WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

si kweli vita vya dunia vina maana kubwa zaidi ya unavyofikiria kwa ufupi ni ivi Yesu aliwekwa Mfalme wa Ufalme wa Mbinguni mwaka 1914 na shetani alitupwa dunia(ujirani na dunia sio dunian kabisa) matokeo yakuwa nn soma ufunuo 12: 7-12


jw.org/sw
Uongo...
 
Nawafuatilia sana wewe na Mseza. Hongereni kwa mada hii ya kufikirisha. Nami nina madukuduku yangu na pengine tunaweza kushea mawazo. Inasemekana wanefili ambao ni watoto wa malaika walioasi walikuja na ujuzi wa kila aina na kuwafundisha wanadamu kutengeneza vitu vingi. Hii ni kwa mujibu wa huyo Henoko. Lakini ukitazama kitabu cha kutoka 31:1-6 Musa anapewa maagizo na maelezo toka kwa Mungu.
31: 2 anasema, Angalia nimemwita kwa jina Bezaleli, mwana wa Uri, mwana wa Huri, kabila la Yida
31:3 anaendelea, Nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina

Sasa tunaona nae Mungu kwa upande wake kampa mwanadamu maarifa. Huku tunaambiwa maarifa tunayoyaona ni zao la wanefili. Nini mtazamo wako
 
Ahsante sana kwa swali lako hili...

Kwanza kabisa ni kwamba waliowafundisha na kuwapa wanadamu elimu mbali mbali ni malaika waasi siyo wale machotara wa malaika waasi na binadamu...

Wale machotara wa malaika waasi walileta tafrani kubwa sana kwasababu walikuwa wanawala binadamu,yaani walikuwa wakiwatumia binadamu kama chakula chao..

Malaika waasi waliwapa wanadamu elimu ambayo hawakupaswa kupewa na hili ni kosa kubwa sana na ndiyo maana lilileta matokeo hasi.Mambo kama kutoa mimba,kusoma nyota na mengine ya kufanana na hayo ni elimu iliyoletwa na malaika waasi kwa binadamu....

Binadamu alijua kusoma nyota na kutoa ujauzito miaka 6000 huko iliyopita na siyo juzi kama wengi wanavyodhani....

Elimu ambayo Mungu aliitoa kwa binadamu ni ile ambayo siyo mbaya bali njema,unapoona mahali ambapo Mungu anatoa elimu kwa watu jua kuwa hiyo ni elimu chanya kwa binadamu na hii ni chache sana.Elimu na ujuzi uliotamalaki leo ni matokeo ya elimu iliyotoka kwa malaika waasi na inatumika kwa njia hasi.....
 
Binadamu anatumia uwezo wa akili aliopewa na Mungu tofauti na viumbe wengine wanaotumia silika (instinct). Binadamu ana tabia ya kujiongeza na ndio maana tunafundishwa hivi mashuleni lakini mitihani tunaletewa kwa njia nyingine katika kupata jibu lililokuudiwa. Mathalani leo mtu anatumia simu iliyotengenezwa makusudi kwa mawasiliano, yeye anarekodia na kuhifadhia picha za utupu. Sidhani akili hiyo ni zao la wale malaika waasi bali ni mfano wa yule shetani aliyemjaribu Yesu. Na utashi ulio ndani ya mtu ndio humfanya kuamua njia atakayo kulingana na nguvu ya dhamira yake.
 
Unasema "sidhani akili hiyo ni zao la wale malaika waasi bali ni mfano wa yule shetani aliyemjaribu Yesu"....

Huyo shetani hakuasi?

Hakuwa miongoni mwa hao malaika waasi?
 
