala huu,hili usilikane kabisa.....

Post yako hii hapachini


Pili,naomba uniwekee huo mstari ambao Mungu alimpa somo Nebukadneza kabla sijasema lolote kuhusu jambo unalosema alilifanya....

Hili una elimu ndogo sana kulihusu....

Watu unaowaamini wanakueleza kwamba dunia sasa iko kwenye maendeleo makubwa kuliko wakati mwingine wowote ule,kitu ambacho binafsi sikubaliani nacho.Tunaelezwa kwenye biblia kwamba Adamu aliishi miaka 900,kwa akili ya kawaida tu,huyu binadamu wa kwanza na wewe na mimi na wengine wote walioko humu duniani leo ni nani alikuwa na uwezo mkubwa wa kimwili na kiakili?

1;Kama ni wewe na mimi,eleza ni kwanini leo tunaishi muda mfupi zaidi...
2;Kama ni Adamu,huoni kwamba uwezekano wa watu wa kale kuwa na uwezo mkubwa wa akili ni mkubwa kuliko leo?

Kama ni kweli kuwa Adamu alikuwa na uwezo mkubwa zaidi ni kwanini tunadanganywa kuwa tuna maendeleo wakati huu kuliko wakati mwingine wowote?
Kwa kuwa ni muumini wa bibilia basi unafnya mjadala kuwa raini zaidi.
Soma Daniel 12:4
But thou, O Daniel, shut up the words, and seal the book, even to the time of the end: many shall run to and fro, and knowledge shall be increased.

MUNGU anamwambia Daniel akifunge kitabu chake maana sio cha wakati huo hayo mambo ni ya wakati wa siku za mwisho. Na akasisitiza siku za mwisho watu wataenda huku na kule na MAARIFA YATAONGEZEKA. Huu Ni unabii wa siku zetu. Adam alikuwa hapandi ndege, Goliath hakutumia AK 47,
Kimsingi ninaamini kwa unabii na utabiri huu leo maarifa ni makubwa kuliko wakat wa nyuma na Mungu anasupport hilo chief. Umri kupungua ni madhara ya Muda mrefu ya dhambi.
So usiwape credit hao ufo Bali ni sisi sisi tu.
 
Hayo ni maandalizi ya serikali moja ya dunia, na dini moja ya dunia, sarafu moja, na kutokana na ishara zinazoonekana muda si mrefu hawa jamaa wataiteka dunia na kuiweka chini ya himaya yao.Shetani yupo kazini kuhakikisha anapata wafuasi wa kutosha kuelekea upotevuni.
Ubaya uko wapi kuwa na hizo dini sarafu na serikali moja?
 
Umekuwa ukisema tu jambo fulani kibiblia linatia mashaka lakini tukija kwenye hiyo biblia mara zote imekula kwako kwenye mjadala huu,sijaona mtazamo wako hata mmoja ambao umekuja kuwa sahihi kwenye mjadala huu.Kwasababu hiyo hata jambo hili nalitilia mashaka kwa asilimia nyingi tu.....

Si hivyo tu,bali hata kwenye Biblia yenyewe kuna ushahidi pia kuwa Suleiman alikuwa mweusi,Yesu alikuwa mweusi n.k...

Kuhusu Wabantu kuwa ni Waisraeli hili nalo kuna maeneo kwenye Biblia linaonesha hivyo....

Mkuu,hili halihusiano moja kwa moja na mada yako,lakini pia ni kweli nimeshajadili jambo hili hapa lakini kwenye mada hizo hukuwepo,nilijadiliana na watu wengine na mkuu Wickama atakuwa anakumbuka sana jambo hili vizuri sana maana hadi Biblia tuliijadili kule na pia ulikuwepo ushahidi kuonesha hawa wanaoitwa Waisraeli leo siyo wenyewe.....

Sijaona sababu ya kulijadili hili sasa kwakuwa linahitaji maandalizi,tumalize hili la mada yako kisha tutajadili siku nyingine suala hili....
Nipe link nikajionee humo majadiliano yalivyokua maana nimehamasika na hiyo stori
 
Mkuu aliyesema kuwa Shetani ni mkuu wa ULIMWENGU siyo mimi ni Yesu mwenyewe,labda uniambie kuwa unatilia mashaka maneno ya Yesu....

