WWF waponda na kupinga mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

WWF waponda na kupinga mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge

waiishie kupinga tu watupatie na plan B. ya kupata nishati
 
SISI CHADEMA TUNKUBALIANA NA WWF KWANI HIZO PESA TUKIZIWEKA KWENYE UMEME WA GASI MBONA HIZO UNITI TUNAZIPATAT TU AU WEWE P UNSEMAJE?KWANZA HUAJFANYA RESEARCH KAMA MWANAHABARI NGULI
Wapinga Magufuli.
 
Tunahitaji umeme.
WWF au UN wakafuge wanyama na ecology systems pale Washington DC au Brussels.

Mbona, Trump kajiondoa kwenye mkataba wa Climate Change Summit uliyofanya Paris!?

Waache upoyoyo.
Siyo kujiondoa tu USA haijawahi kuwa signatory wa hizo conventions. Kazi yao ni kufacilitae nchi maskini kusaini hizo conventions kwa gia ya misaada. Mwisho wa siku wao conventions za climate change na clean air haiwabani isipokuwa nchi maskini. Sometime bora kuwa bold kama hivi.
 
Mimi ninaomba kwanza kuambiwa ule umeme tuliominishwa wa gas kwamba ukianza tatizo la umeme Tanzania litakuw historia umefikia wapi. Wakati wa JK hela nyingi ziliingizwa kwenye bomba la gas na ikasemekana kwamba huo ndio muarubaini wa tatizo letu la nishati, na wakaenda mbali mpaka kusema itakuwa muafaka wa nishati majumbani. Naomba tusiwe wajinga, tujiulize kipi kimeshindikana kwenye umeme wa gas, mpaka turukie kwenye mradi mwingine wa stiegler gorge. Nimemsikia rais akisema mradi huo utagharibu zaidi ya 3tr, sasa hizo 3t haziwezi kwenda kupanua hapo kwenye mkwamo wa gas na huko kihansi tukangoja vizazi vijavyo zikatumia?

Tunahitaji maelezo ya kina kuhusu nini kinaendelea kwenye umeme wa gas kwani hatuoni debe kama wakati wa Kikwete. Halafu wakati huu wa Magufuli hilo la gas haliongelewi ambalo utekelezaji wake umeshaanza, kisha tunaona debe la nguvu likipigwa kuhusu stiegler gorge. Kwa kweli tunachanganyikiwa maana viongozi wetu wamekuwa wakituingiza kwenye miradi ambayo wakitoka anayekuja anaitekeleza bila muendelezo. Waelewa wa hili suala tunaomba maelezo pls.

CC: paskali Mayalla, mlau
 
WWF ni mapoyoyo sana.

Wanataka tuendelee kununua umeme wao ambao Obama alikuja kukagua pale ubungo wakati umeme wenyewe wanaozalisha na kusambaza hautoshi mahitaji hata nusu ya Soko la Tanzania!?

Kwanza, Trumpet wao katutusi Africa halafu wanajiweka kimbelefront cha nini huku Africa tena!?

Kim Jong-Un na NK si awalipue tu hawa Washington DC na Pentagon kabisa waondoke kwenye USO wa dunia hii!!!?

Where are you, Mr. Kim Jong-Un do something please.

Hapo , JPM, kanyaga twende, tunahitaji Umeme.
 
Environmental imperialism

The same applies na wale wanaopinga project ya Barabara Serengeti

HQ zao huku ziko Nairobi Kenya


Go figure
Wazungu wehu wanyama wao na viumbe walivimaliza vyote kwa kuharibu mazingira kwao hawawezi kuja kutuamulia kwetu tuna Uhuru wa kufanya chochote kwenye ardhi yetu kama wao walivyofanya kwao bila kuingilwa Leo hawana mbuga za maana wakati zilikuwepo
 
Tunahitaji umeme.
WWF au UN wakafuge wanyama na ecology systems pale Washington DC au Brussels.

Mbona, Trump kajiondoa kwenye mkataba wa Climate Change Summit uliofanyikia Paris!?

