WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

It's all true and is about new world order, religion unification for sake of fake peace and unity!! And roman catholism under papacy are match maker and the master mind! But the Bible warns about this,through the Revelation,,!!
Kabla hujaniambia niseme hiki unachonitaka niseme unachopaswa ni kuunganisha ukisemacho na biblical prophecies ndipo uniambie haya.lakini unapodai tu haya madai yako bila kufanya ninachokutaka ufanye ni kupoteza tu muda....

Unatoa madai bila hata kusema ni kivipi unasema hivyo....

Huo mtiririko wa unabii wa Biblia kwenye Danieli 2 unahusiana nini na unachokisema hapa?

Hii sensa ilifanyika dunia nzima mkuu?

Mbona unaongeza chumvi sana?

Pia,haya nayo yanahusiana nini na unachokisema?

Hakuna mahali ambapo Mungu alisema kutakuwa na tofauti ipi ya miaka baina ya ufalme mmoja na mwingine...

Kama kutakuwa na tofauti ya wiki moja au hakutakuwa na tofauti hata ya siku moja baina ya ufalme A na ufalme B hii haimaanishi pia itakuwa hivyo baina ya ufalme B na C au C na D,hili ndilo tatizo kubwa sana kwa ninyi ambao mnauhusisha unabii huu na Rumi....

Moja:Unapaswa uwe makini sana kwenye maswali ninayokuuliza kwasababu sikuulizi kwasababu sijui bali nakuuliza ili nipate ufafanuzi kwako kuhusu suala husika ili nione kama unatumia mantiki au sivyo hivyo usidhani kwamba nauliza kitu nisichokijua...

Mbili:Ishu ya kuhusishwa kwa ufalme wa nne kwenye sanamu ya Danieli 2 na miguu miwili ni assumtion tu na jambo hilo halipo kwenye maandiko.Mungu anapotaka kukitolea kitu maelezo huwa anakuwa wazi,tazama Danieli 2:42,hivyo kwasababu Mungu hakutaja suala la miguu kuhusiana na ufalme ule wa nne basi hili suala la wewe na wenzako mnaokubaliana na hiyo fasiri yenu ya unabii siyo sahihi ni asumption yenu tu na tunawaachia ninyi wenyewe....

Tatu:Kosa kubwa kabisa ambalo huwa mnalifanya wewe na hao wanaokubaliana na hii fasiri ya unabii wenu wa Danieli 7 na 2 ni kudai kwamba Rumi ilianguka mwaka 476 wakati ufalme ulioanguka mwaka huo ni Rumi ya Magharibi tu.Rumi ya mashariki haikuanguka mwaka huo na iliendelea hadi karne ya 13 huko ikaja kuangushwa na Ottoman Empire kule Istanbul Constantinople] hivyo madai yenu hayapo sahihi...

Rumi ya mashariki ilianguka mwaka 1453 soma hapa Byzantine Empire - Wikipedia

Nne:Unabii wa Danieli 7 kuhusu mnyama wa nne na pembe zake unazungumza kinyume na usemacho.Malaika alipokuwa akimpa ufafanuzi Danieli juu ya pembe za mnyama wa nne alisema "hao ni wafalme watakaoinuka kwenye ufalme huo" hakusema "hizo ni falme" zitakazoinuka katika ufalme huo kwa sababu unaposema pembe zile ni nchi unakuwa unamaanisha hizo ni mamlaka ambazo kiunabii ni falme na hazihusiano kabisa na ufalme husika wakati siyo kweli kama unabii unavyosema....

Danieli 7:24

24 Na habari za zile pembe kumi, katika ufalme huo wataondoka wafalme kumi; na mwingine ataondoka baada ya hao; naye atakuwa mbali na hao wa kwanza; naye atawashusha wafalme watatu.


Kwa context ya ufafanuzi huo wa unabii kutoka kwa malaika ni kwamba hao wafalme kumi ndiyo watakuwa wanaongoza ufalme huo wa nne na mmoja ataibuka ambaye atakuwa tofauti na wengine ambapo atawaangusha wafalme watatu na siyo kuobndoa falme tatu kama tafsiri yako inavyosema,kwa maana hii ni kwamba haupo sahihi kabisa mkuu....
Naomba nitoe muhutasari wa bandiko lote hili.
Ili twende sawa tutofautane kwa hoja jengefu. Nimetoa Msimamo na Uelewa wangu kuhusu Daniel 2, 7 kuwa ni vitu vinaendana. Msimamo huu ndio ulikuwa msimamo wa waprotestant wote kabla hawajachakachuliwa sasa wakiwemo waldenses, hussites, wycliff, martin luther, john gill, baptist theoregians, tyndale, na wengine wengi na mimi naungana nao mkono pasipo shaka. Ndio maana wao walienda mbali hadi kuziweka sanamu hizo makanisani na viongozi wao akiwemo na kiongozi wa Rumi enzi hizo kaisari. Luther alitamka wazi kabisa kuwa anti christ ni nani.