Ukubwa wa Ulimwengu huu hata uwe mkubwa namna ipi hauwezi kuzuia Shetani kuwa mkuu wake,huo ukubwa unakupa tatizo kwasababu unafikiria kimwili zaidi siyo kiroho.Kiroho hakuna cha ukubwa wala nini,kama unahitaji kwenda mahali penye umbali wa miaka maelfu kwa spidi ya mwanga ukiwa kwenye physical body ni chuni ya sekunde moja tena zaidi ya hapo ukiwa kwenye spiritual body....

Sijui ni wapi umepata ushahidi wa kwamba huko kwenye ulimwengu kuna viumbe wengine let alone kukubali ukuu wa Shetani.Nitafurahi ukinishirikisha jambo hili kwa ushahidi mkuu....
Neno yawezekana ulitendee haki mkuu. Lkn pia hata hao viumbe unaowahusudu ni conspiracy tu hakuna ushahidi usiotiliwa Shaka juu yao. Hiyo ni assumption yangu. Pili kuhusu kiroho na distance havina uhusiano shetani angeweza kufikia dunia kwa microseconds lkn kama angekataliwa angekataliwa isingeleta tofauti. Nilikuwa nakupa physical overview of universes. Kwa hiyo kwa assumptions yangu Huko kwenye product za kazi ya Mungu ikitokea aliumba viumbe zaidi na kuwawekea makazi hata shetani akienda kwa nanosecond with supersonic speed na wakamkataa haileti tofauti. Hata kama tukiexpand concept ya Ulimwengu huu kuwa sio dunia kama inavyotafsiriwa kwa English versions tuassume Mungu kaumba malimwengu Mengi ikiwemo huu ambao kadunia ketu ni member anaweza kuumba mingine Mingi tu ambayo wakamkataa Shetani hata kama akafika kwa supersonic speed.

Kuhusu Uwezo wa kiroho wa Shetani kufikia sehemu Kubwa najua ndio maana Luka 10:18 yesu alimuona Shetani akianguka kama umeme. Nadhani unajua speed ya light japo bado ni ndogo kiroho.
 
Mkuu,najua unasema "kwa uwezo alionao binadamu tungeshang'amua" ukiamini kabisa kuwa binadamu ana uwezo fulani mkubwa sana,hii ni kweli lakini siyo kama unavyoambiwa....

Kinachosababisha tudanganywe kuhusu uwezo wa binadamu ni ili tuone kwamba sisi tuna uwezo wa kutosha kuhimili kila kitu hivyo kwanza tulidanganywa kwenye vitabu vya dini na pili hakuna Mungu au hakuna haja ya kumtegemea Mungu.....

Kuna uwezo ambao binadamu anao na ni mkubwa sana lakini siyo kama tunavyoambiwa,Binadamu alipewa ujizi wa mengi na malaika waasi ambao walimpa ujuzi wa mambo hayo kwasababu hii ya kumfanya aone hakuna sababu ya kuwa karibu na Mungu.Lakini pia binadamu huyu huyu hakuumbwa kuhimili kujua siri hizi ambazo leo anazijua,kwa kuliona hili shuhudia namna tunavyouana kama mbuzi.....

Ukweli mkubwa zaidi ni kwamba binadamu tunazidi kuwa dhaifu kadiri ziku zinavyosonga mbele na ukweli huu hatuabiwi na matokeo yake tunaelezwa kinyume chake....

Adamu aliishi miaka 900,wewe leo ukifikisha miaka 50 umeshaanza kuisha.Sasa jiulize,kati ya Adamu na wewe aliyekuwa na ubongo imara wa kufanya mambo ni nani? Kama kweli sasa tuna maendeleo kuliko kale....

Kama Adamu alikuwa bora zaidi kwa kuangalia ushahidi huo basi tunadanganywa,swali la msingi,Je,ni kwanini tunadanganywa?

Sawa ni mawazo yako,lakini kwakuwa umeyaweka hapa tutayajadili na kuyajibu....

Ungesema sababu ya kuona suala la Adamu kuwa siyo kweli ingekuwa vyema zaidi....

