WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

Lakini wakuu historia haifichi kwamba hawa akina Plato, Pythogaras, Socrates na wengine kwamba walijifundisha maarifa ya watu wengine toka mashariki au Afrika (hasa Misri). Kwa hivyo tusiweke mkazo sana kuonesha wazungu wameficha ukweli huu wa kwamba wamechota maarifa toka tamaduni zingine. Uzuri ni kuwa wazungu ni wazuri ktk kuiga maarifa ya wenzao na kuyaboresha(they do enhancement) kiasi kwamba unadhani wao ndio waanzilishi.
Ni kweli chief. Pamoja na yote. Kilichosisimua maarifa na maendeleo Ulaya magharibi na Duniani kwa ujumla ni ENLIGHTENMENT iliyotokea baada ya Vita vya wenyewe kwa wenyewe ulaya kwa muda wa miaka 30 na watu kuanz akufikiri kwa akili zao sio mitazamo waliyokuwa wamemezeshwa na wanadini wajanja wachache. Hapo wazungu walikendeleza kidogo walichokuanacho.
 
Kwa nijuavyo,Alliens wanaishi maisha marefu kuliko binadamu,wao wanaishi maelfu ya miaka.Hawa viumbe wapo hapa hapa duniani na hawatoki kwenye sayari nyingine na wanapatikana kwenye mataifa yote makubwa duniani unayoyajua....

Alliens siyo viumbe wenye akili zaidi isipokuwa wana uwezo zaidi ya binadamu wa kfanya baadhi ya mambo....
Hao ndio majini au?
 
Mkuu mi naona kauli kama hizo ni kutisha tu watu. Haiwezekani kila kinachofanyika iwe ni mahusiano na kiroho. Nashawishika kuungana na MSEZA MKULU kuwa kuna namna au kundi linajaribu kuhofisha watu kwa malengo flani.

Lakini pia hoja ya watu wenye damu ya kishetani mi naona nayo ni ngumu sana kumeza.

Same na ambavyo pia siamini stori za Mseza za vita vya kwanza na pili. Pale Tunisia tu kijana alijichoma moto kisa ugumu wa maisha na kikanuka Arabuni kote. Kuuwawa mtu akasababisha vita vya dunia inawezekana kabisa. Ishu ni tension imefikia kiwango cha kulipuka?

Tunachojifunza ni kuwa binadamu anaweza kuchochea au kuchochewa kwa kitu kidogo sana na kuleta catastrophe. Mfano mdogo angalia siasa zetu. Rais kaamua kutoa pesa za serikali kwenye benki binafsi na sasa nchi nzima wanalia hali ngumu.

Destruction ya mwanadamu imo mikononi mwake. Uokozi wake umo pia mikononi mwake kwa kuamua kufuata ya Mungu. Again ni mawazo yangu.
mkuu hapa tunazungumzia intercontinental war sio national civil unrest. kwa hiyo mfano wako wa Tunisia unakoswa nguvu. pili hata arab spring haikuwa grobal. Kwa mujibu wa mipango hiyo watu wenye pesa na walionyuma ya hiyo barua kama ni kweli. Waliona njia pekee ya kuawala dunia au na mataifa mojamoja, sharti nchi iwe na bank kuu, Dunia iwe na chombo kama UN ili awepo msemaji mmoja wa dunia. World bank. Ndio maana wakaanzisha ferderal reserve bank US kitu ambacho kilipingwa sana na wakina LIncoln, Czars wa Russia walipinga kuanzishwa kwa League of nation ndio maana kutolewa kwao madarakani ndio chanzo zha kuianzishwa league of nation followed buy UN baaadae. Vradmir lenin alipingia baada ya mapinduzi kitu cha kwanza kusema nchi ili iendelee lzaima iwe na central bank wazo ambalo lilishasemwa tangu zamani. Na wanaoifund hiyo bank ni haohao matajiri kwa hiyo ni rahisi kuyumbisha mambo na jamii nzima ikawa affected. Haya ni mafanikio makubwa katika mipango hiyo. Sina taarifa za kutosha lakini kidogo mlengo huu huwa naona unasound kuliko kusema kazi hizo zinafnywa na machotara wa kishetani sio watu. Hapo mkuu eiyer huwa tunapishana
 
  1. Dulce in New Mexico
  2. Brecon Beacons in Wales
  3. Los Alamos in Mexico
  4. Pine Gap in Australia
  5. The Snowy mountains in Australia
  6. The Nyala range in Africa
  7. West of Kindu in Africa
  8. Next to the Libyan border in Egypt
  9. Mount Blanc in Switzerland
  10. Narvik in Scandinavia
  11. Gottland island in Sweden and many other places
  12. Hapo juu ni list ya mfano tu ya hizo Deep Underground Millitary Bases D.U.M.Bs sehemu mbalimbali , na anasema hadi kufikia mwaka huo anatoa hizo hotuba kulikuwa na hizo underground bases 1477 zimetapakaa Dunia nzima. Huku zimeunganishwa na Treni za chini kwa chini zenye uwezo ambao hakuna mtu duniani amewahi kuziona. Huko chini wanadamu na aliens wanashirikiana kutengeneza silaa ili waje Aliens waje watawale dunia kwa like unachoita NWO.
Anasema 62 ya hizi DUMBS zinatumika kuwahifadhi hawa ALIENS warefu kwa wafupi pamoja na Vifaa au ndege zao za kusafiria.


AGENDA YA HAWA ALLIENS KULINGANA NA HUYU JAMAA YAKO

Anasema lengo la hawa viumbe (ALLIEN) kushirikana na wanadamu na kujenga hivyo vituo dunia nzima vya siri chini ya ardhi ni kwamba hadi kufikia 2029 WAITAWALE DUNIA NZIMA kwa kitu kinachoitwa NEW WORLD ORDER. Mkandarasi wa Serikali ya marekani EG&G alipewa tenda ya kushirikiana na hawa ALLIENS katika hiyo miradi. Kuna jumla ya kabila saba za hawa ALIEN wanaoishi duniani na wengine waovu kabila kama NNE nao wapo.

