WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

Dahh kaka pole, kama umeshindwa kutambua kwamba Solomon alikua na maarifa na hekima zaidi ya Adam basi bado unaamini huyo Adam alituzidi akili pia!!!!
Thibitisha....

Ukimaliza hili nitakuja kufyeka hiki kichaka chako hadi utashangaa mwenyewe....
 
Thibitisha....

Ukimaliza hili nitakuja kufyeka hiki kichaka chako hadi utashangaa mwenyewe....
1 Wafalme 3:11-12

11 Mungu akamwambia, Kwa kuwa umeomba neno hili, wala hukujitakia maisha ya siku nyingi; wala hukutaka utajiri kwa nafsi yako; wala hukutaka roho za adui zako; bali umejitakia akili za kujua kuhukumu;

12 basi, tazama, nimefanya kama ulivyosema. Tazama, nimekupa moyo wa hekima na wa akili; hata kabla yako hapakuwa na mtu kama wewe, wala baada yako hatainuka mtu kama wewe.
 
1 Wafalme 3:11-12

11 Mungu akamwambia, Kwa kuwa umeomba neno hili, wala hukujitakia maisha ya siku nyingi; wala hukutaka utajiri kwa nafsi yako; wala hukutaka roho za adui zako; bali umejitakia akili za kujua kuhukumu;

12 basi, tazama, nimefanya kama ulivyosema. Tazama, nimekupa moyo wa hekima na wa akili; hata kabla yako hapakuwa na mtu kama wewe, wala baada yako hatainuka mtu kama wewe.
Hahahahaaa....

Nilijua tu utakuja kwa speed ya jet na hili andiko....

Hata kama nikiamua kukubaliana na wewe kuwa Solomon alikuwa na akili kuliko Adamu,je huyo Solomon alizaliwa na hizo akili?

Hayo maandiko yako yana jibu ya swali langu hili....
 
Sijui umeitaja rangi nyeusi kwa kutaka kuonesha ni jambo jema kwa wao kutokuwepo kwenye kadhia hii au umetaja kunesha uduni....

Kama umeitaja ili kuonesha uduni utakuwa unakosea sana maana utakuwa mbali sana na ukweli....
Asante, ujuzi na maendeleo ya dunia ya leo chanzo chake ni Misri. Tutamtoaje mwafrika katika mabadiliko hayo. Mimi nadhani watu hao ni muunganiko wa watu toka mataifa mbalimbali ambao lengo lao ni kuitawala dunia na kufanya biashara zao.
 
Mkuu siyo tu wanajipa uungu bali wanajiona ni miungu kabisa....

Watu wanatengeneza uhalisia na wanakufanya na wewe ukubaliane nao kwa kiwango hata cha kutaka kumuua ambaye anapingana na wewe,hii ni hatari kubwa mkuu....
Hii ni sawa na mtu kusema PAPA ni mtakatifu au anaweza kuongea na mungu na anamfahamu au kusema kwamba Vatican ni mahala patakatifu au mungu yupo pale.Dunia hii ina mambo mengi sana yaliyojificha.
 
Hii ni sawa na mtu kusema PAPA ni mtakatifu au anaweza kuongea na mungu na anamfahamu au kusema kwamba Vatican ni mahala patakatifu au mungu yupo pale.Dunia hii ina mambo mengi sana yaliyojificha.
Huko ni zaidi ya hatari mkuu....
 
Asante, ujuzi na maendeleo ya dunia ya leo chanzo chake ni Misri. Tutamtoaje mwafrika katika mabadiliko hayo. Mimi nadhani watu hao ni muunganiko wa watu toka mataifa mbalimbali ambao lengo lao ni kuitawala dunia na kufanya biashara zao.
Kuna mahali niliona connection ya marais wa Marekani na Royal family na wale Mafarao wa Misri....
 
Huko ni zaidi ya hatari mkuu....
Mkuu mungu akubariki sana,nimekuwepo hapa JF lakini sijawahi kukutana na watu wa aina yako,mimi binafisi umenifundisha kitu,mwisho kabisa naomba kama ianawezekana unipatie contact au namna yoyote ile ili tuwasiliane maana nahitaji zaidi kujifunza kutoka kwako, nami pia niweze kuwasaidia ndugu zangu ambao hawawezi kuingia humu,asante sana mkuu.
 
