WW3: Diamond Platnumz Vs Diva

Randy orton

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2019
Posts
1,338
Reaction score
3,561
Haya sasa tangia jana ni missile after missile...

Inavyoonekana huyu Diva alikuwa na hamu sana Platnumz amjibu , maana tangia amejibiwa anarukaruka tuuu mara aseme hivi mara vileee, sahizi anaanza kusema Platnumz anamcheat tanasha as if hilo linamhusu..

Kapigwa moja tuu kaja na majibu kibao,,,, yetu macho


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu demu alikuwa anamtafuta mondi na mondi kampa kubwa kuliko nimeona sasa hiv kafyata sometime Hawa mademu ukiwaacha watakuzoea Bora umpe dawa moja atulie
 
Diamond nae ana tabia kama ndugu zake wa kike, kwa nini asinyamaze?! Huyu Diva anasumbuliwa na upweke maana hakuna mwanaume anatulia kwake sijui aliharibu wapi?! Diamond kumjibu huyu mwanamke anajidhalilisha huyu ni wa kujibizana na dudu baya.
 
Hii ndiyo shida ukimgonga demu halafu mkaachana akakuona kila siku ....unazidi kunenepa na hela zinakutembelea lazima tu visa tuongezeke...mlevi mmoja alisikika akiongea

sent from toyota Allex
 
Alipokosea Mond ni kuanza kujibishana na huyo she kitu ambacho kama mtoto wa kiume hupaswi kufanya watu kama hao unakaa zako kimya unalisongesha tu gurudumu
 
Lakini si ni kweli mzee baba mondi alitushika...kumbe halipwi 168M??
Wasanii kuongopa ni jadi yao mbona kwa sisi tunaokaa nao mitaani tunawajua ful maisha yao mbona we cha msingi msanii akikwambia kafanya jambo flani we jiongeze tu akili yako kwa sababu Mond kuongopa tumeshamzoea ila kwa sababu haituathiri kwa namna moja sio mbaya
 
Diamond nae ana tabia kama ndugu zake wa kike, kwa nini asinyamaze?! Huyu Diva anasumbuliwa na upweke maana hakuna mwanaume anatulia kwake sijui aliharibu wapi?! Diamond kumjibu huyu mwanamke anajidhalilisha huyu ni wa kujibizana na dudu baya.
Mwanaume gani atatulia kwa mwanamke anaejiona mzuri/mzungu koko wakati K yake ipo kama sufuria ya makande.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…