Picha.
N%C3%BCrnberg_Rathaus_(The_Town_Hall)_4.jpg


Sasa nikuombe kitu kimoja.
Eleza vyote unavofahamu kuhusu Daniel 2, 7 then nijue naongea na mtu anayeamini nini, naona kama unmarukaruka na kupita pembeni. Pia nitakueleza hata mwanzilishi wa hicho unachoamini maana nimeshapata mwangwi wake na kwa nini aliiweka hivyo.
 
Hii vita ya tatu unachoongea ni uongo mtupu unaoutaja katika barua yako
Mtazamo mzuri, hebu tueleze unamaarifa gani ya kutufahamisha kuhusu hilo.
Hatupingani bali tunatofautiana kwa hoja, Na hakuna aliyesema ni Ukweli bali ni mtazamo ambao uko mezani tunaujadili mkuu.

KAribu
 
Sikukupa mstari kutoka kwenye kitabu kitakatifu cha Biblia kukuonesha hili na ukashindwa vibaya sana kutetea hoja yako?

Aliyesema kuwa ukubwa wa Goliati ndiyo sababu ya mimi kusema ni Mnephil ni nani?

Moja:Sikumleta hapa Phill Schneider kwaajili ya kuthibitisha Wanefili,hii inaonesha ni namna gani hauko makini na ninachoandika hapa mkuu...

Pili:Nilisema ni kwenye maelezo yapi sikubaliani naye na kwaanini na siyo kwasababu unayoileta hapa,acha kuzusha mkuu,sema tu ukweli hata kama hutaki...

Tatu:Ni uongo mkubwa kusema mazingira yote ni uzishi wakati hujafanikiwa hata kuonesha angalau jambo moja tu ambalo ni uongo,tangu umeanza kumjadili huyu jamaa umekuwa ukirusha shutuma kuwa ni uzushi na uongo bila hata kujenga hoja ya unachosema,hii ni mbaya sana mkuu...

Ujue wakati mwingine hadi napata uvivu kuandika na kujibu maana ni kama sijui husomi ninachoandika au inakuwaje...

Nilikuonesha kwa kujenga hoja namna ambayo binadamu wa kwanza na huyu wa sasa wana tofauti kubwa sana ya kiuwezo,lengo na kukuonesha hili ni kutaka uone vile ambavyo umekubali uongo wa kwamba dunia sasa ina maendeleo makubwa na maendeleo haya yameletwa na mwanadamu tu.Nikakuuliza kwamba,kama Adamu,kwa namna nilivyokuonesha,alikuwa bora mara millioni zaidi ya mimi na wewe,alishindwaje kufikia haya maendeleo halafu wewe ambaye ni dhaifu zaidi uyafikie? Hili nilikuwa nataka tu uone uongo uliopo ili uanze kufikiri zaidi...

Hapo sijazungumzia mambo mengine ambayo nayo nilikuonesha kukufabnya uelewe ninachokuambia....

Pia,pamoja na kusema yote hayo sikuwa na maana kwamba binadamu amekuwa kama kondoo asiyeweza kitu,jambo hili nimekuambia huko nyuma lakini sijui ni kwanini huelewi na unakuja kusema hapa kwamba naweza hata kumsema @Maxence Mello kuwa ni hybrid kwasababu tu amebuni hii forum.Hii niseme kabisa kutoka ndani ya moyo wangu kwamba imenisikitisha sana maana kama maelezo yote yale ndiyo unaelewa hiki siyo siri napata wasiwasi kama hata kuna ambacho unacho gain hapa...

Ninachotaka uelewe na wengine wakielewe ni kwamba,binadamu ana akili lakini siyo ya namna hii na haya maendeleo yote,kuna msaada kutoka nje ya mwanadamu huyu....

Mkuu,sasa hakuna Mpinga Kristo bali kuna roho ya Mpinga Kristo ambayo inafanya kazi ndani ya watu.Mpinga Kristo kama kiongozi mkuu wa dunia hayupo kwa sasa...