Kuna mahali niliona connection ya marais wa Marekani na Royal family na wale Mafarao wa Misri....
na hapo ndio tunapata vyama vya siri ambavyo vilianzishwa na Wanefili ili kupinga mpango wa mungu kama muendelezo wa kiburi cha lucifer. Ukichunguza kwa umakini marais wa taifa hilo na royal family ni kama viongozi wa kijumla na ni viongozi wa biashara zote kubwa ulimwenguni
 
Mkuu mungu akubariki sana,nimekuwepo hapa JF lakini sijawahi kukutana na watu wa aina yako,mimi binafisi umenifundisha kitu,mwisho kabisa naomba kama ianawezekana unipatie contact au namna yoyote ile ili tuwasiliane maana nahitaji zaidi kujifunza kutoka kwako, nami pia niweze kuwasaidia ndugu zangu ambao hawawezi kuingia humu,asante sana mkuu.
Karibu sana mkuu,tupo duniani kwaajili ya kupeana kidogo tulichonacho tena bure kabisa japokuwa tunavipata kwa gharama mkuu....

Tuendelee kufanya utafiti zaidi ili tujue zaidi maana hakuna ajuaye yote bali kila mmoja anapewa chake kwa nafasi yake ili tukikutana tunaunganisha na kupata kitu kizima....

Jambo hili lipo hivyo kuanzia kwenye maandiko matakatifu.Alianza Ibrahimu,akafanya eneo lake akampa kijiti Isaka naye akafanya pake kisha kijiti akapokea Yakobo naye akatimiza eneo lake akampasia Yuda ambaye alimpasia Yusuph kisha Yesu ambaye aliwapasia wanafunzi wake na wanafunzi wake nao wakawaachia wengine na mlolongo huu unakuja kutufikia sisi hadi ukamilifu wa dahari,hivi ndivyo ilivyo mkuu....

Kama unataka mawasiliano na mimi nicheki inbox mkuu tutajuzana zaidi....

Ahsante sana mkuu....
 
na hapo ndio tunapata vyama vya siri ambavyo vilianzishwa na Wanefili ili kupinga mpango wa mungu kama muendelezo wa kiburi cha lucifer. Ukichunguza kwa umakini marais wa taifa hilo na royal family ni kama viongozi wa kijumla na ni viongozi wa biashara zote kubwa ulimwenguni
Nakubaliana na wewe mkuu kwa kiwango kikubwa sana....

Ukichunguza hawa watu utaweza kujua vyanzo vya mambo mengi sana mkuu.....

Kimsingi,kama unataka kujua hawa watu ni wa kuogopwa angalia kila alichokianzisha Mungu wao wanataka kukiua na kuanzisha kingine.Ukiangalia mfano nbdoa,muanzilishi wa ndoa ni Mungu mwenyewe lakini wao leo wamekuja na haki za wanawake na kupelekea leo wanawake wanaona kama ndoa ni utumwa jambo ambaloi linaua kabisa jamii ya binadamu waliostaarabika....

Unapoona watu wanaendelea kuwa wa hovyo,wanaendelea kupenda mambo ya kiovu na mengine ya kufanana na hayo jua shida imeanzia kwenye malezi.Binadamu anatengenezwa kwenye malezi,ndoa ndiyo msingi mzuri wa malezi ya binadamu,unapomfanya mtu aache ndoa hii ina maana unamfanya binadamu ajaye kuwa na tabia ya ajabu maana atakosa malezi bora....

Zamani watu walikuwa waadilifu sana,tulikuwa na viongozi waadilifu kabisa.Watu kama akina Kwame Nkuruma na wengine wa kufanana na huyu ni nadra sana kuwaona leo kwasababu chombo cha kumtengeneza binadamu bora kabisa ni kama kimekufa,leo watu wanataka ndoa za mikataba bila kujua wanachokifanya kina hatari gani kwao na kwa vizazi vyao,hawajui wanatekeleza mipango ya evil being ambao lengo lao ni kumfanya binadamu awe mjinga kwa kiwango watakachokiweza.....

Mkuu mambo ni mengi san lakini tukianza kumrudia Mungu taratibu tutaanza kumrudisha binadamu bora kabisa kama ilivyokuwa mwanzo maana hili ndilo lengo la Mungu wetu.....
 
Karibu sana mkuu,tupo duniani kwaajili ya kupeana kidogo tulichonacho tena bure kabisa japokuwa tunavipata kwa gharama mkuu....

Tuendelee kufanya utafiti zaidi ili tujue zaidi maana hakuna ajuaye yote bali kila mmoja anapewa chake kwa nafasi yake ili tukikutana tunaunganisha na kupata kitu kizima....