Kwanini unadhani tuliyofichwa hayahusiani na Mungu na Shetani?Usichokijua ni kwamba kila kitu kinachokuzunguka kinahusiana na mambo hayo na hakuna hata kimoja kilichopo kisichohusiana na mambo hayo au hao wawili....

Iko vita kubwa sana inaendelea ndugu yangu na usipojua hili utapotea mazima....

Mkuu hili ni mada tofauti kabisa na tutajitahidi siku moja tuje tulijadili....
Naona Adamu na Hawa ni ya kutunga maana baada ya Kaini kuwekwa alama alioa nani? Na anawekwa alama ili 'mataifa' kila mtu ajue alichotenda.

Walitoka wapi hao watu wengine?
 
...

Adamu aliishi miaka 900,wewe leo ukifikisha miaka 50 umeshaanza kuisha.Sasa jiulize,kati ya Adamu na wewe aliyekuwa na ubongo imara wa kufanya mambo ni nani? Kama kweli sasa tuna maendeleo kuliko kale
...

Kuishi muda mrefu sio kipimo cha ubongo imara. Na hapo ni kama ni kweli alikuepo huyo Adamu.

Na kama alikuwepo, wewe unasema tunayoyafanya leo haikua lengo la kuwekwa pale Edeni. Basi hata Adamu haiwezekani alikua na uwezo zaidi ya watu wa leo kwa muktadha huo.
 
...

Kwanini unadhani tuliyofichwa hayahusiani na Mungu na Shetani?Usichokijua ni kwamba kila kitu kinachokuzunguka kinahusiana na mambo hayo na hakuna hata kimoja kilichopo kisichohusiana na mambo hayo au hao wawili....

Iko vita kubwa sana inaendelea ndugu yangu na usipojua hili utapotea mazima...

Mkuu mi naona kauli kama hizo ni kutisha tu watu. Haiwezekani kila kinachofanyika iwe ni mahusiano na kiroho. Nashawishika kuungana na MSEZA MKULU kuwa kuna namna au kundi linajaribu kuhofisha watu kwa malengo flani.

Lakini pia hoja ya watu wenye damu ya kishetani mi naona nayo ni ngumu sana kumeza.

Same na ambavyo pia siamini stori za Mseza za vita vya kwanza na pili. Pale Tunisia tu kijana alijichoma moto kisa ugumu wa maisha na kikanuka Arabuni kote. Kuuwawa mtu akasababisha vita vya dunia inawezekana kabisa. Ishu ni tension imefikia kiwango cha kulipuka?

Tunachojifunza ni kuwa binadamu anaweza kuchochea au kuchochewa kwa kitu kidogo sana na kuleta catastrophe. Mfano mdogo angalia siasa zetu. Rais kaamua kutoa pesa za serikali kwenye benki binafsi na sasa nchi nzima wanalia hali ngumu.

Destruction ya mwanadamu imo mikononi mwake. Uokozi wake umo pia mikononi mwake kwa kuamua kufuata ya Mungu. Again ni mawazo yangu.
 
Mkuu mi naona kauli kama hizo ni kutisha tu watu. Haiwezekani kila kinachofanyika iwe ni mahusiano na kiroho. Nashawishika kuungana na MSEZA MKULU kuwa kuna namna au kundi linajaribu kuhofisha watu kwa malengo flani.

Lakini pia hoja ya watu wenye damu ya kishetani mi naona nayo ni ngumu sana kumeza.

Same na ambavyo pia siamini stori za Mseza za vita vya kwanza na pili. Pale Tunisia tu kijana alijichoma moto kisa ugumu wa maisha na kikanuka Arabuni kote. Kuuwawa mtu akasababisha vita vya dunia inawezekana kabisa. Ishu ni tension imefikia kiwango cha kulipuka?

Tunachojifunza ni kuwa binadamu anaweza kuchochea au kuchochewa kwa kitu kidogo sana na kuleta catastrophe. Mfano mdogo angalia siasa zetu. Rais kaamua kutoa pesa za serikali kwenye benki binafsi na sasa nchi nzima wanalia hali ngumu.