Waache upoyoyo.
Kweli kabisa mkuu
 
Mimi ninaomba kwanza kuambiwa ule umeme tuliominishwa wa gas kwamba ukianza tatizo la umeme Tanzania litakuw historia umefikia wapi. Wakati wa JK hela nyingi ziliingizwa kwenye bomba la gas na ikasemekana kwamba huo ndio muarubaini wa tatizo letu la nishati, na wakaenda mbali mpaka kusema itakuwa muafaka wa nishati majumbani. Naomba tusiwe wajinga, tujiulize kipi kimeshindikana kwenye umeme wa gas, mpaka turukie kwenye mradi mwingine wa stiegler gorge. Nimemsikia rais akisema mradi huo utagharibu zaidi ya 3tr, sasa hizo 3t haziwezi kwenda kupanua hapo kwenye mkwamo wa gas na huko kihansi tukangoja vizazi vijavyo zikatumia?

Tunahitaji maelezo ya kina kuhusu nini kinaendelea kwenye umeme wa gas kwani hatuoni debe kama wakati wa Kikwete. Halafu wakati huu wa Magufuli hilo la gas haliongelewi ambalo utekelezaji wake umeshaanza, kisha tunaona debe la nguvu likipigwa kuhusu stiegler gorge. Kwa kweli tunachanganyikiwa maana viongozi wetu wamekuwa wakituingiza kwenye miradi ambayo wakitoka anayekuja anaitekeleza bila muendelezo. Waelewa wa hili suala tunaomba maelezo pls.

CC: paskali Mayalla, mlau
Kweli wazo zuri, hizo hela zikiongezewa kwenye mradi wa ges, nadhani tutakuwa mbali zaidi na hili ttzo kuliko kuanza huo mwingine
 
Wazungu wehu wanyama wao na viumbe walivimaliza vyote kwa kuharibu mazingira kwao hawawezi kuja kutuamulia kwetu tuna Uhuru wa kufanya chochote kwenye ardhi yetu kama wao walivyofanya kwao bila kuingilwa na Leo hawana mbuga za maana wakati zilikuwepo
Wanaona huku kwetu ndo pakufugia wanyama huku wao wanaishi vizuri
 
Ningekuja JPM huyo mkungezi mkazi wa WWF na aliyetoa tamko ningemuondoa haraka sana kama tulivyofanya kwa yule Mama wa UNDP na Balozi wa World Bank hivi juzi.

Huu ni upuuzi na hauvumiliki kabisa kwa sababu, hatuwezi tukawakaribisha watu nyumbani mwetu halafu wanataka kutupanda hadi mgongoni kisha kichwani.
 
Wanaona huku kwetu ndo pakufugia wanyama huku wao wanaishi vizuri
Mkuu umenivunja mbavu kwa kucheka.You are real a great thinker na una IQ kubwa mno.Wamegeuza bara la Afrika sehemu ya kufugia wanyama pori wawe wanakuja kuwaona huku.Kwao Afrika ni shamba LA wanyama pori nakubaliana na wewe.Magufuli go ahead usisikilize kelele za sijui kuna vyura adimu watanzania hatuli vyura wala hatuna mpango wa kutalii kuona vyura.Weka umeme achana na porojo za wazungu ambao hata vyura haviko kwao
 
Mkuu umenivunja mbavu kwa kucheka.You are realva great thinker nw una IQ kubwa mno.Wamegeuza bara la Afrika sehemu ya kufugia wanyama pori wawe wanakuja kuwaona huku.Kwao Afrika ni shamba LA wanyama pori nakubaliana na wewe.Magufuli go ahead usisikilize kelele za sijui kuna vyura adimu watanzania hatuli vyura wala hatuna mpango wa kutalii kuona vyura.Weka umeme achana na porojo za wazungu ambao hata vyura haviko kwao
Ha ha ha ha haa kweli kabisa mkuu, hata huku kwetu ukitaka kumuona mnyama wa kufuga utaenda shamba huko, mjini ni kula raha na starehe, sasa wao huku kwetu ndo sehemu waliona ya kufugia.
 
Back
Top Bottom