Hujanielewa kuhusu waaminifu wa Mungu na kuwepo kwao wakati wa Mpinga Kristo,hili tuliache kwanza,lakini ninachotaka kukueleza ni kwamba ulichodhania kuhusu ninachoamini juu ya hili siyo sahihi....
Umeeleza mengi, ila kuhusu hao jamaa chotara naona nikuache uendelee nao. Maana hata ulipoombwa utoe Muhutasari wa WHo are they, How are they going to impliment NWO, What is their purpose, Ni faida gani kwa Waliowaunga mkono watawapata. Mfano wa chotara mmoja anayeishi na watu dunai ya sasa Hadi kesho hujaweka muhutasari hawa hizo stori kwa maarifa macache ya punje ya mchanga uliyonayo kama ulivyotufahamisha. Goliath pamoja na wewe kumuhusisha na WANEPHILI/AU CHOTARA VYOVYOTE UTAKAVYO na Kwa maelezo yako tulitegemea Goliath awe na uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko hata wale kaka zake daudi na wayahudi wote. Cha ajabu Goliath kuonyesha Utaahira wake alivua Helment wakati anapigana na mtu mwenye jiwe. Golath alikuwa mbumbumbu kuliko hata mwanadamu wa kawaida.

SWALI: Niwekee kitu ambacho unaamini mwanadamu hawezi kubuni hadi kubuniwe na HYBRID au ALIEN? Kama ni Kombola la SATAN 2(Sarmat intercontinental ballistic missile). Hizo Idea Nicola tesla alizidemnstrate kitambo sana hadi akataka kupewa tenda na British loyal navy awatengenezee long range missile kwa idea zake za Wireless transmission. Hicho kitu pia ni development ya kazi ya Wernher von Braun's ambae document zake nyingi zilikuwa smuggled US na USSR katika Espionage war at the eve of WW2.
 
Dahh kaka pole, kama umeshindwa kutambua kwamba Solomon alikua na maarifa na hekima zaidi ya Adam basi bado unaamini huyo Adam alituzidi akili pia!!!!
Mkuu sio Solomon tu, Hata Musa Mungu alisema ni Mtu mpole kuliko wote dunia nzima (HESABU 12:3)na hakuwahi kumPa upole kaMA akisema Suleiman alipewa akiwa mtu mzima. Kwa theory za mkuu Eiyer anatwambia Ubongo na uwezo wa Mwanadamu Unapungua uwezo kadili siku zinavyosonga kwa mifano ya kina Messi na Maradona.

Nadhani Adam ndio mwanadamu aliyetumia asilimia ndogo sana ya uwezo wake kwa sababu alikuwa na resource zote tena hakuwa na changamoto kabisa. Baada ya Dhambi na kufukuzwa aanze kujitegemea Adam Alianza kuexplore the Unlimited capacity ili kuyafanya mazingira (Limited Resources kwa sababu zililaaniwa) kuwa rafiki. Hadi kesho mwanadamu anaendelea kutumia ubongo wake vilivyo kujipatia mahitaji yake katika mazingira ambayo sio rafiki.
Hapa ndipo mkuu Eiyer anapigwa chenga. Hii concept Mchumi Adam Smith aliandikia Pepar na kusababisha Bunge la uingeleza Kuitisha Sensa ya kwanza katika Modern World ili kuangalia watawezaje Kuutilize Limited resource kwa population iliyopo. mambo haya yanamsababisha mwanadamu wa leo aunlock his unused brain potentials vitu ambayo adam alikuwa hata afikillii.
 
Dahh kaka pole, kama umeshindwa kutambua kwamba Solomon alikua na maarifa na hekima zaidi ya Adam basi bado unaamini huyo Adam alituzidi akili pia!!!!
Adam alikuwa wa kawaida sana. Jamaa anachanganya Umri na Akili au uwezo wa mwanadamu kubadili mazingira yamnufaishe.
 
Umeeleza mengi, ila kuhusu hao jamaa chotara naona nikuache uendelee nao. Maana hata ulipoombwa utoe Muhutasari wa WHo are they, How are they going to impliment NWO, What is their purpose, Ni faida gani kwa Waliowaunga mkono watawapata. Mfano wa chotara mmoja anayeishi na watu dunai ya sasa Hadi kesho hujaweka muhutasari hawa hizo stori kwa maarifa macache ya punje ya mchanga uliyonayo kama ulivyotufahamisha. Goliath pamoja na wewe kumuhusisha na WANEPHILI/AU CHOTARA VYOVYOTE UTAKAVYO na Kwa maelezo yako tulitegemea Goliath awe na uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko hata wale kaka zake daudi na wayahudi wote. Cha ajabu Goliath kuonyesha Utaahira wake alivua Helment wakati anapigana na mtu mwenye jiwe. Golath alikuwa mbumbumbu kuliko hata mwanadamu wa kawaida.

