WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

Nimekupata vizuri mkuu....

Haya yote yanasababu wala hayapo hivi hivi tu na ni matokeo ya hawa viumbe ambao nimekuwa nikiwasema hapa maana wana lengo lao.....
 
Nani ana nguvu kuliko Mungu?
 
Mungu wangu,unaijua vyemna operation paperclip mkuu?
 
Adam alikuwa wa kawaida sana. Jamaa anachanganya Umri na Akili au uwezo wa mwanadamu kubadili mazingira yamnufaishe.
Labda nikuulize swali rahisi sana tena sana....

Copy na original ni kipi kinakuwa bora?
 
Labda nikuulize swali rahisi sana tena sana....

Copy na original ni kipi kinakuwa bora?
Mkuu majuzi ile ulisema utaleta uzi hapa JF kuhusiana uwepo wa vatina na upapa kwamba unamchango gani juu ya maisha ya mwanadamu,nini hasa mission ya upapa na vatikan.

Kingine ningependa kukuuliza ni ni kwamba,Tanzania na dunia kwa ujumla sasa hivi tunashuhudia wimbi kubwa tena kubwa sana la wachungaji wanaoponya mgonjwa mbalimbali hii nini,makanisa yao ni ya uponyaji na miujiza na kuwaombea watu wapate utajiri hivi ni vitu gani?,je ? hawa ni manabii wa uongo?,hizi ni biashara? au tupo siku za mwisho?
 
Nimeshasema hapa ni kwa namna gani watakwenda kuisimamia na kuifanikisha hii NWO,naona una tatizo la kusahau mkuu....

Wanaowaunga mkono ni watu wasiojua ukweli wa wakifanyacho hawa isipokuwa wachache ambao wamezawadiwa maisha ya kibilionea hapa duniani.....

Hawa machotara wa Kishetani wanaishi kwa kificho sana ili wasijulikane na iwe siri na jambo lisiloweza kuaminika na hii ni sababu ya hata wewe kukana hapa.....

Hata hiki ulichokiandika hapa kumhusu Goliath kinaonesha ni namna ipi binadamu tuna tatizo la kufikiri.Kwanza Goliath alikuwa na urefu wa futi 15 na pengine zaidi,sijui kama hata unajua futi kumi na tano ni nini maana yake,alikuwa na uzito wa zaidi ya kilo 500,Daudi inakadiriwa alikuwa na futi 6 hadi 7,binadamu mwenye kiwango cha Goliath anaweza kutioshwa namna ipi na binadamu wa kawaida hata kwa akili ndogo tu ya kawaida? Hakukosea kutoa kofia ya kichwa kwaajili ya kujilinda maana alijua hata hilo jiwe la Daudi lisinge mdhuru hata kama Daudi angelirusha kwa nguvu gani,ni sawa nba wewe upigane na mtoto wa miaka 7,uitamsambaratisha tu hata kama atakuwa na mawe.Usichokijua tu ni kwamba jiwe la Daudi lilimuua Goliath kwasababu ya Mungu na siyo kwasababu lilikuwa na kasi na usito mkubwa,sijui ni kwanini huoni hili jambo la kawaida kabisa.....

Sijui kama unaweza kupna makosa ya swali lako la kutaka nikuoneshe kitu kimoja ambachpo binadamu hawezi kutengeneza.Hivi nikikuambia tu kuwa bibnadamu hawezi kutengeneza tarakilishi [computer] utawezaje kupinga hili kwa mfano? Hebui nijibu halafu nitakuonesha matatizo kwenye swali lako hili....
 
Sikusema nitaleta bali nilisema nitaangalia nitakapokuwa na muda nitafanya hivyo kwa siku za usoni mkuu.....

Ishu ya wachungaji na kuponya maradhi ni ishu ya kinabii ambayo imeandikwa kwenye Biblia,hii haipo Tanzania tu bali dunia nzima....
 
Mwanzilishi wa ninachoamini? Kwanini unadhani kuna mwanzilishi tofauti na mimi mwenyewe? Sikumbuki kusoma mahali kuhusu hiki nilichokuambia,kama kuna mtu ana mtazamo kama wangu basi jua tu tumefikiria kitu kinachofanana na siyo kwamba nimetoa kwake....

Bahati mbaya naona hujui kuwa unabii hautegemei nani anaona nini,kitendo cha waprotestanti kuwa na msimamo huo hakuufanyi uwe sahihi.Nilianza kuona uongo wa hii fasiri ya unabii siku nyingi sana bila hata kupata ushawishi kutoka kwa mtu yoyote....

Nimekupa changamoto tu ya pembe kumi ambayo inaonesha matege ya hii fasiri yako lakini naona hutaki kabisa kunielewa na unataka nieleze Danieli 2 na 7 yote sijui kwa sababu ipi....

Wewe na wenzako mnasema kwamba pembe kumi ni ni yale mataifa [falme] kumi yaliyopatikana baada ya Rumi kuanguka [japokuwa hata hili nalo siyo sahihi na nilikueleza ni kwanini],nikakuambia kuwa unabii unasema pembe kumi siyo mataifa [falme] bali ni viongozi wa mnyama husika,lakini hili umeskip tu halafu unataka nikueleze tena.

Unasahau sana sijui au ni nini.....
 