Mikataba takribani Minne ilisainiwa kati ya serikali ya marekani na Hizi Koo za ALiens mwaka 1944, 1954, 1962, na 1979.
Mkataba uliosainiwa Mwaka 1954 uliitwa Greata Treaty kati ya serikali ya marekani na Grey Aliens ili Serikali Isuply watu huko chini kwa ajili ya Kuchunguzwa na aliens na kuwapa maujanja ya kitechnologia kama unavyamini. Anasema hawa walitokea sehemu iitwayo Zeta Reticuli.

Anaonya dunia kuhusu kuwepo kwa mkakati huo wa kuiteka dunia yote kabisa. Yaani wanadamu wote kuwa chini ya TOTARITALIAN DICTATORSHIP chini ya hawa viumbe ALIENS/NEPHILS/SEMISHETANI BEINGS (Acording to you also) Dunia nzima inakuwa kama POLICE STATE. Kuhakikisha hakuna wa kufurukuta hao viumbe wameandaa Black hericopters 64,000 ingawa hakusema zimewekwa wapi. Pia anadai kuwa 107,2000 Magereza yanayotembe (Prison box cars ) zimeandaliwa, Hilo gereza tembezi lina pair 143 ya sehemu pa kufungia watu lenye jumla ya uwezo wa kuwafunga hadi wamarekani15 Milioni watakaogomea huo mkakati. Hao wabishi watapelekwa kwenye kile kinachoitwa "Fema Detention camps " zitakazokuwa zimeandaliwa hasa hii ni kwa wana US wabishi.

Mkuu hii ndio habari unayoogopa kuielezea imebidi nieleze ili tujue unakwepa nini na tupate uhalali wa kukuhoji.
Haya yote sijatunga mimi ni kutoka kwenye source huyu mdau na video lecture zake.
Mkuu,sijui ni kwanini unapenda sana kusema maneno haya ya kuogopa.Hakuna mahali popote nilipoogopa kusema chochote kuhusu haya isipokuwa ukweli ni kwamba siyo kila mahali unaweza kusema kila kitu.....
USHAURI, Inawezekana unawazo zuri lakini Source ulizonazo zitakupotosha. Narudia tena kwa mara nyingine hii mipango ya dunia kutawaliwa na kuwa kitu kimoja ni mipango ya wanadamu tu na hakuna cha aliens wala nini hivyo ni vichaka vya kuwaficha watu wachanganyikiwe na kuogopa. Ndio maaana wewe sio tu kwenye hii thread popote utakapokuwa unacomment unaleta hzi story kwa hofu alafu ufunguki. Nimekuwa najiuliza huyu jamaa anakitu gani anachoficha? na sio mimi watu wengi tu. Atleast sasa tunaweza kwenda sawa maana mbichi na mbivu ziko mezani.
Imenibidi nikushangae sana tena sana na sijui kama kwa mtindo wako huu wa ku reason utaweza ku comprehend haya mambo ambayo nilichokisema ni nuka tu ya mambo yote...

Moja;tokea mwanzo kabisa nilitahadharisha kuwa ninachokijua na kukisema hapa ni kama punje ya mchanga kwenye fukwe ya bahari kubwa kabisa,lakini kwa masikitiko makubwa bila hata ya kujali jambo hili tayari umeshahitimisha kuwa vyanzo vyangu vinanipotosha wakati,japokuwa nimepitia vyanzo vingi sana,hapa nimekupa chanzo kimoja tu umeshasema "vyanzo vinanipotosha".Hii inasikitisha sana kwasababu hata theluthi ya vyanzo vyangu sijakupa na kuna vingine hata kwa hunduki sitakupa na ninajua ni kwanini sitakupa....

Mbili;badala hata ya kusema ni kwa vipi vinanipotosa, japokuwa ni chanzo kimoja tu,umeishia kusema tu vinanipotosha,kipi siyo cha kweli hapo na kwanini?

Nne;umesema kwamba habari hizi ni kwajili ya kutisha watu,lets say nakubaliana na wewe.Kimsingi kwenye vyombo vya habari vikubwa na majority ya watu ni kwamba hawajui kabisa kuhusu mambo haya kwasababu hawajayasikia,wale ambao wameyasikia hawayakubali kama wewe hapa unavyokataa.Hili liko hivi kwasababu vyombo vikubwa vya dunia pamoja na serikali kubwa za dunia hii zinakanusha habari hizi na uwepo wake.Hii ina maana kwamba habari hizi siyo habari zenye faida kwa watu wengi wa dunia na serikali zote kwasababu wanaamini ni finction tu hivyo ni kama ujinga fulani hivi hata kuzisema kwa "wasomi"...

Swali la kawaida kabisa,je unadhani hawa watu wanosema mambo haya wanataka kuwatisha watu kwa faida ya nani?
Nakushauri umuombe Mungu Urudi kusoma Daniel 2, Daniel 7 with suported books huku ukitoa concept zako za aliens, utagundua umechelewa kujua vitu vingi sana ambavyo bibilia ilivisema na ni kweli vitatokea.
Kwanza bado hujanipa sababu ya kunifanya angalau hata nifikirie kufuata huu ushauri wako....

Pili;huu unabii ninaujua sana tu,nimeshaufuatilia na bado naufuatilia kuanzia Danieli,Ufunuo,Ezekiel,Isaya na vitabu vingine vya kinabii na katika kufuatilia kwangu kuanzia miaka mingi iliyopita ndiyo ikanipeleka hadi kukifahamu kitabu cha Enoch,hivyo nohing new kwangu na labda tu nikueleze kwamba lengo au nia yangu hapo baadaye Mungu akinisimamia ni kuja kuwa nafundisha huu unabii mgumu kabisa katika kitabu kitakatifu,kwa sasa bado najifunza hivyo hiki unachiniambia nikifanye ni jambo ambalo nalifanya kila siku nikiwa na muda na hapa nina vitabu zaidi ya 50 na pia nina documentary zaidi ya 40 ambazo sijazitazama bado na vitabu na documentary ambazo nimeshazitazama ni nyingi sana bila kutaja website na makala za maandishi ambazo nimeshazisoma....
KWa elimu hii hii ya viumbe wasio watu Unaamisha goli na kutumia mzigo WW1,WW2,HIV aids,EBOLA etc hao MAUFO, na ELIENS, NEPHILS na MACHOTARA Wa Shetani lkn kwa ukweli hii ni mipango ya wanadamu kabisa. Ukielewa hilo utakuwa umepiga hatua kubwa sana.
Hili wazo lako kwangu ni la zamani sana na huwezi kunirudisha hukoi kutokana na utafiti ambao nimeufanya na ambao ninaufanya bado.Nikuambie tu kwamba kuna ushahidi wa kutiosha wa haya ninayokueleza na Mungu akijaalia nikimaliza nitaanza masomo kwaajili ya kuwaeleza watu jambo hili la kutisha kabisa ambalo kwako ni kama hadithi.....