SWALI: Niwekee kitu ambacho unaamini mwanadamu hawezi kubuni hadi kubuniwe na HYBRID au ALIEN? Kama ni Kombola la SATAN 2(Sarmat intercontinental ballistic missile). Hizo Idea Nicola tesla alizidemnstrate kitambo sana hadi akataka kupewa tenda na British loyal navy awatengenezee long range missile kwa idea zake za Wireless transmission. Hicho kitu pia ni development ya kazi ya Wernher von Braun's ambae document zake nyingi zilikuwa smuggled US na USSR katika Espionage war at the eve of WW2.
Huyu jamaa ana ignore uwezo mkubwa wa individuals kama Einstein, he was brilliant mpaka akaandikiwa barua ya kuombwa kuwa raisi wa Israel kipindi hicho
 
Huyu jamaa ana ignore uwezo mkubwa wa individuals kama Einstein, he was brilliant mpaka akaandikiwa barua ya kuombwa kuwa raisi wa Israel kipindi hicho
Sio einstain tu mkuu kuna wajerumani Wanasayansi ambao ilibidi US waandae Special operation Katikati ya vita ww2. Kikosi maalumu kiliandaliwa kiwatafute popote walipo mafichoni ili waje kuwa hazina ya marekani. Matokeo yake 1969 Apollo ikatua Mwezini (ingawa hili huwa linachangamoto).
440px-Project_Paperclip_Team_at_Fort_Bliss.jpg

bumper8_launch-gpn-2000-000613.jpg

Matunda mazuri ya Operation Paperclip
 
Sio einstain tu mkuu kuna wajerumani Wanasayansi ambao ilibidi US waandae Special operation Katikati ya vita ww2. Kikosi maalumu kiliandaliwa kiwatafute popote walipo mafichoni ili waje kuwa hazina ya marekani. Matokeo yake 1969 Apollo ikatua Mwezini (ingawa hili huwa linachangamoto).
440px-Project_Paperclip_Team_at_Fort_Bliss.jpg

bumper8_launch-gpn-2000-000613.jpg

Matunda mazuri ya Operation Paperclip
Genesis 11:6 King James Version (KJV)

6 And the Lord said, Behold, the people is one, and they have all one language; and this they begin to do: and now nothing will be restrained from them, which they have imagined to do.

Genesis 11:6 New International Version (NIV)

6 The Lord said, “If as one people speaking the same language they have begun to do this, then nothing they plan to do will be impossible for them.

Mungu mwenyewe anafahamu fika, watu wakiungana kwa ajili ya lengo moja hakuna kitakacho washinda.
 
Kama tumefanyiwa kama kwenye kitabu cha Plato The Republic, ama kama ni kweli kuna master puppeteers wanaotuchanganya akili na all thaat has been said kwenye huu uzi. kama ni kweli,
kwenye hukumu ya siku ya mwsho, ntakua na kosa gani wakati most of my choices were already limited by some men who thought they are mightier than God.

Why would God judge a blameless victim??
 
usipaniki toa mitazamo yako na mwingine atoe yake. Soma daniel Mbili Ameona Sanamu na tafsiri yake imeandika ni Ufalme, Unaweza kusema sio Rumi, Lakni Bado kataja Umedi na Uajemi, Babylon, Wayunani na Ufalme huo wa mwisho wa chuma haujatajwa jina na mwisho wa Siku ndio ukaja kwenye hilo fungu la chuma hichohicho. Inabidi ueleze HAO MASHETANI KUFANYA MAPENZI wanaingilia wapi wakati walikuwa wanaongelea watu na Mmoja ya hao wafalme ndio alikuwa anahadithiwa hayo mambo na akaambiwa kabisa WEWE nebuchanezer ndio ile sehemu ya kichwa cha dhahabu. Naanza kupata mashaka kama hata unamepapitia hapo

Hadi sasa Unasema kitu ni uongo bila kuonyesha Ukweli ni upi kwenye kitu hichohicho unachokipinga. Hauni kama unafeli mkuu.


3 And whereas thou sawest the iron mixed with miry clay, they shall mingle themselves by the seed of men; but they shall not cleave one to another, even as iron doth not mingle with clay.

