Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,561
Huyu demu alikuwa anamtafuta mondi na mondi kampa kubwa kuliko nimeona sasa hiv kafyata sometime Hawa mademu ukiwaacha watakuzoea Bora umpe dawa moja atulieHaya sasa tangia jana ni missile after missile...
Inavyoonekana huyu Diva alikuwa na hamu sana Platnumz amjibu , maana tangia amejibiwa anarukaruka tuuu mara aseme hivi mara vileee, sahizi anaanza kusema Platnumz anamcheat tanasha as if hilo linamhusu..
Kapigwa moja tuu kaja na majibu kibao,,,, yetu machoView attachment 1311780View attachment 1311782
Sent using Jamii Forums mobile app
Ananuka K itakuwa!Diamond nae ana tabia kama ndugu zake wa kike, kwa nini asinyamaze?! Huyu Diva anasumbuliwa na upweke maana hakuna mwanaume anatulia kwake sijui aliharibu wapi?! Diamond kumjibu huyu mwanamke anajidhalilisha huyu ni wa kujibizana na dudu baya.
Yani Diamond kabisa aanze jibishana na Hiyo low..cheap assWatu mnamtukana sana Diva. Amewaletea ushahidi kwamba Diamond halipwi Tshs 168 million kama anavodai. Cha kufanya Diamond aoneshe receipt ili Diva aonekane ni muongo. Simple as that!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si ni kweli mzee baba mondi alitushika...kumbe halipwi 168M??Alipokosea Mond ni kuanza kujibishana na huyo she kitu ambacho kama mtoto wa kiume hupaswi kufanya watu kama hao unakaa zako kimya unalisongesha tu gurudumu
Wasanii kuongopa ni jadi yao mbona kwa sisi tunaokaa nao mitaani tunawajua ful maisha yao mbona we cha msingi msanii akikwambia kafanya jambo flani we jiongeze tu akili yako kwa sababu Mond kuongopa tumeshamzoea ila kwa sababu haituathiri kwa namna moja sio mbayaLakini si ni kweli mzee baba mondi alitushika...kumbe halipwi 168M??
Mwanaume gani atatulia kwa mwanamke anaejiona mzuri/mzungu koko wakati K yake ipo kama sufuria ya makande.Diamond nae ana tabia kama ndugu zake wa kike, kwa nini asinyamaze?! Huyu Diva anasumbuliwa na upweke maana hakuna mwanaume anatulia kwake sijui aliharibu wapi?! Diamond kumjibu huyu mwanamke anajidhalilisha huyu ni wa kujibizana na dudu baya.