JAMAA yangu uko sawa kabisa minyororo tulofungwa ni migumu kukatika hatakama wakija watu kutukatia ningunu sana hata kutoka kwenda kwenye uhalisia WA mambo, nilifuatilia story za mossad kuua wahusika WA kundi LA kigaidi kimya kimya na kusambaratisha kinu cha nyuklia, chanza cha kujua kua Syria inajenga kinu ni pale walipokata minyororo na kupuuzia kuwa treni iliyoripuka north Korea nilikuwa imebeba petrol, wasingechunguza wasingejua mambo halisi, mfano mwingine kama nwaba jf alivosema inawezekanaje MTU kuuwawa saremajevo halafu dunia ianzishe mapigano makubwa namba ile? Bado Plato nawenzake nitawaheshim mpaka kufa. Pia hongera kwa kukata myororo nami WA kwangu nilishaukata kitambo. Nice day
 
Mungu wangu,unaijua vyemna operation paperclip mkuu?
Exodus 20:7 reads: "Thou shalt not take the name of the LORD thy God in vain; for the LORD will not hold him guiltless that taketh his name in vain." (KJV).
Kuwa makini mkuu haukuwa na sababu ya kushutka hivyo.
Uperation paperclip ipo inajulikana na wahusika wanajulikana, Kama wewe unaifahamu yako ya kinjama za ALLIEN uiweke hapa ifukuliwe. Mbona unatumia nguvu kubwa kuliko mada mezani
 
Labda nikuulize swali rahisi sana tena sana....

Copy na original ni kipi kinakuwa bora?
Inategemea.
Mfano Copy ya karatasi sio Copy ya Mwanadamu.
Unaweza kusema ni Kopi lkn Mungu anasema
Psalm 139:13 For You formed my inward parts; You wove me in my mother's womb.
Jeremiah 1:5
Before I formed thee in the belly I knew thee, and before thou camest forth out of the womb I sanctified thee; I have appointed thee a prophet unto the nations.

Isaiah 44:24 Thus says the Lord, your Redeemer,
who formed you from the womb

Unaweza kukubali kuwa wewe ni Nth copy ya Adam lakni wengine Tuliumbwa na Mungu Tumboni mwa mama zetu.
Hakuna excuse
 
Kwa nini machotara wa kishetani wenye uwezo mdogo kuliko maraika wake waishi kificho, wakati Maraika wa shetani Mapepo wanafurushwa kila kukicha makanisani? Huoni kama unajipotosha.


Dimensions za Goliath unazitoa kwenye vitabu gani maana kama ni Bibilia haisemi Uzito wake, Pia hizo futi 15 za urefu (6 feet 9 inches .
wakati huo huo takwimu za dunia mtu anayeshilikilia record ya ulefu duniani siku za hivi karibuni ni Robert Pershing Wadlow (USA) aliyekuwa 8 ft 11.1 in. Urefu ambao hata huyo goliath alikuwa mfupi sana.
 
pembe kumi sijaskip ila wewe ndio umekoswa ujasiri wa kuelezea tafsiri zako kwanza kama nilivyokuomba ili tuongeze kina cha mahojiano na mjadala. kusema ni mawazo yako pia ni rahisi ila wafuatiliaji wa haya mambo wananyamaza maana wenda unafumba macho mchana ionekane ni giza kumbe mchana kweupe. Naomba usikate kona nielezee daniel 2, 7 kwa mtazamo wako. Nilitegemea maelezo page hata mbili umekimbia kwa unaza kutafuta vichaka vya kujifichia. Uwe huru funguka tu hatutafuti mshindi bali ni kupeana mawazo mbadala
 
Sijataja bure jina la Mungu hapo kwakuwa sinalitaja jina lake Mungu....
 
Kwa nini machotara wa kishetani wenye uwezo mdogo kuliko maraika wake waishi kificho, wakati Maraika wa shetani Mapepo wanafurushwa kila kukicha makanisani? Huoni kama unajipotosha.
Makanisani wanafurushwa mapepo na siyo malaika za Shetani,kuna tofauti kati ya malaika walioasi na na mapepo...

Dimensions za Goliath unazitoa kwenye vitabu gani maana kama ni Bibilia haisemi Uzito wake,
Nina vyanzo vingi sana tena sana,hata nikikupa huamini maana naona wewe umefunga akili yako kwenye kijibox ambapo hutaki kutoka humo...
Pia hizo futi 15 za urefu (6 feet 9 inches .
wakati huo huo takwimu za dunia mtu anayeshilikilia record ya ulefu duniani siku za hivi karibuni ni Robert Pershing Wadlow (USA) aliyekuwa 8 ft 11.1 in. Urefu ambao hata huyo goliath alikuwa mfupi sana.
Mkuu una matatizo gani?

Mimi nimesema "futi" nikitumia kiswahili nikimaanisha urefu, na siyo "feet" kwa maana unayotaka wewe kuionesha hapo,lakini cha ajabu na wewe umetumia neno lile lile kwa kiswahili ulipotumia "futi 8 kwa kuandika kwa kifupi ft,sijui una tatizo gani tu...

Ulichokifanya ni sawa na mtu aje hapa akukosoe kwa kuchanganua ft zako kwa feet kama ulivyochukua "futi" nilizotoa kisha akafanya tena kama wewe kwa kusema ft 8 ni sawa na feet 4 kisha akuletee lijamaa huko mtaani kwao lenye futi 6 akikukosoa kuwa haupo sahihi...

Sijui kama unaelewa ninachoandika hapa...

Kimsingi hueleweki kabisa...
 
Haya mkuu nimekimbia....
 
Goliath 2. 06m Robert wadlow 2.72m
Goliath miaka zaidi ya 3000 iliyopita na huyu mdau kuzaliwa juzi tu asubuhi 22.2.1918.
Kama bibilia kwako ni ndani ya box basi uko sahihi kama vizio vya Goliath na mapepo kutokuwa Malaika wa Shetani umevitoa nje ya Box uko sahihi. Lkn kama ni bibilia nimerahisiha vipimo vya Goliath, hilo la mapepo kutakuwa majini na fallen angels endelea kuamini nje ya box.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…