WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

It's all true and is about new world order, religion unification for sake of fake peace and unity!! And roman catholism under papacy are match maker and the master mind! But the Bible warns about this,through the Revelation,,!!
Naomba nitoe muhutasari wa bandiko lote hili.
Ili twende sawa tutofautane kwa hoja jengefu. Nimetoa Msimamo na Uelewa wangu kuhusu Daniel 2, 7 kuwa ni vitu vinaendana. Msimamo huu ndio ulikuwa msimamo wa waprotestant wote kabla hawajachakachuliwa sasa wakiwemo waldenses, hussites, wycliff, martin luther, john gill, baptist theoregians, tyndale, na wengine wengi na mimi naungana nao mkono pasipo shaka. Ndio maana wao walienda mbali hadi kuziweka sanamu hizo makanisani na viongozi wao akiwemo na kiongozi wa Rumi enzi hizo kaisari. Luther alitamka wazi kabisa kuwa anti christ ni nani.

Picha.


Sasa nikuombe kitu kimoja.
Eleza vyote unavofahamu kuhusu Daniel 2, 7 then nijue naongea na mtu anayeamini nini, naona kama unmarukaruka na kupita pembeni. Pia nitakueleza hata mwanzilishi wa hicho unachoamini maana nimeshapata mwangwi wake na kwa nini aliiweka hivyo.
 
Hii vita ya tatu unachoongea ni uongo mtupu unaoutaja katika barua yako
Mtazamo mzuri, hebu tueleze unamaarifa gani ya kutufahamisha kuhusu hilo.
Hatupingani bali tunatofautiana kwa hoja, Na hakuna aliyesema ni Ukweli bali ni mtazamo ambao uko mezani tunaujadili mkuu.

KAribu
 
Umeeleza mengi, ila kuhusu hao jamaa chotara naona nikuache uendelee nao. Maana hata ulipoombwa utoe Muhutasari wa WHo are they, How are they going to impliment NWO, What is their purpose, Ni faida gani kwa Waliowaunga mkono watawapata. Mfano wa chotara mmoja anayeishi na watu dunai ya sasa Hadi kesho hujaweka muhutasari hawa hizo stori kwa maarifa macache ya punje ya mchanga uliyonayo kama ulivyotufahamisha. Goliath pamoja na wewe kumuhusisha na WANEPHILI/AU CHOTARA VYOVYOTE UTAKAVYO na Kwa maelezo yako tulitegemea Goliath awe na uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko hata wale kaka zake daudi na wayahudi wote. Cha ajabu Goliath kuonyesha Utaahira wake alivua Helment wakati anapigana na mtu mwenye jiwe. Golath alikuwa mbumbumbu kuliko hata mwanadamu wa kawaida.

SWALI: Niwekee kitu ambacho unaamini mwanadamu hawezi kubuni hadi kubuniwe na HYBRID au ALIEN? Kama ni Kombola la SATAN 2(Sarmat intercontinental ballistic missile). Hizo Idea Nicola tesla alizidemnstrate kitambo sana hadi akataka kupewa tenda na British loyal navy awatengenezee long range missile kwa idea zake za Wireless transmission. Hicho kitu pia ni development ya kazi ya Wernher von Braun's ambae document zake nyingi zilikuwa smuggled US na USSR katika Espionage war at the eve of WW2.
 
Dahh kaka pole, kama umeshindwa kutambua kwamba Solomon alikua na maarifa na hekima zaidi ya Adam basi bado unaamini huyo Adam alituzidi akili pia!!!!
Mkuu sio Solomon tu, Hata Musa Mungu alisema ni Mtu mpole kuliko wote dunia nzima (HESABU 12:3)na hakuwahi kumPa upole kaMA akisema Suleiman alipewa akiwa mtu mzima. Kwa theory za mkuu Eiyer anatwambia Ubongo na uwezo wa Mwanadamu Unapungua uwezo kadili siku zinavyosonga kwa mifano ya kina Messi na Maradona.

Nadhani Adam ndio mwanadamu aliyetumia asilimia ndogo sana ya uwezo wake kwa sababu alikuwa na resource zote tena hakuwa na changamoto kabisa. Baada ya Dhambi na kufukuzwa aanze kujitegemea Adam Alianza kuexplore the Unlimited capacity ili kuyafanya mazingira (Limited Resources kwa sababu zililaaniwa) kuwa rafiki. Hadi kesho mwanadamu anaendelea kutumia ubongo wake vilivyo kujipatia mahitaji yake katika mazingira ambayo sio rafiki.
Hapa ndipo mkuu Eiyer anapigwa chenga. Hii concept Mchumi Adam Smith aliandikia Pepar na kusababisha Bunge la uingeleza Kuitisha Sensa ya kwanza katika Modern World ili kuangalia watawezaje Kuutilize Limited resource kwa population iliyopo. mambo haya yanamsababisha mwanadamu wa leo aunlock his unused brain potentials vitu ambayo adam alikuwa hata afikillii.
 
Dahh kaka pole, kama umeshindwa kutambua kwamba Solomon alikua na maarifa na hekima zaidi ya Adam basi bado unaamini huyo Adam alituzidi akili pia!!!!
Adam alikuwa wa kawaida sana. Jamaa anachanganya Umri na Akili au uwezo wa mwanadamu kubadili mazingira yamnufaishe.
 