Yaani unapewa chanzo kimoja tu halafu unadhani mtu ndiyo amehitimisha kupitia chanzo hicho kweli? Ningekuwa mpuuzi kiasi gani niangalie documentary moja tu kisha nihitimishe?

Kwa taarifa yako,ninatofautiana kwa namna fulani na Phill Schneider namna anavyotazama end game ya hawa viumbe.Lengo langu la kumleta hapa ni kuhusu tu kukuonesha kwamba kuna watu wamekutana na Aliens na siyo hadithi,mengine ambayo wewe umeyaleta hapa hayakuwa na umuhimu wowote kwasababu kimsingi yapo ambayo ameyasema huyu ndugu na sikubaliani nayo moja kwa moja....
 
Ni kweli chief. Pamoja na yote. Kilichosisimua maarifa na maendeleo Ulaya magharibi na Duniani kwa ujumla ni ENLIGHTENMENT iliyotokea baada ya Vita vya wenyewe kwa wenyewe ulaya kwa muda wa miaka 30 na watu kuanz akufikiri kwa akili zao sio mitazamo waliyokuwa wamemezeshwa na wanadini wajanja wachache. Hapo wazungu walikendeleza kidogo walichokuanacho.
Kitu gani kilileta hiyo enlightement? Kwanini haikuwepo kabla?

Kwa kawaida tu iko hivi...

Adamu ni binadamu wa kwanza kabisa kuumbwa,kwa maana rahisi kabisa huyu ndiye binadamu aliyekuwa bora kuliko wanadamu wote katika nyanja zote ukianzia kufikiri hadi body ability kwasababu huyu ndiye binaamu "original" kabisa au wa kwanza.Baada ya kuanguka dhambini first corruption ndani ya mwili wa Damu ilianzia hapo,ule ubora wake ukapungua,kwa maana rahisi kabisa Adamu yule ambaye alikuwepo kabla ya dhambi siyo huyu wa baada ya dhambi....

Baada ya hapo aliendelea kuishi na baadaye alipata watoto,watoto hawa ni copy ya Adamu,japokuwa Adamu alikuwa ameshapungua ubora wake baada ya dhambi bado watoto hawa hawakuweza kufanana na Adamu in trem of quality kwasababu hao ni copy yake.Zoezi liliendelea hivyo na kadiri kizazi kilivyokuwa kinaendelea binadamu aliendelea kuzaliwa na kuwa dhaifu zaidi na zaidi hadi kufikia sisi leo.Kwa lugha rahisi kabisa ni kwamba sisi ni copy ya copy ya copy ya copy ya copy ya copy ya copy na kuendelea....

Sisi ni dhaifu mara millioni nyingi zaidi ya Adamu.Hili linaonesha kwamba,badala ya binadamu kuendelea kuwa bora anaendelea kuwa wa hovyo zaidi na zaidi.Sasa,kwasababu ukweli huu ungemfanya binadamu kujua kwamba Adamu alifanya kosa kubwa sana na kumfanya binadamu kumrudia Mungu,Shetani ameleta uongo mkubwa sana wa kwamba eti tunaendelea kuendelea zaidi kuliko zamani na ndiyo hiyo dhana yako ya "enlightenment" inakuja.Usichokijua kabisa ni kwamba hiyo enlightenment unayoisema wewe hujui kabisa ni ipi,wamekuletea tu dhana na wewe umeimeza....

Wenzako wanaposema enlightenment wanarejea Eden ambako Adam alipewa "enlightenment" ambayo wao wanasema ndiyo chanzo cha yote haya....

Jiuliza,hicho kilichomfanya huyu binadamu kukipata kipindi hicho unachokisema wewe ni kipi ambacho hakikuwepo kabla? Vita? You must be kidding jombaa.Vita vimekuwepo ever since binadamu ameanza kujaa kwenye uso wa dunia tena vita vimekuwepo vikubwa sana huko kabla halafu leo unakuja kusema vita vilimfanya binadamu awe na "mwanga"?

Hii siyo kwa wale wenye akili mkuu.Na haya ni matokeo ya kutokuijua historia sahihi na inapelekea watu kudanganywa kirahisi kabisa eti vita vilileta mabadiliko huko kwa wazungu.Kwanini iwe kwa wazungu na siyo huku kwetu?

By the way,kwanini binadamu aliyekuwa bora zaidi huko nyuma ashindwe kupata huu "mwanga" aje apate binadamu wa kipindi cha A.D huku?

Reasoning ndiyo itakukomboa mkuu....
 
Sasa yeye ndio kavujisha hizo stori wewe unataka kumkimbia tena. Anasema Dunia nzima na anatoa na idadi ya vituo na location. Na anaelezea hadi vituo vingine viko Russia china.
Kujua au kushiriki kujenga hizi D.U.M.Bs siyo kujua lengo lake ni lipi.Unaweza kutengeneza gari lakini usijue linakuja kutumika kwenye malengo yapi,tofautisha haya mambo mawili mkuu...
Uongo huu lengo lake ni kukuaminisha kuwa kuna jamaa wako underground akiwa anashirikiana na hawa viumbe ili watawele dunia.
Kwa faida ya nani wakati hata wanaokubaliana na suala hili ni wachache sana tena sana?