Jambo hili lipo hivyo kuanzia kwenye maandiko matakatifu.Alianza Ibrahimu,akafanya eneo lake akampa kijiti Isaka naye akafanya pake kisha kijiti akapokea Yakobo naye akatimiza eneo lake akampasia Yuda ambaye alimpasia Yusuph kisha Yesu ambaye aliwapasia wanafunzi wake na wanafunzi wake nao wakawaachia wengine na mlolongo huu unakuja kutufikia sisi hadi ukamilifu wa dahari,hivi ndivyo ilivyo mkuu....

Kama unataka mawasiliano na mimi nicheki inbox mkuu tutajuzana zaidi....

Ahsante sana mkuu....
Asante sana mkuu,nilikuwa bado nafuatilia maandiko yako pamoja na majibu yako,pamoja na wale woote waliokuwa wanakubishia,mimi si mtaalamu sana wa Bibilia lakini huwa napenda kufikirisha ubongo wangu na siyo kwenda kwenda tu kama mzigo kwenye gari.
Niliwahi kuona picha flan hivi yamazishi PAPA John Paul 11,waliokuwa wamelizunguka lile jeneza walikuwa ni viongozi mashuhuri wa Dunia, Bush,Clinton na wengine wengi tu hakuna hata cardinal hata mmoja aliyekuepo karibu na hilo jeneza nilitafakari sana na picha nyingine tena nilimuona Hitler yupo na PAPA Pius wakiteta jambo,picha zote zile ukiziangalia zinakufanya utafakari zaidi maana zina maswali mengi,asante sana mkuu,mimi nafikiri kuwa huru na kudadisi mambo ni jambo jema sana wala siyo dhambi.
 
Mkuu,hawa UFOs siyo hadithi....

Unamfahamu mtu mmoja anaitwa Phil Scheneider?



Jamaa aliuawa mwaka 1996,ukiangalia utajua alikuwa nani na nini kilimfanya auawe...

Walifanya majaribio zaidi ya 13 ya kumuua wakashindwa lakini walikuja kufanikiwa baadaye,angalia hiyo documentary mkuu.....

duuuh hawa viumbe bado wapo miongoni mwetu, na kwanin jamaa auwe baada ya kutoa ukweli juu ya mashirika makubwa kupata millions of dollers kwa kuwatumia alliens?
 
Asante sana mkuu,nilikuwa bado nafuatilia maandiko yako pamoja na majibu yako,pamoja na wale woote waliokuwa wanakubishia,mimi si mtaalamu sana wa Bibilia lakini huwa napenda kufikirisha ubongo wangu na siyo kwenda kwenda tu kama mzigo kwenye gari.
Niliwahi kuona picha flan hivi yamazishi PAPA John Paul 11,waliokuwa wamelizunguka lile jeneza walikuwa ni viongozi mashuhuri wa Dunia, Bush,Clinton na wengine wengi tu hakuna hata cardinal hata mmoja aliyekuepo karibu na hilo jeneza nilitafakari sana na picha nyingine tena nilimuona Hitler yupo na PAPA Pius wakiteta jambo,picha zote zile ukiziangalia zinakufanya utafakari zaidi maana zina maswali mengi,asante sana mkuu,mimi nafikiri kuwa huru na kudadisi mambo ni jambo jema sana wala siyo dhambi.
Mkuu,Vatican ina play sehemu muhimu sana kwenye haya mambo ya nyakati hizi pamoja na mengine....

Natamani siku moja nije nianzishe thread ya jambo hili,tuombe Mungu hili nije nilifanye siku moja....
 
duuuh hawa viumbe bado wapo miongoni mwetu, na kwanin jamaa auwe baada ya kutoa ukweli juu ya mashirika makubwa kupata millions of dollers kwa kuwatumia alliens?
Aliyeuawa siyo huyu tu wapo wengi kuanzia Arron Russo na wengine....

Ukianza tu kufuatillia haya utajua mengi tu,wakati mwingine watu wanashindwa kuelewa baadhi ya mambo kwasababu ya uelewa wao mdogo wa haya mambo...
 
Mkuu,Vatican ina play sehemu muhimu sana kwenye haya mambo ya nyakati hizi pamoja na mengine....

Natamani siku moja nije nianzishe thread ya jambo hili,tuombe Mungu hili nije nilifanye siku moja....
Asante sana mkuu,mimi binafisi naisubilia hiyo thread,kuna jamaa mmoja kakubishia sana humu namfananisha na mtoto mdogo ijapo kuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake,vitu hivi viko wazi sana mkuu,usikate tamaa next time tunaomba uendelee kutuletea uchambuzi au nondo ili tujue mambo mengi zaidi.
 