Desteuction ya mwanadamu imo mikononi mwake. Uokozi wake umo pia mikononi mwake kwa kuamua kufuata ya Mungu. Again ni mawazo yangu.
Kosa ulilolifanya kwenye post yako ya kwanza bado unaendelea kulifanya....

Unasema hukubaliani na jambo fulani bila kusema sababu zinazokufanya usikubali,hili linafanya hoja zako kuelea tu hewani na unaonekana unakataa jambo bila sababu na hili ni kosa kubwa kwa mtu anaye reason....

Kupinga ni rahisi sana lakini kupinga kwa hoja ni ngumu sana....
 
Kuishi muda mrefu sio kipimo cha ubongo imara. Na hapo ni kama ni kweli alikuepo huyo Adamu.

Na kama alikuwepo, wewe unasema tunayoyafanya leo haikua lengo la kuwekwa pale Edeni. Basi hata Adamu haiwezekani alikua na uwezo zaidi ya watu wa leo kwa muktadha huo.
Nilijua swali kama hili litakuja tu....

Lakini,body ability inahusiana na mambpo mengi sana,ukifikiria afya ya mwili inahusiana na afya ya ubongo pia,hili halipingiki kabisa....
 
Naona Adamu na Hawa ni ya kutunga maana baada ya Kaini kuwekwa alama alioa nani? Na anawekwa alama ili 'mataifa' kila mtu ajue alichotenda.

Walitoka wapi hao watu wengine?
Swali dogo sana hili na hii siyo mada yake....

Tuache kuharibu mada hii na hili tutajadili kwenye mada nyingine.Lakini unapaswa kujua mambo mengi kabla hujauliza swali kama hili....

Unapaswa kujua kwamba huyo Kain aliishi miaka mingapi pia unapaswa kujua kwamba alipata ndugu wengine kutoka kwa wazazi wake vile vile.....

Mwishowe utauliza Musa alijuaje mambo ya uumbaji wakati hakuwepo wakati wa uumbaji....
 
Neno yawezekana ulitendee haki mkuu. Lkn pia hata hao viumbe unaowahusudu ni conspiracy tu hakuna ushahidi usiotiliwa Shaka juu yao. Hiyo ni assumption yangu. Pili kuhusu kiroho na distance havina uhusiano shetani angeweza kufikia dunia kwa microseconds lkn kama angekataliwa angekataliwa isingeleta tofauti. Nilikuwa nakupa physical overview of universes. Kwa hiyo kwa assumptions yangu Huko kwenye product za kazi ya Mungu ikitokea aliumba viumbe zaidi na kuwawekea makazi hata shetani akienda kwa nanosecond with supersonic speed na wakamkataa haileti tofauti. Hata kama tukiexpand concept ya Ulimwengu huu kuwa sio dunia kama inavyotafsiriwa kwa English versions tuassume Mungu kaumba malimwengu Mengi ikiwemo huu ambao kadunia ketu ni member anaweza kuumba mingine Mingi tu ambayo wakamkataa Shetani hata kama akafika kwa supersonic speed.

Kuhusu Uwezo wa kiroho wa Shetani kufikia sehemu Kubwa najua ndio maana Luka 10:18 yesu alimuona Shetani akianguka kama umeme. Nadhani unajua speed ya light japo bado ni ndogo kiroho.
Haya maelezo yako yote yanakosa maana mkuu nukta moja tu Yesu aliposema kwamba Shetani ndiyo Mungu wa dunia hii...

Sioni haja ya kujadili kama Shetani ni mkuu wa ulimwengu kwasababu Yesu ameshasema....

Una ushahidi wa hao viumbe wa kwenye sayari zingine mkuu?
 
Kwa kuwa ni muumini wa bibilia basi unafnya mjadala kuwa raini zaidi.
Soma Daniel 12:4
But thou, O Daniel, shut up the words, and seal the book, even to the time of the end: many shall run to and fro, and knowledge shall be increased.

