Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
inatuathiri man...kuna mapresenter kibao na waandaa matamasha wanaogopa hata kumuita Kwenye mashoo saiv...ndomana saiv haitwi Kwenye shoo anafanya zakwakekwakeWasanii kuongopa ni jadi yao mbona kwa sisi tunaokaa nao mitaani tunawajua ful maisha yao mbona we cha msingi msanii akikwambia kafanya jambo flani we jiongeze tu akili yako kwa sababu Mond kuongopa tumeshamzoea ila kwa sababu haituathiri kwa namna moja sio mbaya