Hivi ni kwanini wasilipigie debe ili watu dunia nzima wakaogopa na kuwafanya wakaitawala dunia kirahisi?
SOurce gani tena wakati huyu unadai kauwawa kwa kusema haya. Mkuu mbona hueleweki au una mwingine umlete
Nina vyanzo vingi sana vya haya mambo na vingine siwezi kukupa hapa hata kwa bunduki najua ni kwanini sikupi.Pia ni ngumu sana kukupa kila chanzo maana ni vingi sana.Nashangaa unadhani kuwa eti chanzo changu ni huyu mtu mmoja tu....
 
Geologist anaenda kuchimba akiwa na Bastola. Ni sawa na wewe kuchimba shimo la choo ukiwa na silaha. huoni kuwa hzo ni fix za kitoto.
Hebu chukulia wewe ni daktari kisha unakwenda eneo lako la kazi na ghafla wanatokea majambazi halafu ukatumia bastola yako ambayo unaimiliki kihalali kwaajili ya kujilinda,ukija kuelezea jambo hili utakuwa unadanganya kwasababu tu ulikuwa hospitalini ambako hakuhitajiki kuwa na silaha?
Na hapo walipokwa hao Alien hawakuwa hawana exit point.
Alien hawakuwa na exit point kwa sababu ipi? Mtu akitoboa nyumba yako kwa juu utasema kutokea nje hakukuwa na exit point?
Tangu lini Kiumbe mwenye akili nyingi kama unavyomsifia asubiri kupigwa risasi wakati wamekuwa wkichimba eneo lao muda mrefu tu.
Kwanini unafikiri "alisubiria" kupigwa risasi?Akili ni nini kwanza?
Fikiri kidogo tu.
Sasa hapa sijui ni nani hafikirii....
 
Mkuu,sijui ni kwanini unapenda sana kusema maneno haya ya kuogopa.Hakuna mahali popote nilipoogopa kusema chochote kuhusu haya isipokuwa ukweli ni kwamba siyo kila mahali unaweza kusema kila kitu.....

Imenibidi nikushangae sana tena sana na sijui kama kwa mtindo wako huu wa ku reason utaweza ku comprehend haya mambo ambayo nilichokisema ni nuka tu ya mambo yote...

Moja;tokea mwanzo kabisa nilitahadharisha kuwa ninachokijua na kukisema hapa ni kama punje ya mchanga kwenye fukwe ya bahari kubwa kabisa,lakini kwa masikitiko makubwa bila hata ya kujali jambo hili tayari umeshahitimisha kuwa vyanzo vyangu vinanipotosha wakati,japokuwa nimepitia vyanzo vingi sana,hapa nimekupa chanzo kimoja tu umeshasema "vyanzo vinanipotosha".Hii inasikitisha sana kwasababu hata theluthi ya vyanzo vyangu sijakupa na kuna vingine hata kwa hunduki sitakupa na ninajua ni kwanini sitakupa....

Mbili;badala hata ya kusema ni kwa vipi vinanipotosa, japokuwa ni chanzo kimoja tu,umeishia kusema tu vinanipotosha,kipi siyo cha kweli hapo na kwanini?

Nne;umesema kwamba habari hizi ni kwajili ya kutisha watu,lets say nakubaliana na wewe.Kimsingi kwenye vyombo vya habari vikubwa na majority ya watu ni kwamba hawajui kabisa kuhusu mambo haya kwasababu hawajayasikia,wale ambao wameyasikia hawayakubali kama wewe hapa unavyokataa.Hili liko hivi kwasababu vyombo vikubwa vya dunia pamoja na serikali kubwa za dunia hii zinakanusha habari hizi na uwepo wake.Hii ina maana kwamba habari hizi siyo habari zenye faida kwa watu wengi wa dunia na serikali zote kwasababu wanaamini ni finction tu hivyo ni kama ujinga fulani hivi hata kuzisema kwa "wasomi"...

Swali la kawaida kabisa,je unadhani hawa watu wanosema mambo haya wanataka kuwatisha watu kwa faida ya nani?

Kwanza bado hujanipa sababu ya kunifanya angalau hata nifikirie kufuata huu ushauri wako....

Pili;huu unabii ninaujua sana tu,nimeshaufuatilia na bado naufuatilia kuanzia Danieli,Ufunuo,Ezekiel,Isaya na vitabu vingine vya kinabii na katika kufuatilia kwangu kuanzia miaka mingi iliyopita ndiyo ikanipeleka hadi kukifahamu kitabu cha Enoch,hivyo nohing new kwangu na labda tu nikueleze kwamba lengo au nia yangu hapo baadaye Mungu akinisimamia ni kuja kuwa nafundisha huu unabii mgumu kabisa katika kitabu kitakatifu,kwa sasa bado najifunza hivyo hiki unachiniambia nikifanye ni jambo ambalo nalifanya kila siku nikiwa na muda na hapa nina vitabu zaidi ya 50 na pia nina documentary zaidi ya 40 ambazo sijazitazama bado na vitabu na documentary ambazo nimeshazitazama ni nyingi sana bila kutaja website na makala za maandishi ambazo nimeshazisoma....

Hili wazo lako kwangu ni la zamani sana na huwezi kunirudisha hukoi kutokana na utafiti ambao nimeufanya na ambao ninaufanya bado.Nikuambie tu kwamba kuna ushahidi wa kutiosha wa haya ninayokueleza na Mungu akijaalia nikimaliza nitaanza masomo kwaajili ya kuwaeleza watu jambo hili la kutisha kabisa ambalo kwako ni kama hadithi.....

Yaani unapewa chanzo kimoja tu halafu unadhani mtu ndiyo amehitimisha kupitia chanzo hicho kweli? Ningekuwa mpuuzi kiasi gani niangalie documentary moja tu kisha nihitimishe?