MUNGU anamwambia Daniel akifunge kitabu chake maana sio cha wakati huo hayo mambo ni ya wakati wa siku za mwisho. Na akasisitiza siku za mwisho watu wataenda huku na kule na MAARIFA YATAONGEZEKA. Huu Ni unabii wa siku zetu. Adam alikuwa hapandi ndege, Goliath hakutumia AK 47,
Kimsingi ninaamini kwa unabii na utabiri huu leo maarifa ni makubwa kuliko wakat wa nyuma na Mungu anasupport hilo chief. Umri kupungua ni madhara ya Muda mrefu ya dhambi.
So usiwape credit hao ufo Bali ni sisi sisi tu.
Mkuu,maandiko yamesema maarifa yataongezea bila kusema hayo maarifa ni yapi na yatatoka wapi na nani atahusika kuyaleta,hayajasema binadamu atakuwa na maarifa mengi na hata yangesema hivyo bado kulikuwa na uwezekano wa kuyapata mahali hayo maarifa.....

Adam anaweza kuwa hajatumia AK47 lakini kutumia silaha hiyo siyo kipimo cha maendeleo makubwa kihivyo....

Ninajua sana kwamba kipindi hiki Shetani na washirika wake watatumia silaha zao za mwisho kabisa katika kupambana na kile kinachoendelea katika upande wa watu wa Mungu na hapa ndiyo sababu Mungu akasema maarifa yataongezeka maana watu watapewa maarifa mengi sana na hawa viumbe....

Kwa kuliona hili,kwenye D.U.M.B's kuna treni zenye uwezo wa kukimbia kwa speed ya sauti na hili halijulikani na wengi....

Mkuu,labda nikuulize,hivi unadhani binadamu ameshindwa kudhibitiwa na silaha zilizopo hadi watengeneze silaha nzito kama lile bomu la Russia linaloitwa "Satan II" ambalo bomu moja tu linaweza kuiangamiza Ufaransa yote na mabomu kama hayo 50 yanaweza kuiangamiza Marekani yote?

Kwa namna unavyo reason,unaona kabisa silaha hizi ni kwaajili ya binadamu kweli?

Jeshi la Marekani lina chopper zaidi ya 50,000.Chopper hizi ni za kisasa kabisa zenye uwezo wa kupita umbali wa futi 3000 juu na wakaweza kuona kila binadamu aliyeko ndani ya nyumba yako,wanajiandaa kupambana na binadamu?

Again,bado kabisa mkuu unapaswa kujua kinachoendelea chini ya miguu yetu ambako kuna mengi sana na yanayoendeshwa na viumbe ambao siyo binadamu kabisa....

Kuna tukio moja lilitokea kule Afghanistan ambapo giant mmoja aliuawa baada ya kuua na kuangamiza battalion moja ya jeshi la Marekani akiwa peke yake.Giant huyu alikutwa kwenye cave moja huko Afghanistan. Baada ya kuuawa,pailot aliyeusafirisha mwili wake alisema kwamba giant yule alikuwa na urefu wa futi 10 hadi 12 na alikuwa na kilo zaidi ya 400....

Hiyo ni mwaka 2005 mkuu...

Mambo haya yanapatikana kutoka kwa watu ambao wamefanya mahojiano na pailoti yule ambaye aliamua kutoa siri hii baada ya kuona kazi ya mtafiti mmoja ambaye aliamua kumpa siri hiyo.Jina la mtafiti huyo nimelisahau nadhani nikilikumbuka nitakuambia maana documentary ya jambo hili iliharibika....
 
Nitakuletea hapa maelezo yake yote kwa kina kutoka kwenye video zote mbili sio hii moja tu. Then tutaanza kuangalia uhalali au uharamu wa kimoja baada ya kingine. Point tuliyofika ni ya muhimu mno katika mijadala huu maana nimegundua hapa ndipo tunapishana wewe unaenda mashariki na mimi magharibi wote tukawa na ajenda Sawa NWO.
Kwa kukuongezea tu huyu sio wa kwanza kuzungumza alichokisema ndio ma wengine wakaenda mbali kabisa hadi mwaka 193o ambapo jamaa anaitwa H. G Wells aliitunga novel THE WAR OF THE WORLD s na siku ilipokuwa broadcasted live mfano nchini Ecuador 1949 watu walikimbilia makanisani kuhofia kuuliwa na hao UFOs taharuki hii iligharimu maisha ya zaidi ya watu 6 hadi 20 na hicho kituo cha radio kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali. Concept za kwenye hicho kitabu ndio nyingi huyu mdau alikuwa akijipa uhusika kuwa alipigana na aliens pia eti 1954 us gov event walisighn mkataba na aliens ili washirikiane kujenga hizo dumb sijui walikuwa wanaongea lugha gani. Kwa kukuongezea tu vyote hivyo ni conspiracy zisizo na ushahidi wa kutotiliwa Shaka.