Mseza mkulu anza kuchambua hawa illuminat walipotokea
Mkuu hawa sio suala la kuchambua.
Mwaka 1 May 1776 , Siku ambayo dunia nzima tunaienzi kama ni siku ya wafanyakazi. Adam Weishaupt kwa kuwa financed na Rothchilds Huko Ujerumani kwenye mji maarufu ujulikanao kama BAVARIA nchini ujerumani chama hiki kilianzishwa na hii ilikuwa baada ya mipango na research zilizofanya miaka minne mfululizo. Operation zao na Athari katika maisha yetu ni na nani yuko nyuma ya hao watu ni mambo complex maana ni mambo ya siri mno, ingawa hakuna kitu kitakachojificha hadi yesu anakuja lazima kila kitu kiwe mezani mkuu.
Karibu
 
Mseza mkulu na eiyer,mie naomba ufafanuzi kuhusu pembe kumi katika kichwa cha mnyama na kung'oka tatu na kuibuka pembe moja ndogo yenye kunena,je hayo mataifa kumi ni yepi na hayo saba yaliyobaki katika dunia ya leo ni akina nani?
Na pia naomba kueleweshwa kwa nini marekani inahusishwa na unabii wa siku za mwisho ilhali wakati wa mipango hiyo haikuwa superpower?
Ndugu mseza mkulu,huwa napata hisia chanya kuhusu existence ya hawa machotara ya shetani na binadamu kutokana na hoja za eiyer kwa sababu kuu moja. Ukiangalia mtiririko wa huo mpango wao wa kuitawala dunia haionyeshi unufaikaji wa hawa viongozi wa dunia (katika hali ya kiuanadamu) kutokana na end point ya huu mpango,lakini kwanini wanashiriki kama sio kweli nao ni sehemu ya hiyo jamii inayopingana na Mungu? Hii inanipa wasiwasi kama wao ni sehemu ya hawa machotara ndio maana mwanzo 6 Mungu anasema hatawaangamiza hadi pale watakapouona uharibifu waliouleta duniani.
Kuhusu Pembe ndogo ni hoja pana na ili nieleze vizuri inabidi mkuu Eiyer akubali kuijadili kwa hoja na kwa ushahidi ili wengi tufaidi. Kuna mitazamo zaidi ya Mitatu iliyochomekwa kwenye ulimwengu wa ukristo ktk kipindi cha REFORMATION kama mpango maalumu wa kudhohofisha unabii huu na kumficha mpinga kristo halisi. Na mkuu eiyer ameshaingia kwenye mtengo huo. Na hoja zake zote najua hata alitezianzisha. Ila Taratibu tutafika.

Marekani Imeelezewa pia kwenye bibilia. Pili haijawa maarufu kirahisi Imefanywa kuwa maarufu kwa ajili ya mpango maalumu. Mara ya kwanza ilikuwa ni kimbilio la Wateswaji wa kidini kisha wakafuatwa na kubadilishwa kwa taasisi maalumu zilizoanzishwa ili kutekeleza mipango hiyo. Siwezi kueleza zaidi ila inahitaju utulivu na uvuvio wa kutosha kukubaliana na haya.

Kuhusu machotara. Machotara huwaamini kwa kuhisi. Kwa ufupi mkuu kila kinachoendelea sasa kimeshatabiriwa na kuwa docummented kwenyte bibilia takatifu miaka zaidi ya 2200 iliyopita. DALILI KUBWA YA KUJA KWA YESU NA MWISHO WA DUNIA NI DECEPTION. Watu wanaandaliwa Kwa TUKIO LA AMANI, Uongo wa kutapakaza mafundisho ya ALiens ni kudivert Minds za watu ili Wategemee Disaster. Hilo suali ni zuri kwa anayeamini Kuwa aliens ndio wako nyuma ya mpango wa kuitawala hii dunia. Maana Bibilia inaniambia Watakaposema Amani amani ndipo Uaribifu mkuu utakapo wajilia. DUnia inaandaliwa kwa Tukip kubwa la Amani na umoja wa kidunia.
 
Aiseeehh haya mambo mbona magumu snaa
Usiogope chief sio lazima kujua haya mambo.
Bibilia inasema siku za mwisho zitakuwa ni siku za hatari. Na maelezo mengi yameelezwa Mathayo 24.
Unaweza ukaishi bila kujua haya na Ukawa na amani tu. Ila uishi kwa Maombi, Kufunga na Kusoma neno ili usije ukawa Muhanga wa miradi michafu ya watu na ukakosa tumaini.
Wengine sisi ni Viherehere na kutokutaka kupitwa japo inasaidia kuwa informed katika DECEPTIVE WORLD.
 
Back
Top Bottom