Huyu jamaa ana ignore uwezo mkubwa wa individuals kama Einstein, he was brilliant mpaka akaandikiwa barua ya kuombwa kuwa raisi wa Israel kipindi hicho
 
Huyu jamaa ana ignore uwezo mkubwa wa individuals kama Einstein, he was brilliant mpaka akaandikiwa barua ya kuombwa kuwa raisi wa Israel kipindi hicho
Sio einstain tu mkuu kuna wajerumani Wanasayansi ambao ilibidi US waandae Special operation Katikati ya vita ww2. Kikosi maalumu kiliandaliwa kiwatafute popote walipo mafichoni ili waje kuwa hazina ya marekani. Matokeo yake 1969 Apollo ikatua Mwezini (ingawa hili huwa linachangamoto).


Matunda mazuri ya Operation Paperclip
 
Genesis 11:6 King James Version (KJV)

6 And the Lord said, Behold, the people is one, and they have all one language; and this they begin to do: and now nothing will be restrained from them, which they have imagined to do.

Genesis 11:6 New International Version (NIV)

6 The Lord said, “If as one people speaking the same language they have begun to do this, then nothing they plan to do will be impossible for them.

Mungu mwenyewe anafahamu fika, watu wakiungana kwa ajili ya lengo moja hakuna kitakacho washinda.
 
Kama tumefanyiwa kama kwenye kitabu cha Plato The Republic, ama kama ni kweli kuna master puppeteers wanaotuchanganya akili na all thaat has been said kwenye huu uzi. kama ni kweli,
kwenye hukumu ya siku ya mwsho, ntakua na kosa gani wakati most of my choices were already limited by some men who thought they are mightier than God.

Why would God judge a blameless victim??
 
nadhani suala la mashetani kuzaa na binadam linaeza kua justified na masuala ya kichawi ambayo yapo sasa....
i think umeshawahi kuskia waganga wanawapa wanawake mimba na hao watto mara nyingi huusishwa na kua watto wa shetani or majini or sth like that...kama hii inaezekana.....i think ata iyo concept ya wanefili inaezekana....

n.b. i don't really care about these issues.. but i think if one scenario is possible the other might as well be possible
 
UFO - Unidentified flying Object..
naona hii concept imechanganywa apa,,,

jeshi la tz likiona ndege ama kitu kinachopaaa....na wasijue imetoka nchi gani au ni ya nani.... tayar iyo inakua classified as an UFO... sio lazma aliens kutoka sayari zngne..
 
our minds are engineered.... our faces are directed to what they want us to see,,... kardashians(for instance), wasanii, muziki usioelewka, movies, haki za wanawake, ndoa jinsia moja, uchaguzi marekani, vita uarabuni.....basically everything that the.media is promoting kwa nguvu sana...

hii inaleta generation ya mazuzu... kuna mtu kaelezea kuhusiana na wanawake kufanya kazi sababu zake...

soma juu ya experiments. za kucontrol akili za waty

soma juu ya puppeteering.... kuna watu wana kesi kabisa mahakamani
simply puppeteering ni kucheza ile.midoli kwa kamaba.,..stejini,..anaechezesha hatumuoni,,,. This is pretty much what is happening...

Us as puppets can never do what we aren't controlled to do...

ukitoroka wanakurudosha tuu mstarini.... refer Pinochio the book/movie/cartoon za watto,,,
yani wameanza kukupotosha kuanzia movie na vtabu ulivosoma na kuangalia utotoni
 
Sijui umeitaja rangi nyeusi kwa kutaka kuonesha ni jambo jema kwa wao kutokuwepo kwenye kadhia hii au umetaja kunesha uduni....

Kama umeitaja ili kuonesha uduni utakuwa unakosea sana maana utakuwa mbali sana na ukweli....
Mkuu Eiyer,tushirikishe ukeli halisi na sio ule halisi wa kutengenezwa.
 
Nimefuatilia sana majibu yako unavyomjibu mleta mada,kwanza kabisa nafahamu atakakuwa ni mtu aliyesoma wala siyo mbumbu flan hivi,kinachonisikitisha ni kwamba shule yake haina tofauti na wasomi wengi waliopo hapa Tanzania,hasa maprofesa wa Tanzania.

Kifupi ni kwamba,binadamu wa sasa si bora kabisa ukilinganisha na binadamu wa kale,maisha yamekuwa mafupi mno,maradhi yameongezeka sana,kufikisha miaka 50 ni ishu,kila mtu ni mgonjwa,mfano kama mtu hana HIV basi atakuwa anasumbuliwa na kisukari,kama hana kisukari ana uvimbe tumboni,kama hana uvimbe tumboni ana presha,kama hana presha ana vidonda vya tumbo,kama hana vidonda vya tumbo ana homa ya matumbo,UTI ,kama hana UTI ana malaria,kama hana malaria ana kansa ya tezi dume,fistula,watoto wenye utindio wa ubongo,vyakula vya asili vimepotoea na vingi vilivyopo ni feki hatari mtupu,kwa hiyo binadamu wa sasa ni dhaifu sana kimwili na hata kifikira,hii wala haihitaji kwenda shule sana ili kulitambua hilo.
 
Nyie watu wa stori za njama bana. Ukiambiwa uthibitishe inakuaje?
 
Nyie watu wa stori za njama bana. Ukiambiwa uthibitishe inakuaje?
ndo maana mkuu nmekuambia soma kuhusu
1. Puppeteering... kuna watu wana kesi kama hii...kuinfluence masses for their benefit

2. secret programs kama Project MKUltra

3. DARPA.

izi ndo nakumbuka kwa harakaharaka,,,,lakini zipo nyngi sana,,, na usiseme ni conspiracies.,,maana zote nlizotaja apa ni proved, na kumekua.na kesi au demonstations juu ya kupinga hvi vitu...

sasa wewe endelea kubaki na huo ujinga wako uko kichwani
 
Nikijua ni kweli ndo napenda hivyo ili niweze kuungana na hao wtu wa hizo makitu. Ndo maana naona ni njama tu kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…