Hao They wameelezewa hapo juu na Ni watu,
Soma chapter nzima uone content na context ya story nzima chief.
nadhani suala la mashetani kuzaa na binadam linaeza kua justified na masuala ya kichawi ambayo yapo sasa....
i think umeshawahi kuskia waganga wanawapa wanawake mimba na hao watto mara nyingi huusishwa na kua watto wa shetani or majini or sth like that...kama hii inaezekana.....i think ata iyo concept ya wanefili inaezekana....

n.b. i don't really care about these issues.. but i think if one scenario is possible the other might as well be possible
 
Niliponukuu danieli 2:43 sikunukuu ili kuonesha kuwa malaika wa shetani waliingiliana kimwili na binadamu bali nilikuonesha kwamba wakati huu wa mwisho kuna aina ya viumbe
hapo nyuma ulisema UFO/ALLIENS ni product ya unachokipinga hapo juu
Rudia Daniel 2. Wao wewe unasema ALIENS/UFO. Naiona shida hapo.
Maana unaweza kuniambia Yesu alipomwambia Petro Rudi nyuma wewe Shetani kesho utasema Petro alikuwa UFO.
Mkuu Ukisoma hapo daniel 2, mtiririko unazungumzia KINGDOMS (Ufalme wa wanadamu). Unataka kuchomekea UFO hapo kimakosa kabisa. Na wao maana watawala waliokuwepo, watajichanganya na wanadamu wengine ili kutengeneza upamoja wa damu ili waendelee kutawala lakini itashindikana.
UFO - Unidentified flying Object..
naona hii concept imechanganywa apa,,,

jeshi la tz likiona ndege ama kitu kinachopaaa....na wasijue imetoka nchi gani au ni ya nani.... tayar iyo inakua classified as an UFO... sio lazma aliens kutoka sayari zngne..
 
Mkuu, ulivyotoa quote ya enoch wa kweli (kwa maelezo yako) naona MSEZA MKULU katoroka.

Sina utafiti wowote ila haya mambo mi naona kama ni njama flani tu kutoa watu kwenye reli flani, ama kuwajengea hofu ili wakimbilie ukombozi flani ama ni namna ya kuandaa mpango flani wa wajanjawajanja ambao waliwahi kuerevuka na wana lengo lao wengi hatulijui.

Vyovyote vile, napata shida sana kuamini kwamba kwa miaka yoooote hii kuna kitu kinafichwa. Kwa uwezo wa binadamu tungeshang'amua.

Na hata kama kinafichwa hakihusiani na shetani na Mungu maana hata hiyo stori ya Adam na Hawa mi huwa inanipa shida sana kuiamini. Haya ni mawazo yangu.

Kuna jambo umeongelea juu ya waisraeli ama wayahudi kuwa wabantu. Tafadhali fafanua na kama una vyanzo credible nidadavulie.
our minds are engineered.... our faces are directed to what they want us to see,,... kardashians(for instance), wasanii, muziki usioelewka, movies, haki za wanawake, ndoa jinsia moja, uchaguzi marekani, vita uarabuni.....basically everything that the.media is promoting kwa nguvu sana...

hii inaleta generation ya mazuzu... kuna mtu kaelezea kuhusiana na wanawake kufanya kazi sababu zake...

soma juu ya experiments. za kucontrol akili za waty

soma juu ya puppeteering.... kuna watu wana kesi kabisa mahakamani
simply puppeteering ni kucheza ile.midoli kwa kamaba.,..stejini,..anaechezesha hatumuoni,,,. This is pretty much what is happening...

Us as puppets can never do what we aren't controlled to do...

ukitoroka wanakurudosha tuu mstarini.... refer Pinochio the book/movie/cartoon za watto,,,
yani wameanza kukupotosha kuanzia movie na vtabu ulivosoma na kuangalia utotoni
 
Sijui umeitaja rangi nyeusi kwa kutaka kuonesha ni jambo jema kwa wao kutokuwepo kwenye kadhia hii au umetaja kunesha uduni....

Kama umeitaja ili kuonesha uduni utakuwa unakosea sana maana utakuwa mbali sana na ukweli....
Mkuu Eiyer,tushirikishe ukeli halisi na sio ule halisi wa kutengenezwa.
 
Nimekupa ushahidi wa kuwepo viumbe ambao siyo wanadamu...
Nimekupa ushahidi wa kukuonesha kwamba siyo kweli kwamba binadamu wa sasa ni bora zaidi ya binadamu wa kale...

