ni kweli vatican ina play sehemu muhimu. NA IMEPEWA NGUVU YA KUFANYA HIVYO. Lakini sio hiyo peke ILIYOPO inayofanya kazi . Bible imeweka ufunuo wa mtiririko wa hizi nguvu(ufunuo 6) na imezigawa katika makundi makuu7, Manne ya kwanza YANAHUSIKA MPAKA KIPINDI HIKI na zote zinakwenda kuleta hali fulani/mazingira katika hizo nyakati za mwisho kuwepo hayo yalioonyeshwa yatatokea. Nafafanua nguvu hizi kwa ufupi kutoa mwangaza kwa wasiojua
Bible kwenye kitabu cha ufunuo kuna seven(7) seals zimeandikwa.[seal=muhuri] Hizi seals zinaelezea matukia tangu kipindi cha Yesu mpaka vita vya mwisho wa Dunia (Armageddon)
Four(4) seal za mwanzo ni farasi. na ni nguvu fulani za kiroho (unaweza ukasema Horse power za kiroho) kila moja imetolewa maelezo ya ziada katika kitabu (bible) cha Zekalia 6. Na imeeleza zaidi kuwa hizi Nguvu ni Four spirits (roho nne), yaani kila nguvu ni aina flani ya ROHO. Kwa hiyo mtu aliefunikwa na nguvu hizi atasukumwa katika roho yake kufanya kwa nguvu kile roho inataka (mtaelewa tu)
mfano kichaa anasumbuliwa na roho ya ukichaa, ipo hivyo. Anaejiua sio yeye ni nguvu fulani inayomuwezeshakufanya hivyo.
Ufunuo 6,
- Farasi wa kwanza MWEUPE; ROHO YA UKATORIKI, inamuhusisha papa na ukatoriki na namna wanavyoendesha mambo yao. Roho hii imeenea duniani. Hapa inahusu hayo yote Eiyer anatamani kuzungumzia
- farasi wa pili mwekundu; Roho ya ukomunist na inajitambulisha kwa rangi nyekundu (angalia benera Zao mfano China na Urusi) Roho hii imepewa upanga ambao ni nguvu za kijeshi
- farasi wa tatu mweusi; Roho ya ubepari. na Zekaria 6.6 anaonyesha roho hii imeelekea kaskazini. Ndio mana nchi za kibepari zipo huko kaskazini (northen hemisphere)
- Farasi wa nne, kijani iliyopauka (pale green) kwenye biblia tafsiri ya kiswahili wameandika kijivujivu lakini ni kijani iliyopauka kwa tafsiri sahihi. Hii ni Roho ya Uislam na hapa ndipo UISLAM umetambuliwa rasm kwenye bible. Hii roho ndio imefuatwa na umauti na kuzimu. Roho hii imepewa nguvu kutawala robo ya dunia na inaendekeza sana MAUAJI kama njia ya kujieneza. Rangi inayojitambulisha ni hiyo kijani iliyopauka(angalia bendera zao)
Kwa hiyo Hizo nguvu bwana Eiyer unaweza ukaelezea ukatoriki na wataalamu wengine wakaelezea zingine. Wote hao wanafanya maovu kwa viwango vyao, kama kuna anayeonekana na nafuu, basi mbeleni lazima ataleta fujo sana hasa huyo farasi
mwekundu. Kufanana kwa hizo roho nne mpaka zote zikaonyeshwa kwa alama ya farasi ni kwamba, ZINAPOJITOKEZA KWENYE JUMUIYA ZINAJITAMBULISHA NA KUWA NI ZA AMANI NA NZURI, hakuna hata moja itajionyesha ni KATILI, lakini nyumba ya mgongo, uvunguni wanafanya maovu hatari katika kujieneza na kushughulikia wapinzani wao.
Tukirudi kwenye mada; Ni kuwa hata kwenye bible hivi vitu vimeonyeshwa, yaani WWI na WWII ni pale tarumbeta ya kwanza (WWI) na Tarumbeta ya pili (WWII) katika ufunuo.
Fuatilia tarumbeta hizi kwenye ufunuo zilipopulizwa nini kilitokea. Tarumbeta zinaenda mpaka ya saba. Kila moja ikipulizwa ni janga kubwa linatokea duniani.