mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
ANGALIA simba wametokq kumfukuza kocha,kama kocha mpya.ni suala la kujipanga tu,nadhani mngejitafakari kwanza ninyi mliokula 3-0 muone mnaelekea wapi.kuliko kumjadili mtu aliyetoa suluhuWewe kwa timu yako unacheza kama umetoka kulala,halafu ukapewa kiporo cha pilau sioni. Timu cleansheet inapata kwa binde na msinu huu hazizidi tatu ktk michuano yote.
Halafu mwenzako kwa matokeo ya leo kishaboost confidence, ambayo ww ulishaipoteza tokea ulivyopiga tano, yaani hata wachezaji akili zao hazipo uwajani. Confidence ni mchezaji wa kumi na mbili.
Wewe kwa timu yako unacheza kama umetoka kulala,halafu ukapewa kiporo cha pilau sioni. Timu cleansheet inapata kwa binde na msinu huu hazizidi tatu ktk michuano yote.
Halafu mwenzako kwa matokeo ya leo kishaboost confidence, ambayo ww ulishaipoteza tokea ulivyopiga tano, yaani hata wachezaji akili zao hazipo uwajani. Confidence ni mchezaji wa kumi na mbili.
Simba hawana team wale waliocheza leo ni kikundi cha vijana wa singeli..ANGALIA simba wametokq kumfukuza kocha,kama kocha mpya.ni suala la kujipanga tu,nadhani mngejitafakari kwanza ninyi mliokula 3-0 muone mnaelekea wapi.kuliko kumjadili mtu aliyetoa suluhu
HahahahahaWydad amefungwa kwao goli 1 na Jwaneng Galaxy , wakuu kila nikiwaza naona mahesabu ya Simba kuvuka kwenda robo inagoma,kama Galaxy ya kumfunga Wydad kwao basi hili kundi ipo ngumu,Simba wakienda kule watamaliziwa hasira zote, kwenye hili kundi dah ...sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa team ipi mkuu! hiihii ya wacheza singeli..?Wacha woga. Kichapo cha wydad kimeirahisishia simba kazi. Hii itapunguza speed ya wydad kujihakikishia nafasi ya kufuzu mapema. Simba anapoint 4 kwa jwaneng. Tembeakifua mbere
Simba itabarilika ,mark my word!Ukiangalia kwa wachezaji waliokuwa nao Simba inaweza kubadilika kwenye games zinazofuata? Maana naona haipo vizuri halafu itawezekana mabadiliko within short time na kocha ni mpya hadi falsafa yake ifanye kazi si itachukua mda kidogo,maana naona mfumo wa uchezaji wa Simba umebomolewa na makocha waliopita
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora kipi kucheza ovyo na kutoa suluhu,Au kucheza vizuri na kufungwa bao 3-0?Simba hawana team wale waliocheza leo ni kikundi cha vijana wa singeli..
Yaani wydad leo angeshinda ningeteseka sana,nafurahi kafungwa maana yeye ndo mbabe kwenye hlo kundi,hawa mimosa na jwaneng tunaweza kuenda nao sawa.bora why dad kapunguzwa nguvuSimba itabarilika ,mark my word!
Kujadiliwa atajadiliwa kwani hata ww juzi ulijadili mechi ya Yanga so ndio mpira na ndio lengo la hili jukwaa.ANGALIA simba wametokq kumfukuza kocha,kama kocha mpya.ni suala la kujipanga tu,nadhani mngejitafakari kwanza ninyi mliokula 3-0 muone mnaelekea wapi.kuliko kumjadili mtu aliyetoa suluhu
Shida mtapoteza focus yenu.pambaneni kwanza na 3-0 zenu.Kujadiliwa atajadiliwa kwani hata ww juzi ulijadili mechi ya Yanga so ndio mpira na ndio lengo la hili jukwaa.
Au sio wew pale algeria juzi ulipata cleansheetWewe kwa timu yako unacheza kama umetoka kulala,halafu ukapewa kiporo cha pilau sioni. Timu cleansheet inapata kwa binde na msinu huu hazizidi tatu ktk michuano yote.
Halafu mwenzako kwa matokeo ya leo kishaboost confidence, ambayo ww ulishaipoteza tokea ulivyopiga tano, yaani hata wachezaji akili zao hazipo uwajani. Confidence ni mchezaji wa kumi na mbili.
Mi naona anaishia makundi tu[emoji23][emoji23][emoji23] hili kundi ni motoo,
Panga pangua Simba anaenda Robo.
Kwa hiyo ww unajifariji kwa matokeo yangu mimi, kwa timu yako iliyochoka kuanzia mwili mpaka akili,confidence huna mechi ya tatu hupati matokeo.Au sio wew pale algeria juzi ulipata cleansheet
Ni vema kujipa matumaini lakini siyo Kwa Simba ya Saidoo.Jwaneng mechi ya kwanza kushinda kamwe haimaanishi atashinda zote anaweza kupigika kwake hukohuko
Kwa mwendo huu wa Simba, anaweza kuwa wa mwisho kwenye hili kundi.[emoji23][emoji23][emoji23] hili kundi ni motoo,
Panga pangua Simba anaenda Robo.
Mtoto mzuri![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili kundi ni motoo,
Panga pangua Simba anaenda Robo.
Baada ya kupangwa makundi na kutathmini zile sare sare zao za mechi ya kimataifa nikawatabiria ALAMA TATU kwenye kundi lake, alama moja moja kwa kila mechi atakayocheza home ground.Walikua wanavizia kitonga kwa Jwaneng, saivi macho yamewatoka hawaamini.
Mawazo yako kuna mtu wa kuyazuia?Wydad amefungwa kwao goli 1 na Jwaneng Galaxy , wakuu kila nikiwaza naona mahesabu ya Simba kuvuka kwenda robo inagoma,kama Galaxy ya kumfunga Wydad kwao basi hili kundi ipo ngumu,Simba wakienda kule watamaliziwa hasira zote, kwenye hili kundi dah ...sijui
Sent using Jamii Forums mobile app