Kwa taarifa yako,ninatofautiana kwa namna fulani na Phill Schneider namna anavyotazama end game ya hawa viumbe.Lengo langu la kumleta hapa ni kuhusu tu kukuonesha kwamba kuna watu wamekutana na Aliens na siyo hadithi,mengine ambayo wewe umeyaleta hapa hayakuwa na umuhimu wowote kwasababu kimsingi yapo ambayo ameyasema huyu ndugu na sikubaliani nayo moja kwa moja....
ndio maana nilikuuliza kama unamwamini anachokisema, Ilikuwa ni fursa mujarabu kwako kunyesha unaamini nini na hauamini nini na kwa nini, Ingeboresha afya ya mjadala badala yake ulihamasisha watu waangalie bila taadhari. Sawa endelea na research maana imeandikwa, ' Tafuteni nanyi mtaona'. Wenda katika kutafuta ukarudi kwenye uhalisia wa mambo. Lakini kutofautiana mitazamo ni afya kwa jamii
 
Mkuu,sijui ni kwanini unapenda sana kusema maneno haya ya kuogopa.Hakuna mahali popote nilipoogopa kusema chochote kuhusu haya isipokuwa ukweli ni kwamba siyo kila mahali unaweza kusema kila kitu.....

Imenibidi nikushangae sana tena sana na sijui kama kwa mtindo wako huu wa ku reason utaweza ku comprehend haya mambo ambayo nilichokisema ni nuka tu ya mambo yote...

Moja;tokea mwanzo kabisa nilitahadharisha kuwa ninachokijua na kukisema hapa ni kama punje ya mchanga kwenye fukwe ya bahari kubwa kabisa,lakini kwa masikitiko makubwa bila hata ya kujali jambo hili tayari umeshahitimisha kuwa vyanzo vyangu vinanipotosha wakati,japokuwa nimepitia vyanzo vingi sana,hapa nimekupa chanzo kimoja tu umeshasema "vyanzo vinanipotosha".Hii inasikitisha sana kwasababu hata theluthi ya vyanzo vyangu sijakupa na kuna vingine hata kwa hunduki sitakupa na ninajua ni kwanini sitakupa....

Mbili;badala hata ya kusema ni kwa vipi vinanipotosa, japokuwa ni chanzo kimoja tu,umeishia kusema tu vinanipotosha,kipi siyo cha kweli hapo na kwanini?

Nne;umesema kwamba habari hizi ni kwajili ya kutisha watu,lets say nakubaliana na wewe.Kimsingi kwenye vyombo vya habari vikubwa na majority ya watu ni kwamba hawajui kabisa kuhusu mambo haya kwasababu hawajayasikia,wale ambao wameyasikia hawayakubali kama wewe hapa unavyokataa.Hili liko hivi kwasababu vyombo vikubwa vya dunia pamoja na serikali kubwa za dunia hii zinakanusha habari hizi na uwepo wake.Hii ina maana kwamba habari hizi siyo habari zenye faida kwa watu wengi wa dunia na serikali zote kwasababu wanaamini ni finction tu hivyo ni kama ujinga fulani hivi hata kuzisema kwa "wasomi"...

Swali la kawaida kabisa,je unadhani hawa watu wanosema mambo haya wanataka kuwatisha watu kwa faida ya nani?

Kwanza bado hujanipa sababu ya kunifanya angalau hata nifikirie kufuata huu ushauri wako....

Pili;huu unabii ninaujua sana tu,nimeshaufuatilia na bado naufuatilia kuanzia Danieli,Ufunuo,Ezekiel,Isaya na vitabu vingine vya kinabii na katika kufuatilia kwangu kuanzia miaka mingi iliyopita ndiyo ikanipeleka hadi kukifahamu kitabu cha Enoch,hivyo nohing new kwangu na labda tu nikueleze kwamba lengo au nia yangu hapo baadaye Mungu akinisimamia ni kuja kuwa nafundisha huu unabii mgumu kabisa katika kitabu kitakatifu,kwa sasa bado najifunza hivyo hiki unachiniambia nikifanye ni jambo ambalo nalifanya kila siku nikiwa na muda na hapa nina vitabu zaidi ya 50 na pia nina documentary zaidi ya 40 ambazo sijazitazama bado na vitabu na documentary ambazo nimeshazitazama ni nyingi sana bila kutaja website na makala za maandishi ambazo nimeshazisoma....

Hili wazo lako kwangu ni la zamani sana na huwezi kunirudisha hukoi kutokana na utafiti ambao nimeufanya na ambao ninaufanya bado.Nikuambie tu kwamba kuna ushahidi wa kutiosha wa haya ninayokueleza na Mungu akijaalia nikimaliza nitaanza masomo kwaajili ya kuwaeleza watu jambo hili la kutisha kabisa ambalo kwako ni kama hadithi.....

Yaani unapewa chanzo kimoja tu halafu unadhani mtu ndiyo amehitimisha kupitia chanzo hicho kweli? Ningekuwa mpuuzi kiasi gani niangalie documentary moja tu kisha nihitimishe?

Kwa taarifa yako,ninatofautiana kwa namna fulani na Phill Schneider namna anavyotazama end game ya hawa viumbe.Lengo langu la kumleta hapa ni kuhusu tu kukuonesha kwamba kuna watu wamekutana na Aliens na siyo hadithi,mengine ambayo wewe umeyaleta hapa hayakuwa na umuhimu wowote kwasababu kimsingi yapo ambayo ameyasema huyu ndugu na sikubaliani nayo moja kwa moja....
Mkuu pia weka wazi lengo kuu la hiyo miadhara yako litakuwa ni nini?
 
Kujua au kushiriki kujenga hizi D.U.M.Bs siyo kujua lengo lake ni lipi.Unaweza kutengeneza gari lakini usijue linakuja kutumika kwenye malengo yapi,tofautisha haya mambo mawili mkuu...

Kwa faida ya nani wakati hata wanaokubaliana na suala hili ni wachache sana tena sana?

Hivi ni kwanini wasilipigie debe ili watu dunia nzima wakaogopa na kuwafanya wakaitawala dunia kirahisi?

