Wydad wachapika nyumbani 1-0, wamepigwa na Jwaneng Galaxy ambao watacheza na Simba

Wydad wachapika nyumbani 1-0, wamepigwa na Jwaneng Galaxy ambao watacheza na Simba

Wewe kwa timu yako unacheza kama umetoka kulala,halafu ukapewa kiporo cha pilau sioni. Timu cleansheet inapata kwa binde na msinu huu hazizidi tatu ktk michuano yote.

Halafu mwenzako kwa matokeo ya leo kishaboost confidence, ambayo ww ulishaipoteza tokea ulivyopiga tano, yaani hata wachezaji akili zao hazipo uwajani. Confidence ni mchezaji wa kumi na mbili.
ANGALIA simba wametokq kumfukuza kocha,kama kocha mpya.ni suala la kujipanga tu,nadhani mngejitafakari kwanza ninyi mliokula 3-0 muone mnaelekea wapi.kuliko kumjadili mtu aliyetoa suluhu
 
Wewe kwa timu yako unacheza kama umetoka kulala,halafu ukapewa kiporo cha pilau sioni. Timu cleansheet inapata kwa binde na msinu huu hazizidi tatu ktk michuano yote.

Halafu mwenzako kwa matokeo ya leo kishaboost confidence, ambayo ww ulishaipoteza tokea ulivyopiga tano, yaani hata wachezaji akili zao hazipo uwajani. Confidence ni mchezaji wa kumi na mbili.
ANGALIA simba wametokq kumfukuza kocha,kama kocha mpya.ni suala la kujipanga tu,nadhani mngejitafakari kwanza ninyi mliokula 3-0 muone mnaelekea wapi.kuliko kumjadili mtu aliyetoa suluhu
Simba hawana team wale waliocheza leo ni kikundi cha vijana wa singeli..
 
Wacha woga. Kichapo cha wydad kimeirahisishia simba kazi. Hii itapunguza speed ya wydad kujihakikishia nafasi ya kufuzu mapema. Simba anapoint 4 kwa jwaneng. Tembeakifua mbere
Kwa team ipi mkuu! hiihii ya wacheza singeli..?
 
Ukiangalia kwa wachezaji waliokuwa nao Simba inaweza kubadilika kwenye games zinazofuata? Maana naona haipo vizuri halafu itawezekana mabadiliko within short time na kocha ni mpya hadi falsafa yake ifanye kazi si itachukua mda kidogo,maana naona mfumo wa uchezaji wa Simba umebomolewa na makocha waliopita

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba itabarilika ,mark my word!
 
ANGALIA simba wametokq kumfukuza kocha,kama kocha mpya.ni suala la kujipanga tu,nadhani mngejitafakari kwanza ninyi mliokula 3-0 muone mnaelekea wapi.kuliko kumjadili mtu aliyetoa suluhu
Kujadiliwa atajadiliwa kwani hata ww juzi ulijadili mechi ya Yanga so ndio mpira na ndio lengo la hili jukwaa.
 
Wewe kwa timu yako unacheza kama umetoka kulala,halafu ukapewa kiporo cha pilau sioni. Timu cleansheet inapata kwa binde na msinu huu hazizidi tatu ktk michuano yote.

Halafu mwenzako kwa matokeo ya leo kishaboost confidence, ambayo ww ulishaipoteza tokea ulivyopiga tano, yaani hata wachezaji akili zao hazipo uwajani. Confidence ni mchezaji wa kumi na mbili.
Au sio wew pale algeria juzi ulipata cleansheet
 
Kiuweli simba kwa kipindi hiki inaenda kuporomoka vibaya mno na hata kwenye ligi inaweza kupita hata misimu mitatu simba ubingwa wa ligi kuu itausikia kwenye bomba, kwa jinsi inavyocheza hii simba hata kwenye group stage usishangae ikawa ya mwisho timu imekosa muunganiko kuanzia mbele mpk nyuma wachezaji wamechoka utafikir wamekula kiporo cha makande
 
Walikua wanavizia kitonga kwa Jwaneng, saivi macho yamewatoka hawaamini.
Baada ya kupangwa makundi na kutathmini zile sare sare zao za mechi ya kimataifa nikawatabiria ALAMA TATU kwenye kundi lake, alama moja moja kwa kila mechi atakayocheza home ground.
Mechi moja imetiki bado 5.
 
Wydad amefungwa kwao goli 1 na Jwaneng Galaxy , wakuu kila nikiwaza naona mahesabu ya Simba kuvuka kwenda robo inagoma,kama Galaxy ya kumfunga Wydad kwao basi hili kundi ipo ngumu,Simba wakienda kule watamaliziwa hasira zote, kwenye hili kundi dah ...sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo yako kuna mtu wa kuyazuia?
 
Back
Top Bottom