"You ever wonder why Jewish people own all the property in America?!!Jay z line in " The O J story" halafu mwisho anamalz kwa kusema Financial freedom!!
Me nina wonder vitu vingi sana Aseeh
Huwa nabaki Dilemma kwamba kivip Historia ya MTU mweusi iandikwe na MTU mweupE??Na kipi haswa kilipelekea mpk afrika tukawa ColoniseD,ni suala LA mapinduzi ya viwanDa km tulivyosoma ama yapo mengi nyuma ya Pazia?..
Ukweli unamuweka MTU huru Japo huwa ni mchungu kumeza na mtamu kutema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Incomplete perfection
Wack

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo ambayo always uwa natamani kuyasema dunia ijue ila kila nikitaka kuyasema uwa napatwa na hofu ya ajabu, kuptia bandiko hili nitafanya uchaguzi wa mtu ambae nitampa habari zote then yeye atakuwa anazileta kwenye jukwaa kama hili.

Nb kile unachojua kuhusu ulimwengu uhu ni sawa na tone moja katka ukubwa wa bahari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeandika kwa usahihi kabisa, ila kwa kifupi ni kuwa tukitaka maendeleo ya kweli kwenye nyanja zote tunahitaji kuukumbatia utamaduni wetu na kuachana na mambo ya nnje, ndio maana ya maendeleo endelevu.
 
Naelewa sana unachoandik hapa kwakuwa nina uzoefu huu....

Pia,kukaa na mambo napo ni mtihani kweli kweli....
 
Naelewa sana unachoandik hapa kwakuwa nina uzoefu huu....

Pia,kukaa na mambo napo ni mtihani kweli kweli....
Ni kweli kabsa, bahati mbaya sana watu wengi hawaelewi haya mambo hivyo unaitaji kuwa mvumilivu sana maana wapo wanaojifanya wanajua kumbe hawajui kitu kabsa.Nipe muda nitakutafuta pm hakika hautojuta kunifahamu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ni shahid wa Yehova chief wanaiman tofaut sana
Imani hiyo naijua.
Hao jamaa ni Anti-christ wakitokea kwenye angle yao.
Yesu kwao ni kama binadamu tu muda wote.
 
Ni kweli kabsa, bahati mbaya sana watu wengi hawaelewi haya mambo hivyo unaitaji kuwa mvumilivu sana maana wapo wanaojifanya wanajua kumbe hawajui kitu kabsa.Nipe muda nitakutafuta pm hakika hautojuta kunifahamu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hili la kujiona wanajua wakati hawajui ni tatizo lingine kubwa kweli kweli na ni changamoto ngumu sana kwa watu kujifunza.Wakati naanza kuyafuatilia haya mambo huku kwetu hayakuwepo kabisa,kuna wakati unajikuta unakaa kimya tu huku ukiwa unaumia tu....

Haya mambo yalipoingia hapa nchini na watu kuyaingilia kwa sifa ndiyo matokeo ya ujuaji usiokuwa na maana,mtu anajua vitu "vya kawaida" lakini anaona anajua mengi sana,ukikosoa unaonekana wewe mjuaji,unajikalia kimya tu...

Karibu sana mkuu unipe maujuzi zaidi....
 
Nitakuja nimeweka alama.

Miamba wawili wapo kazini sasa niwakati wa kuvhukua maujuzi na kuongeza ufahamu.

Thank you msenza mkulu pamoja na ndugu yako.
 
Unaandika mambo kama vile una hakika nayo kabisa ....in short unasema Kanisa Katoliki ni mpango wa shetani ....hii ni kufuru ...hebu nitajie dhehebu au huduma ambayo link yake haijatokea Kanisa Katoliki (sijui kama unanielewa) .....Hata Biblia ni tunda la Kanisa Katoliki ....historia iliyonyooka ya Kanisa ipo ....tuache conspiracy ambazo ni kumpa tu utukufu shetani ....nguvu ya Kanisa Katoliki duniani miaka yote iwe ni kazi ya shetani? Sasa unabii wa Yesu juu ya Kanisa lake ungetimiaje? Au ndio hii kila mtu anaibuka akitafsiri biblia anavyojisikia? ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…