Nina vyanzo vingi sana vya haya mambo na vingine siwezi kukupa hapa hata kwa bunduki najua ni kwanini sikupi.Pia ni ngumu sana kukupa kila chanzo maana ni vingi sana.Nashangaa unadhani kuwa eti chanzo changu ni huyu mtu mmoja tu....
Tulikuwa tunajadili chanzo kilichopo. ndio maana nilihitaji kujua kama unakiamini chanzo chako Kilichojaa maswali mengi kuliko majibu.Ila usijali tuko pamoja angalau nimejua unasimamia nini maana siku zote huwa unadivert attention za thread kwenye mavitu anonymous ambayo huyaelezei.
 
Hebu chukulia wewe ni daktari kisha unakwenda eneo lako la kazi na ghafla wanatokea majambazi halafu ukatumia bastola yako ambayo unaimiliki kihalali kwaajili ya kujilinda,ukija kuelezea jambo hili utakuwa unadanganya kwasababu tu ulikuwa hospitalini ambako hakuhitajiki kuwa na silaha?

Alien hawakuwa na exit point kwa sababu ipi? Mtu akitoboa nyumba yako kwa juu utasema kutokea nje hakukuwa na exit point?

Kwanini unafikiri "alisubiria" kupigwa risasi?Akili ni nini kwanza?

Sasa hapa sijui ni nani hafikirii....
Huyu alikuwa anachimba shimo, tena mita nyingi ardhini kuna jambazi gani ardhini ndio maana nilitoa mfano wa shimo la choo. Huo mfano wa daktari hauko compatible na mada. Hizo stori za huyo jamaa tuziache tu maana zote ni uongo labda kama una source nyingine, kwa sifa unazowapa alliens na hilo tukio havina uhusiana labda ndio maana analyst wengine wanasema alikuwa anaugonjwa wa akili. Hiyo ni Invalid source sio lazima utoe nyingine endelea na tafiti zako mkuu.
Tueleze pia kwa tafiti zako What happened WW2 na WW1 maana unaweza kusema kombora la masafa la kwanza duniani ( Vergeltungswaffen-2 ) lililootengenezwa na NAZI Scientist Wernher von Braun, underground huku mashahidi (Jews) walioshiriki kama vibarua hadi leo wapo hai na Musseum ipo utaniambia ni Aliens walishiriki na Hitler. naomba mtazamo wako.
300px-Fus%C3%A9e_V2.jpg
images
GettyImages-495791854-E.jpeg


 
ndio maana nilikuuliza kama unamwamini anachokisema, Ilikuwa ni fursa mujarabu kwako kunyesha unaamini nini na hauamini nini na kwa nini, Ingeboresha afya ya mjadala badala yake ulihamasisha watu waangalie bila taadhari. Sawa endelea na research maana imeandikwa, ' Tafuteni nanyi mtaona'. Wenda katika kutafuta ukarudi kwenye uhalisia wa mambo. Lakini kutofautiana mitazamo ni afya kwa jamii
Mkuu hunielewi au ni nini?

Nimekueleza na mifano nimekupa lakini huelewi...

Nimekueleza sababu ya mimi kuleta hapa suala la huyu mtaalam wa miamba ni nini,wewe unakuja na hadithi zingine...

Mkuu,si nimekuambia kwamba kushuhudia uwepo wa jambo au kitu hakukufanyi ujue sababu ya uwepo au sababu ya kutokea kwa jambo husika?

Kipi huelewi hapo?

Uliniuliza kuhusu alichokisema juu ya masuala mazima ya alichoshuhudia na nikakueleza,nikakuelez akwamba hili halina uhusiano na yeye kujua sababu ya yote hayo maana hilo ni jambo tofauti kabisa na nimekuambia kwenye hilo natofautiana naye,mbona huelewi mkuu?
 
mkuu hapa tunazungumzia intercontinental war sio national civil unrest. kwa hiyo mfano wako wa Tunisia unakoswa nguvu. pili hata arab spring haikuwa grobal. Kwa mujibu wa mipango hiyo watu wenye pesa na walionyuma ya hiyo barua kama ni kweli. Waliona njia pekee ya kuawala dunia au na mataifa mojamoja, sharti nchi iwe na bank kuu, Dunia iwe na chombo kama UN ili awepo msemaji mmoja wa dunia. World bank. Ndio maana wakaanzisha ferderal reserve bank US kitu ambacho kilipingwa sana na wakina LIncoln, Czars wa Russia walipinga kuanzishwa kwa League of nation ndio maana kutolewa kwao madarakani ndio chanzo zha kuianzishwa league of nation followed buy UN baaadae. Vradmir lenin alipingia baada ya mapinduzi kitu cha kwanza kusema nchi ili iendelee lzaima iwe na central bank wazo ambalo lilishasemwa tangu zamani. Na wanaoifund hiyo bank ni haohao matajiri kwa hiyo ni rahisi kuyumbisha mambo na jamii nzima ikawa affected. Haya ni mafanikio makubwa katika mipango hiyo. Sina taarifa za kutosha lakini kidogo mlengo huu huwa naona unasound kuliko kusema kazi hizo zinafnywa na machotara wa kishetani sio watu. Hapo mkuu eiyer huwa tunapishana
Mfano wa Tunisia ni ili kukuonyesha kuwa mtu mmoja kufa anaweza kuleta madhara makubwa sana katika jamii pana. Usisahau hiyo Arab Spring chanzo ni huyo mtu wa Tunisia kujikoka. Na scale yake si ndogo. Hadi sasa inaendelea na mataifa mengi tu yanahusishwa. Urusi na US kwa uchache.

Hizo world wars zilizopita zilikua rahisi kusambaa dunia nzima kwa sababu ya ukoloni. Mataifa yaliokua yanatawaliwa hayakua na uchaguzi ispokua kushiriki walau kwa kutoa askari.

Halafu dunia ni lazima iwe na taifa/dola lenye uwezo na nguvu kubwa linalidhibiti mengine. Iko hivyo tangu kale. Tangu enzi za falme ndogondogo mpaka madola makubwa kama la Babiloni, Misri, Roma, Britain, n.k.

