WW3: Diamond Platnumz Vs Diva

inatuathiri man...kuna mapresenter kibao na waandaa matamasha wanaogopa hata kumuita Kwenye mashoo saiv...ndomana saiv haitwi Kwenye shoo anafanya zakwakekwake
 
Diva anapata wapi nguvu ya kumsema diamond kuhusu pesa..
Huyu malaya si juzi tu alikua anaomba omba pesa mil 7 ya akupandikiza mimba ... yaani mtu anayekosa mil 7 ya kupandikiza mimba ndio wa kumsema diamond anayemhonga dem wake v8..
 
Diva anapata wapi nguvu ya kumsema diamond kuhusu pesa..
Huyu malaya si juzi tu alikua anaomba omba pesa mil 7 ya akupandikiza mimba ... yaani mtu anayekosa mil 7 ya kupandikiza mimba ndio wa kumsema diamond anayemhonga dem wake v8..

Umewahi muona Tanasha anaendesha ile V8 au Mama Dangote?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndiyo maana ukimdanganya mtu unaambiwa acha Usanii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…