Pia nilitaka nikusaidie Phil Schneider sio reliable source ya hizi conspiracy za UFOs. Bali ni Senetor Barry Goldwater, Lord Hill Norton mkuu kitengo flani British loyal army, Brigedia General Urther Axon.Director wa kwanza wa CIA Roscoe Hillenkoeter, waziri wa ulinzi wa Canada Paul Helyer hawa ndio watu walikaa wakawasikiliza hoja zao za UFOs na hadi kesho hawajawahi kuonyesha au kutoa ushahidi usio na Shaka. Huyu jamaa yako alikuwa anatembea na jiwe eti material yake anadai hayapo kwenye periodic table ya kibinadamu hence ni product ya ufo space craft s Bila hata kumpa mtu yoyote athibitishe anachokisema. Vyote anavyosema shahidi ni huyohuyo mtoa taarifa.

Hizi zilikuwa dondoo za awali ujue huyo jamaa sio wa kwanza na taarifa zake sio mpya. Na Mara ya kwanza taarifa hizi kusomwa kwenye media nchi mbalimbali kabla hata huyu jamaa hajazaliwa ziliteta taaruki. Nitaendelea kuona analink vipi na mada hapo juu ya vita ila kwa kuhusisha na hao viumbe wako
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaa.......

Mkuu unanifurahisha sana aisee.Nani kasema kuwa Phil Schneider ni mtu wa kwanza kuzungumzia haya mambo? Masuala ya UFOs yapo since B.C huko halafu nije niseme mtu aliyekuja kusema kwenye miaka ya 1990's ndiye wa kwanza?

Hivi hao akina Senetor Barry Goldwater, Lord Hill Norton mkuu kitengo flani British loyal army, Brigedia General Urther Axon.Director ni reliable source namna ipi aisee?

Nilikupa hiyo video kwasababu nilitaka usikilize kutoka kwa mtu ambaye ana wadhifa ambao hutaweza kutilia mashaka kirahisi rahisi tu anachokisema kama unavyotilia mashaka ninayosema mimi hapa kwakuwa hata hunifahamu....

Masuala ya UFOs sijui unataka uyasikie kutoka kwenye vyanzo vipi unavyoviamini.Ungeelewa msingi wa hoja zangu ni kwamba tunadanganywa juu ya uwepo wa hawa viumbe na wenye mamlaka makuu kabisa duniani kwaajili ya faida zao binafsi na kwasababu wao wanahusiana kwa namna moja au nyingine na hawa viumbe wala usingekuwa unataka vyanzo kutoka kwa watu ambao ndiyo wanatudanganya kama unamaanisha vyombo vya habari vikubwa vukubwa kusema au wataalam wenye noble prize waseme....

Unataja watu ambao ni wahusika wa serikali,unarudi kule kule.Kama hujui ni kwamba kuna web nyingi sana za hawa hawa wanaotudanganya ambao wanatoa fake info kupoteza watu.Wale ambao waliasi na baadaye kuuawa ndiyo hutoa ushuhuda unaoshikika....

Unaposema ushahidi usio na shaka kutoka kwa Phil Schneider unakuwa na maana ipi? Yaani kwa mfano hilo "jiwe" ulitaka awape watu wakahakikishe asemacho au ulitaka afanye nini? Hivi unajua ni nini alichokuwa anamaanisha huyu mtu? Unajua ni aina ipi ya maisha alikuwa anaishu huyu jamaa? Unajua ni madhara yapi ambayo aliyapata akiwa kazini akijihusisha na haya masuala?