Na kwa sasa ni USA ndio mtawala. Tangu baada ya vita ya 2 ya dunia amekamatia. So kama ana mipango ya NWO ni sawa tu maana ndo wakati wake. Nae itafika mahali ataanguka atakuja mwingine. Kama tu Roma lilivyoanguka japo nadhani Roma ndio limetawala kwa muda mrefu sana (karne zaidi ya 20) kuliko madola mengine.

At that point (call it an era or epoch maana ni miaka resentments zikiwa zinabuild up) lazima pawe na unrest kubwa sana duniani kwa kupangwa au kwa ajali.

Mostly kwa ajali maana tension itakua imefikia pa kubasti. Na taifa litakalokua na viongozi waerevu na technolojia imara ya kivita ndio litaibuka tawala kwa enzi ingine.

Hizo stori zingine za njama/conspiracy haziendani kabisa na historia ya dunia ya kukua na kuanguka kwa madola.
 
Kitu gani kilileta hiyo enlightement? Kwanini haikuwepo kabla?

Kwa kawaida tu iko hivi...

Adamu ni binadamu wa kwanza kabisa kuumbwa,kwa maana rahisi kabisa huyu ndiye binadamu aliyekuwa bora kuliko wanadamu wote katika nyanja zote ukianzia kufikiri hadi body ability kwasababu huyu ndiye binaamu "original" kabisa au wa kwanza.Baada ya kuanguka dhambini first corruption ndani ya mwili wa Damu ilianzia hapo,ule ubora wake ukapungua,kwa maana rahisi kabisa Adamu yule ambaye alikuwepo kabla ya dhambi siyo huyu wa baada ya dhambi....

Baada ya hapo aliendelea kuishi na baadaye alipata watoto,watoto hawa ni copy ya Adamu,japokuwa Adamu alikuwa ameshapungua ubora wake baada ya dhambi bado watoto hawa hawakuweza kufanana na Adamu in trem of quality kwasababu hao ni copy yake.Zoezi liliendelea hivyo na kadiri kizazi kilivyokuwa kinaendelea binadamu aliendelea kuzaliwa na kuwa dhaifu zaidi na zaidi hadi kufikia sisi leo.Kwa lugha rahisi kabisa ni kwamba sisi ni copy ya copy ya copy ya copy ya copy ya copy ya copy na kuendelea....

Sisi ni dhaifu mara millioni nyingi zaidi ya Adamu.Hili linaonesha kwamba,badala ya binadamu kuendelea kuwa bora anaendelea kuwa wa hovyo zaidi na zaidi.Sasa,kwasababu ukweli huu ungemfanya binadamu kujua kwamba Adamu alifanya kosa kubwa sana na kumfanya binadamu kumrudia Mungu,Shetani ameleta uongo mkubwa sana wa kwamba eti tunaendelea kuendelea zaidi kuliko zamani na ndiyo hiyo dhana yako ya "enlightenment" inakuja.Usichokijua kabisa ni kwamba hiyo enlightenment unayoisema wewe hujui kabisa ni ipi,wamekuletea tu dhana na wewe umeimeza....

Wenzako wanaposema enlightenment wanarejea Eden ambako Adam alipewa "enlightenment" ambayo wao wanasema ndiyo chanzo cha yote haya....

Jiuliza,hicho kilichomfanya huyu binadamu kukipata kipindi hicho unachokisema wewe ni kipi ambacho hakikuwepo kabla? Vita? You must be kidding jombaa.Vita vimekuwepo ever since binadamu ameanza kujaa kwenye uso wa dunia tena vita vimekuwepo vikubwa sana huko kabla halafu leo unakuja kusema vita vilimfanya binadamu awe na "mwanga"?

Hii siyo kwa wale wenye akili mkuu.Na haya ni matokeo ya kutokuijua historia sahihi na inapelekea watu kudanganywa kirahisi kabisa eti vita vilileta mabadiliko huko kwa wazungu.Kwanini iwe kwa wazungu na siyo huku kwetu?
By the way,kwanini binadamu aliyekuwa bora zaidi huko nyuma ashindwe kupata huu "mwanga" aje apate binadamu wa kipindi cha A.D huku?

Reasoning ndiyo itakukomboa mkuu....
Kabla sijakujibu au kutoa maelezo yangu kuhusu hili. Naomba kujua kama unaufahamua au uelewa wa nini halisi kilitokea kipindi hicho kwa maana ya HISTORY na kwa nini?
Pili ushauri mwingine unaposema hiki ni hapana ni hekima kusema NDIO ni kile, Uwe free kushare hata kama ni hao machotara wa kishetani nao uwaelezee kinagaubaga with evidence, historical. Na kama ni siri useme pia. Nitajibu na kuelezea kuanzia kwa adam pia kama uliivyohitaji, ukumbuke anasema He held a Level 3 (Rhyolite 38) security clearance (kama hili sio sehemu ya unachokiamini)
 
Huyu alikuwa anachimba shimo, tena mita nyingi ardhini kuna jambazi gani ardhini ndio maana nilitoa mfano wa shimo la choo. Huo mfano wa daktari hauko compatible na mada.
Msingi wa hoja yako ni mtu kuingia kwenye eneo la kufanyia kazi ambapo halihusiani na yeye kumiliki silaha.Bahati mbaya kabisa hujaeleza ni kwa vipi huo mfano wangu hauko sawa na ulichokisema....

Unashangaa huyu mtaalam wa miamba kuingia shimoni na silaha mahali ambapo hapaswi kuingia na silaha,je,hospitalini tena kwenye chumba cha kumhudumia mgonjwa ni sawa kuingia na silaha?

Hivi huyu jamaa,tena kwa wadhifa aliokuwa nao,siyo jambo la ajabu kumiliki silaha,wakati anatoka nyumbani kwake kuelekea kazini ni lazima alichukua silaha yake ambayo ni kwaajili ya kujilinda na kufika nayo kazini,kuna ubaya gani kwenda nayo kwenye eneo la kazi? Ulitaka aiache wapi? Ni sawa kuacha silaha yako mahali tu hivi hivi?

