WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

Mkuu unaweza kua na hiyo picha tuione?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kwako mkuu!!!

Kwa haya ulioyasema naona yanalink moja kwa moja na vitu alivyovisema Mtume Muhhamad(SAW) pale alipo ulizwa na maswahaba zake juu ya dalili za siku za mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasema shetani ana uwe wa kuigiza sauti ya mtu yeyote duniani,hivi ni kweli? au wanampaisha tu.......................
 
Wanasema shetani ana uwe wa kuigiza sauti ya mtu yeyote duniani,hivi ni kweli? au wanampaisha tu.......................
Hili ni kweli pia si sauti tu anaweza kimtokea mtu kwenye njoz like mtu flan alie wahi kufu miaka mingi iliopita akijifanya kama yeye.
Hivi ndivyo tunavyodanganywa na kuanza kufanya ibada za wafu yukizani wanatusikia dua na maombi yetu. Fundisho hili halikuanza leo au jana bali toka Eden, alipomwambia hawa hamtakufa bali mtajua mema na mabaya, mpaka sasa kuna watu hawaamini kuwa mtu anakufa bali husema ndugu yao yupo mahali flani hivyo wakiomba na kuita jina la huyo mtu shetani hujitokeza wakizani ni ndugu yao kumbe ni ibilisi mwenye hila.
 
hapo ndio shetani kapiga kambi kuwalazimisha wakristo wengi waamini Roho haifi. Ili akiigiza kitua ambacho tayari amekufundisha kupitia kanisa uamini.

hiyo kauli Shetani aliitoa Mapema kabisa eden 'Hamtakufa hakika' ndio inatumika hadi kesho makanisani na misikitini kupingana na kauli Ya Mungu 'Mtakufa Hakika"
Tunaiita Spiritualism in christianity
 
ila1samweli28:8
Inaonyesha hivyo, vinginevyo iwe imesema uongo
 
Uzi upi huo ,
Naitaji kupitia pia
 
N
NAOMBA maelezo ,ni kivipi msalaba uwe pigo Kwa shetani?


Na je,mtu akiamini kazi iliofanywa msalabani,

Akitenda dhambi anaensa moyoni?
 
Lakini Wa Nazi hawakuwa wanajulikana mwaka 1871, kwa hiyo nii ni habari ya kutungwa na kuungwaungwa baadaye.
 
Hao sio binadam

Kuna sehemu walikula kiapo Cha damu zao ,Ili siku Moja watu waje kutambua kuwa wao sio watu wa Ulimwengu huu,walikuja kama Roho zilizo Toka juu Ulimwengu mwinginw ni Roho za Giza zilizo Vaa mwili,


Kwenye Agenda Yao ya mwisho kama sikosei


Tafakari2010@yahoo.com
Jamaa anaitwa Gideon ,alikuwa akichambua Kila kinachoendelea Kila siku kina maana Gani,

Yaani jamaa kama ana macho ya ziada na anaufahamu mwingi na hio ndio email yake ya garazeti Hilo la tazama tz,

Huyo jamaa ni mchambuzi wa kinachoendelea duniani ,freemason wanahusikaje,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…