Hoja zako ni nyepesi sana kwa wale ambao tunajua ni namna gani haya mambo yanaendeshwa lakini kwa watu ambao hawajui wanaweza kuona zina mashiko.Ni ngumu sana kuthibitisha kitu ambacho kwanza ni kinyume cha sheria kuwa nacho halafu ni ngumu kumpa mtu yoyote tu aka verify ili aamini.Mazingira haya ni magumu sana.Mtu alikuwa hadi anahama nyumba tano kwa usiku mmoja ili aendelee kuwa hai unakuja kusema tu hapa "hataki kutoa nafasi kwa wengine kuthibitisha asemacho" utadhani ni mtu tu ana gari halali halafu anasema linakimbia kuliko yote kisha ukahoji sababu ya yeye kutompa mtu mwingine aendeshe kuthibitisha....

Unayohoji yangekuwa ya maana sana kama ingekuwa ni kitu halali tu tunakijadili hapa ambapo tungeweza kwenda kwenye maabara zozote za kisayansi tukathibitisha....

Bado,huwezi kupata majibu ya maswali yako kirahisi hivyo kwa kuangalia video moja....

Eti tuje tujadili ukweli na uongo kwenye maelezo yake.Utatumia nini kusema hiki ni uongo au hiki ni ukweli? Hisia au nini hasa? Una hilo "jiwe" lake ili ukalipime uone ni uongo aliyokuwa akiyasema kulihusu?

Unafurahisha sana aisee...
 
Mkuu,maandiko yamesema maarifa yataongezea bila kusema hayo maarifa ni yapi na yatatoka wapi na nani atahusika kuyaleta,hayajasema binadamu atakuwa na maarifa mengi na hata yangesema hivyo bado kulikuwa na uwezekano wa kuyapata mahali hayo maarifa.....

Adam anaweza kuwa hajatumia AK47 lakini kutumia silaha hiyo siyo kipimo cha maendeleo makubwa kihivyo....

Ninajua sana kwamba kipindi hiki Shetani na washirika wake watatumia silaha zao za mwisho kabisa katika kupambana na kile kinachoendelea katika upande wa watu wa Mungu na hapa ndiyo sababu Mungu akasema maarifa yataongezeka maana watu watapewa maarifa mengi sana na hawa viumbe....

Kwa kuliona hili,kwenye D.U.M.B's kuna treni zenye uwezo wa kukimbia kwa speed ya sauti na hili halijulikani na wengi....

Mkuu,labda nikuulize,hivi unadhani binadamu ameshindwa kudhibitiwa na silaha zilizopo hadi watengeneze silaha nzito kama lile bomu la Russia linaloitwa "Satan II" ambalo bomu moja tu linaweza kuiangamiza Ufaransa yote na mabomu kama hayo 50 yanaweza kuiangamiza Marekani yote?

Kwa namna unavyo reason,unaona kabisa silaha hizi ni kwaajili ya binadamu kweli?

Jeshi la Marekani lina chopper zaidi ya 50,000.Chopper hizi ni za kisasa kabisa zenye uwezo wa kupita umbali wa futi 3000 juu na wakaweza kuona kila binadamu aliyeko ndani ya nyumba yako,wanajiandaa kupambana na binadamu?

Again,bado kabisa mkuu unapaswa kujua kinachoendelea chini ya miguu yetu ambako kuna mengi sana na yanayoendeshwa na viumbe ambao siyo binadamu kabisa....

Kuna tukio moja lilitokea kule Afghanistan ambapo giant mmoja aliuawa baada ya kuua na kuangamiza battalion moja ya jeshi la Marekani akiwa peke yake.Giant huyu alikutwa kwenye cave moja huko Afghanistan. Baada ya kuuawa,pailot aliyeusafirisha mwili wake alisema kwamba giant yule alikuwa na urefu wa futi 10 hadi 12 na alikuwa na kilo zaidi ya 400....

Hiyo ni mwaka 2005 mkuu...

Mambo haya yanapatikana kutoka kwa watu ambao wamefanya mahojiano na pailoti yule ambaye aliamua kutoa siri hii baada ya kuona kazi ya mtafiti mmoja ambaye aliamua kumpa siri hiyo.Jina la mtafiti huyo nimelisahau nadhani nikilikumbuka nitakuambia maana documentary ya jambo hili iliharibika....
kama basis ya haya unayotoa unayaassociate na maelezo ya yule jamaa yako. Basi utakuwa na tatizo kubwa sana.
nitaeleza baadae kdg
 
Back
Top Bottom