Kwa maoni yangu ni kwamba kama binadamu wa sasa siyo bora kuliko wa zamani ni wazi kwamba haya maendeleo yanaletwa na vbiumbe wengine ambao siyo binadamu,wewe unaambiwa ni binadamu ili waendelee kukudanganya kuwa matukio kama Tsumani ni matukio ya kiuhalisia wakati siyo kweli....

Lakini zaidi sana nimesema hapa kwamba mipango yote hii ikiwemo na mengine ni kwaajili ya kuiweka dunia katika mazingira ya kuja kutawaliwa na Antichrist ambaye ndiye atakayeonekana kuwa ni mkombozi kutoka kwenye majanga kama hivi vita ambavyo wewe umeviandikia mada.....
Nimefuatilia sana majibu yako unavyomjibu mleta mada,kwanza kabisa nafahamu atakakuwa ni mtu aliyesoma wala siyo mbumbu flan hivi,kinachonisikitisha ni kwamba shule yake haina tofauti na wasomi wengi waliopo hapa Tanzania,hasa maprofesa wa Tanzania.

Kifupi ni kwamba,binadamu wa sasa si bora kabisa ukilinganisha na binadamu wa kale,maisha yamekuwa mafupi mno,maradhi yameongezeka sana,kufikisha miaka 50 ni ishu,kila mtu ni mgonjwa,mfano kama mtu hana HIV basi atakuwa anasumbuliwa na kisukari,kama hana kisukari ana uvimbe tumboni,kama hana uvimbe tumboni ana presha,kama hana presha ana vidonda vya tumbo,kama hana vidonda vya tumbo ana homa ya matumbo,UTI ,kama hana UTI ana malaria,kama hana malaria ana kansa ya tezi dume,fistula,watoto wenye utindio wa ubongo,vyakula vya asili vimepotoea na vingi vilivyopo ni feki hatari mtupu,kwa hiyo binadamu wa sasa ni dhaifu sana kimwili na hata kifikira,hii wala haihitaji kwenda shule sana ili kulitambua hilo.
 
our minds are engineered.... our faces are directed to what they want us to see,,... kardashians(for instance), wasanii, muziki usioelewka, movies, haki za wanawake, ndoa jinsia moja, uchaguzi marekani, vita uarabuni.....basically everything that the.media is promoting kwa nguvu sana...

hii inaleta generation ya mazuzu... kuna mtu kaelezea kuhusiana na wanawake kufanya kazi sababu zake...

soma juu ya experiments. za kucontrol akili za waty

soma juu ya puppeteering.... kuna watu wana kesi kabisa mahakamani
simply puppeteering ni kucheza ile.midoli kwa kamaba.,..stejini,..anaechezesha hatumuoni,,,. This is pretty much what is happening...

Us as puppets can never do what we aren't controlled to do...

ukitoroka wanakurudosha tuu mstarini.... refer Pinochio the book/movie/cartoon za watto,,,
yani wameanza kukupotosha kuanzia movie na vtabu ulivosoma na kuangalia utotoni
Nyie watu wa stori za njama bana. Ukiambiwa uthibitishe inakuaje?
 
Nyie watu wa stori za njama bana. Ukiambiwa uthibitishe inakuaje?
ndo maana mkuu nmekuambia soma kuhusu
1. Puppeteering... kuna watu wana kesi kama hii...kuinfluence masses for their benefit

2. secret programs kama Project MKUltra

3. DARPA.

izi ndo nakumbuka kwa harakaharaka,,,,lakini zipo nyngi sana,,, na usiseme ni conspiracies.,,maana zote nlizotaja apa ni proved, na kumekua.na kesi au demonstations juu ya kupinga hvi vitu...

sasa wewe endelea kubaki na huo ujinga wako uko kichwani
 
ndo maana mkuu nmekuambia soma kuhusu
1. Puppeteering... kuna watu wana kesi kama hii...kuinfluence masses for their benefit

2. secret programs kama Project MKUltra

3. DARPA.

izi ndo nakumbuka kwa harakaharaka,,,,lakini zipo nyngi sana,,, na usiseme ni conspiracies.,,maana zote nlizotaja apa ni proved, na kumekua.na kesi au demonstations juu ya kupinga hvi vitu...

sasa wewe endelea kubaki na huo ujinga wako uko kichwani
Nikijua ni kweli ndo napenda hivyo ili niweze kuungana na hao wtu wa hizo makitu. Ndo maana naona ni njama tu kwa sasa.
 
Back
Top Bottom