inatuathiri man...kuna mapresenter kibao na waandaa matamasha wanaogopa hata kumuita Kwenye mashoo saiv...ndomana saiv haitwi Kwenye shoo anafanya zakwakekwakeWasanii kuongopa ni jadi yao mbona kwa sisi tunaokaa nao mitaani tunawajua ful maisha yao mbona we cha msingi msanii akikwambia kafanya jambo flani we jiongeze tu akili yako kwa sababu Mond kuongopa tumeshamzoea ila kwa sababu haituathiri kwa namna moja sio mbaya
Unajua uongo mwingine ni ktk kuijenga brand yako kuonekana ina tthamani na ndio Mond anachokifanya kwa hiyo usishangae hilo nduguinatuathiri man...kuna mapresenter kibao na waandaa matamasha wanaogopa hata kumuita Kwenye mashoo saiv...ndomana saiv haitwi Kwenye shoo anafanya zakwakekwake
Watu mnamtukana sana Diva. Amewaletea ushahidi kwamba Diamond halipwi Tshs 168 million kama anavodai. Cha kufanya Diamond aoneshe receipt ili Diva aonekane ni muongo. Simple as that!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si ni kweli mzee baba mondi alitushika...kumbe halipwi 168M??
shoo za elfu 50 za EFM au za bure za fiesta?inatuathiri man...kuna mapresenter kibao na waandaa matamasha wanaogopa hata kumuita Kwenye mashoo saiv...ndomana saiv haitwi Kwenye shoo anafanya zakwakekwake
Watu mnamtukana sana Diva. Amewaletea ushahidi kwamba Diamond halipwi Tshs 168 million kama anavodai. Cha kufanya Diamond aoneshe receipt ili Diva aonekane ni muongo. Simple as that!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hiyo 25k pound sio ndogo ni Kama 60M ya kibongoLakini si ni kweli mzee baba mondi alitushika...kumbe halipwi 168M??
Diamond hajawahi kuongea sehemu yoyote analipwa hiyo hela Wala kiasi chochote anacholipwa kwenye show ni vizuri wewe ungetueleza hiyo source ya kulipwa mil 168 imetoka wapi?Lakini si ni kweli mzee baba mondi alitushika...kumbe halipwi 168M??
Diva anapata wapi nguvu ya kumsema diamond kuhusu pesa..
Huyu malaya si juzi tu alikua anaomba omba pesa mil 7 ya akupandikiza mimba ... yaani mtu anayekosa mil 7 ya kupandikiza mimba ndio wa kumsema diamond anayemhonga dem wake v8..
Mkuu kwa nini unafananisha chakula pendwa na vitu vya ajabuMwanaume gani atatulia kwa mwanamke anaejiona mzuri/mzungu koko wakati K yake ipo kama sufuria ya makande.
Mkuu mimi sikai dar
Mkuu hili nalo neno 😄😄
Na ndiyo maana ukimdanganya mtu unaambiwa acha UsaniiWasanii kuongopa ni jadi yao mbona kwa sisi tunaokaa nao mitaani tunawajua ful maisha yao mbona we cha msingi msanii akikwambia kafanya jambo flani we jiongeze tu akili yako kwa sababu Mond kuongopa tumeshamzoea ila kwa sababu haituathiri kwa namna moja sio mbaya
Bora hata huo ushahidi wake angeficha, Pound 25k ni sawa na Milioni 75 za kiTZ, sasa sijui yeye aliyekuwa anaomba mchango wa Mil. 7 kupandikiza mimba anaiona hiyo Mil. 75 ni ndogoLakini si ni kweli mzee baba mondi alitushika...kumbe halipwi 168M??
Diva ma...ya tuHaya sasa tangia jana ni missile after missile...
Inavyoonekana huyu Diva alikuwa na hamu sana Platnumz amjibu , maana tangia amejibiwa anarukaruka tuuu mara aseme hivi mara vileee, sahizi anaanza kusema Platnumz anamcheat tanasha as if hilo linamhusu..
Kapigwa moja tuu kaja na majibu kibao,,,, yetu machoView attachment 1311780View attachment 1311782
Sent using Jamii Forums mobile app