Achraf Hakimi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 943
- 1,944
USINENE UKAMARASIKU HIYO TUTAKUWA TUKIHESABU.MAGOLI KWA MTINDO HUU
WAAAHID
ITHNAIIN
THALAAATHA
ARBAA
HAMSAAAA😂😂
SITAAA
SABAAAA
THAMANIAAA
TISAAAA
ASHARAAA😂😂😂😂
SIPATI PICHAAAA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USINENE UKAMARASIKU HIYO TUTAKUWA TUKIHESABU.MAGOLI KWA MTINDO HUU
WAAAHID
ITHNAIIN
THALAAATHA
ARBAA
HAMSAAAA😂😂
SITAAA
SABAAAA
THAMANIAAA
TISAAAA
ASHARAAA😂😂😂😂
SIPATI PICHAAAA
Uto/zuzu utaongea nini Cha maanaHiyo mech simba kushinda labda wacheze 12 kwa 10 hapo ndo watashinda mech ila kwa mm ninavyo hiona hiyo mech simba anakufa3-1
Punguza ushamba. Hatuchezi kombe la luzasMatokeo aliyo yapata Yanga nigeria yamemuumiza sana Simba na ndoman wamefkia hatua hii ya kusema kweny uwanja wa muhhadi5 anashinda labda na njaa ila mpira wasahau ikokitu.
Unajua maana muujiza lkn.Una animi katika miujiza au quality?
Kuna timu inacheza robo fainali halafu haina ubora. Kivipi?Una animi katika miujiza au quality?
Tangu tunaanza na nyasa ndiyo MANENO yenu. Mna uzuzu mwingi!Ngoja nijifunze kuhesabu kiarabu maana siku hiyo mtangazaji ni mwendo wa “HAMSA", “SITTAH" sitaki kujichanganya kabisa [emoji1787]
Usikurupuke quality inatofautiana unataka kusema Wydad na Simba wapi kwenye mzani sawa?Kuna timu inacheza robo fainali halafu haina ubora. Kivipi?
Ilifikaje hapo?
Muulize alie sema mpira una miujizaUnajua maana muujiza lkn.
Tuanzie hapo.
Unawahurumia sana hawa makolo sio?. Sisi tushafika 10 wewe unarudi 3 na 5.Thalatha,khamsah......
NYETO labdaWahydad anakufa 2-1 nyumbani kwake.
Bao moja la Kibu, moja la Baleke.
Keep this comment
Akifanya hivyo biashara inaisha mapeeema sanaaaSimba anatakiwa apate goli moja ugenini ahitimishe mechi
2018 RONALDO alikuwa mchezaji wa REAL MADRID chizi wewe.Hata Mimi kuna hisia zinanijia kiwa Simba anavuka hii stage.
Match nilizowahi pata hisia na ikawa kweli
1. Man U vs Barca - 2018 UEFA ,ikumbukwe match ya mkondo wa kwanza kule Spain Man U alitoa draw na Ronaldo alikosa tuta,mechi ya marudiano pale OT ikaja masuala ya historia Mara sijui hakuna timu ya Uingereza iliyowahi mfunga BARCA pale England + pressure ya mashabiki wa zilizoitwa top 4 kipindi kile yaani ,Liverpool,Arsenal na Chelsea walitujua sana kutujaza maneno pale nilipokuwepo lakini wakati naenda kuangalia match nikajisikia tu nasema Paul Scholes is scoring a goal and that is what happened,FT Man u 1 - 0 Barca na mwaka huo Man U alibeba ubingwa.
2. Match ya Yanga dhidi ya African sport kule Tunis,niliwaambia kuwa nimepata hisia Kali kuwa Yanga anafuzu hatua ya makundi kwa namna yoyote ile na ndicho kilichotokea.
Sasa tusubiri Mnyama ili na Mimi nijiite Sheikh Yahya kama itakuwa kweli.
Kwahiyo mikia imekua Ajax sasa au MadridHivi mkuu unakumbuka kuwa Barcelona alikuwa hafungwi Nou camp hasa na Madrid ulikuwa huwezi kumtolea pale kwake Santiago bernabeu wao hupenda kuuita museums of European football lkn ajax hakumpiga pale kwake na Bayern hakufanya hivyo kwa Barcelona Tena Barcelona akiwa fire na Bora Zaid mambo hubadilika kwenye football
Sawa sawaWahydad anakufa 2-1 nyumbani kwake.
Bao moja la Kibu, moja la Baleke.
Keep this comment
Mechi ishaisha unataka tujadili nini. Ydada keshaaga mashindani na 🐸 anapigwa 3Mbona harakaharaka, unaenda wapi sasa?
Mtatfta reference nyingi ila hazita saidiaHivi mkuu unakumbuka kuwa Barcelona alikuwa hafungwi Nou camp hasa na Madrid ulikuwa huwezi kumtolea pale kwake Santiago bernabeu wao hupenda kuuita museums of European football lkn ajax hakumpiga pale kwake na Bayern hakufanya hivyo kwa Barcelona Tena Barcelona akiwa fire na Bora Zaid mambo hubadilika kwenye football