Mkuu u nafikiria namna gani?
Hizo stori za huyo jamaa tuziache tu maana zote ni uongo labda kama una source nyingine, kwa sifa unazowapa alliens na hilo tukio havina uhusiana labda ndio maana analyst wengine wanasema alikuwa anaugonjwa wa akili. Hiyo ni Invalid source sio lazima utoe nyingine endelea na tafiti zako mkuu.
Bila hata kueleza ni kivipi ni uongo ushahitimisha kuwa ni uongo,inastaajabisha kabisa....

Ulisema kwamba utakuja kusema kipi ni uongo na kipi ni kweli kwenye maelezo uliyoyaleta, na mimi nikawa nasubiria uchambuzi ambao utakuja kuelezea kwa kina ni kivipi siyo kweli mambo fulani na fulani na kwanini mambo fulani na fulani ni kweli lakini naona umeishia kukanusha tu.Hii ni hatari sana kwa afya ya akili na inaonekana hukuwa na haja ya kufanya ulichosema kuwa utafanya.Nimesikitika sana aisee.....

Sifa ninazowapa aliens ni uongo based on this only siyo? Tena bila hata kusema ni uongo kivipi,interesting.....

Mgonjwa gani wa akili anauawa?Kwanini?

Mgonjwa gani wa akili anawindwa kuuawa kwa matukio zaidi ya 10?

Mgonjwa gani wa akili anafanya kazi serikalini kwenye kitengo maalum kama hiki?

Mkuu vipi aisee?

Aisee....

Mbona unapinga tu bila basic ya unachopinga?
Tueleze pia kwa tafiti zako What happened WW2 na WW1 maana unaweza kusema kombora la masafa la kwanza duniani ( Vergeltungswaffen-2 ) lililootengenezwa na NAZI Scientist Wernher von Braun, underground huku mashahidi (Jews) walioshiriki kama vibarua hadi leo wapo hai na Musseum ipo utaniambia ni Aliens walishiriki na Hitler. naomba mtazamo wako.
300px-Fus%C3%A9e_V2.jpg
images
GettyImages-495791854-E.jpeg

Kwanza nilikushauri kwamba unapotaka mtazamo wangu kuhusu suala fulani ni afadhali ukaniuliza nikakueleza kuliko ku assume halafu ukafanya assumption zako kuwa sahihi wewe mwenyewe...

Pili,kuna ushahidi pia kuwa Hitler na NAZI walikuwa na secret meeting na hawa viumbe na pia walikwenda bara antarctica na hiki ndiyo kilichompeleka Admiral Raymond Byrd askari ambaye alikuwa ni Navy Officer wa jeshi la Marekani kule na alikaa sana kule na kuna mambo alikuja kuyasema baada ya kutoka huko unaweza kuyatafuta na utayapata...

Angalozo;
Usije kuanza kusema tena msinbgi wa ninayoyasema ni huyu askari maji wa ki-Marekani maana wewe namna unavyofikiri unaijua wewe mwenyewe tu.Lakini ishu ya Hitler na Aliens pia ipo unaweza kuitafuta mwenyewe na ukajua....

Pia unaweza kufuatilia na ukajua ni nani aliyekuwa mtaala wa kemikali wa NAZI kipindi kile na aliyesaudua sana kupatikana kwa acid na silaha za kinyama kabisa zilizotumika na NAZI kuua watu Ulaya wakati wa vita vile pamoja na kuhusika kwao na "Hallocast"....

Kuna mengi sana na naona kama hatuwezi kujadili jambo hili mkuu maana mimi na wewe tunayatazama mambo haya kwa namna tofauti sana na naona kama unakataa mambo bila ku reason jambo ambalo linanifanya nisione kama kuna nitakachojifunza kutoka kwako na kama nitapata changamoto nzuri kutoka kwako.....
 
Kabla sijakujibu au kutoa maelezo yangu kuhusu hili. Naomba kujua kama unaufahamua au uelewa wa nini halisi kilitokea kipindi hicho kwa maana ya HISTORY na kwa nini?
Pili ushauri mwingine unaposema hiki ni hapana ni hekima kusema NDIO ni kile, Uwe free kushare hata kama ni hao machotara wa kishetani nao uwaelezee kinagaubaga with evidence, historical. Na kama ni siri useme pia. Nitajibu na kuelezea kuanzia kwa adam pia kama uliivyohitaji
Kipindi "hicho" kipi mkuu?
 
Kujua au kushiriki kujenga hizi D.U.M.Bs siyo kujua lengo lake ni lipi.Unaweza kutengeneza gari lakini usijue linakuja kutumika kwenye malengo yapi,tofautisha haya mambo mawili mkuu...

Kwa faida ya nani wakati hata wanaokubaliana na suala hili ni wachache sana tena sana?

Hivi ni kwanini wasilipigie debe ili watu dunia nzima wakaogopa na kuwafanya wakaitawala dunia kirahisi?

Nina vyanzo vingi sana vya haya mambo na vingine siwezi kukupa hapa hata kwa bunduki najua ni kwanini sikupi.Pia ni ngumu sana kukupa kila chanzo maana ni vingi sana.Nashangaa unadhani kuwa eti chanzo changu ni huyu mtu mmoja tu....
A23.jpg

labda uwe specific hukubaliani nae nini na unakubaliana nae nini. Sina haja ya kulist vitu anavyodai anaushahidi nao. ili tutuoke hapa. elezea na uwe specific (Direct to the points)
 
Kipindi "hicho" kipi mkuu?
Tunazungumzia enlignment ou age of reasoning, ambacho umeonyesha mashaka juu ya uhalali wake.

Kabla sijakujibu au kutoa maelezo yangu kuhusu hili. Naomba kujua kama unaufahamua au uelewa wa nini halisi kilitokea kipindi hicho kwa maana ya HISTORY na kwa nini?
Pili ushauri mwingine unaposema hiki ni hapana ni hekima kusema NDIO ni kile, Uwe free kushare hata kama ni hao machotara wa kishetani nao uwaelezee kinagaubaga with evidence, historical. Na kama ni siri useme pia. Nitajibu na kuelezea kuanzia kwa adam pia kama uliivyohitaji
 
Back
Top Bottom