Temi necha
New Member
- Dec 7, 2011
- 1
- 10
Kwa mechi ya kwanza pale Lupaso, Simba akashinda 1-0, bonge la mtaji na kuifanya timu ijiamini kwenye mechi ya marudiano.
Kocha nimemwelewa namwamini.
Kocha nimemwelewa namwamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una animi katika miujiza au quality?Naamini soka ina miujiza
Ngoja nijifunze kuhesabu kiarabu maana siku hiyo mtangazaji ni mwendo wa “HAMSA", “SITTAH" sitaki kujichanganya kabisa 🤣Kwa mechi ya kwanza pale Lupaso, Simba akashinda 1-0, bonge la mtaji na kuifanya timu ijiamini kwenye mechi ya marudiano.
Kocha nimemwelewa namwamini.
Kumbe kututetema ni kiarabu sikujua kabla mpaka baada ya mechi ya juzi ya yanga yule mwarabu alikuwa analia na kukazia tetema tetema!!!Ngoja nijifunze kuhesabu kiarabu maana siku hiyo mtangazaji ni mwendo wa “HAMSA", “SITTAH" sitaki kujichanganya kabisa 🤣
"SAB A" , "THAMANIA", 'TIS A", " ASHARA"Ngoja nijifunze kuhesabu kiarabu maana siku hiyo mtangazaji ni mwendo wa “HAMSA", “SITTAH" sitaki kujichanganya kabisa [emoji1787]
VyoteUna animi katika miujiza au quality?
Kipa kafanya mangapi. Mara hii umesahau kama hajafungwa, tena kwenye mechi ngumu 2Wasiwasi ni kipa tu.
Rage[emoji3581]Kwa mechi ya kwanza pale Lupaso, Simba akashinda 1-0, bonge la mtaji na kuifanya timu ijiamini kwenye mechi ya marudiano.
Kocha nimemwelewa namwamini.