Wydad wachapika nyumbani 1-0, wamepigwa na Jwaneng Galaxy ambao watacheza na Simba

Wydad wachapika nyumbani 1-0, wamepigwa na Jwaneng Galaxy ambao watacheza na Simba

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Capture.JPG


Msimamo ulivyo baada ya mechi za kwanza kwa timu zote za Group B
Si.JPG
 
Wydad amefungwa kwao goli 1 na Jwaneng Galaxy , wakuu kila nikiwaza naona mahesabu ya Simba kuvuka kwenda robo inagoma, kama Galaxy ya kumfunga Wydad kwao basi hili kundi ipo ngumu, Simba wakienda kule watamaliziwa hasira zote, kwenye hili kundi dah ...sijui
 
Kwa jinsi Simba inavyocheza, ni ngumu sana kuwazuia Galaxy nyumbani kwake asipate point 3. Hili kundi kwa haraka haraka kama Galaxy atapata point 3 dhidi ya Simba, atakuwa na point 6... Nawapa Galaxy na Wydad nafasi ya kusonga mbele.
 
Wydad amefungwa kwao goli 1 na Jwaneng Galaxy , wakuu kila nikiwaza naona mahesabu ya Simba kuvuka kwenda robo inagoma,kama Galaxy ya kumfunga Wydad kwao basi hili kundi ipo ngumu,Simba wakienda kule watamaliziwa hasira zote, kwenye hili kundi dah ...sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie si mnasemaga mna uzoefu na hatua hizi na lengo lenu msimu huu nusu.
 
Wydad amefungwa kwao goli 1 na Jwaneng Galaxy goli 1 , wakuu kila nikiwaza naona mahesabu ya Simba kuvuka kwenda robo inagoma,kama Galaxy ya kumfunga Wydad kwao basi hili kundi ipo,Simba wakienda kule watamaliziwa hasira zote, kwenye hili kundi dah ...sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inaonyesha hilo group nalo ni gumu pia.

Wydad kafungwa nyumbani, lakini Simba hajafungwa nyumbani.

Jwaneng anaweza akashindwa kumfunga Simba nyumbani vile vile kama alivyomfunga Wydad.

Hizi ni mechi za awali. Mwisho wa siku timu bora ndo zitaenda hatua ya mtoano.
 
Wenyewe wamesema wana uzoefu wa michuano hii kwa hiyo hawa ogopi.

Kuna baadhi ya mashabiki leo wakawa wanajipa moyo Galaxy wanapiga nje ndani, kumbe Galaxy mwenyewe nae wa moto.
Wa moto wapii.mpira una matokeo ya kushangaza tu.ila wa kawaida sana.
Kunguru kumnyea mtu sio shabaha ni bahati tu.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Hii inaonyesha hilo group nalo ni gumu pia.

Wydad kafungwa nyumbani, lakini Simba hajafungwa nyumbani.

Jwaneng anaweza akashindwa kumfunga Simba nyumbani vile vile kama alivyomfunga Wydad.

Hizi ni mechi za awali. Mwisho wa siku timu bora ndo zitaenda hatua ya mtoano.
Ukiangalia kwa wachezaji waliokuwa nao Simba inaweza kubadilika kwenye games zinazofuata? Maana naona haipo vizuri halafu itawezekana mabadiliko within short time na kocha ni mpya hadi falsafa yake ifanye kazi si itachukua mda kidogo,maana naona mfumo wa uchezaji wa Simba umebomolewa na makocha waliopita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenyewe wamesema wana uzoefu wa michuano hii kwa hiyo hawa ogopi.

Kuna baadhi ya mashabiki leo wakawa wanajipa moyo Galaxy wanapiga nje ndani, kumbe Galaxy mwenyewe nae wa moto.

Jwaneng galaxy kafuzu makundi kwa kumtoa Orlando Pirates.

Hao Jwaneng wa moto sana kipindi cha pili.

Na wakifunga magoli huwa hawashangilii sana... wanaokota mpira kwenye nyavu wanaubeba na kuupeleka kati kati haraka haraka. Hawapotezi muda
 
Wa moto wapii.mpira una matokeo ya kushangaza tu.ila wa kawaida sana.
Kunguru kumnyea mtu sio shabaha ni bahati tu.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wewe kwa timu yako unacheza kama umetoka kulala,halafu ukapewa kiporo cha pilau sioni. Timu cleansheet inapata kwa binde na msinu huu hazizidi tatu ktk michuano yote.

Halafu mwenzako kwa matokeo ya leo kishaboost confidence, ambayo ww ulishaipoteza tokea ulivyopiga tano, yaani hata wachezaji akili zao hazipo uwajani. Confidence ni mchezaji wa kumi na mbili.
 
Back
Top Bottom