Wydad wamekwishatolewa na Simba, amini maneno yangu

Wydad wamekwishatolewa na Simba, amini maneno yangu

Hata Mimi kuna hisia zinanijia kiwa Simba anavuka hii stage.
Match nilizowahi pata hisia na ikawa kweli
1. Man U vs Barca - 2018 UEFA ,ikumbukwe match ya mkondo wa kwanza kule Spain Man U alitoa draw na Ronaldo alikosa tuta,mechi ya marudiano pale OT ikaja masuala ya historia Mara sijui hakuna timu ya Uingereza iliyowahi mfunga BARCA pale England + pressure ya mashabiki wa zilizoitwa top 4 kipindi kile yaani ,Liverpool,Arsenal na Chelsea walitujua sana kutujaza maneno pale nilipokuwepo lakini wakati naenda kuangalia match nikajisikia tu nasema Paul Scholes is scoring a goal and that is what happened,FT Man u 1 - 0 Barca na mwaka huo Man U alibeba ubingwa.

2. Match ya Yanga dhidi ya African sport kule Tunis,niliwaambia kuwa nimepata hisia Kali kuwa Yanga anafuzu hatua ya makundi kwa namna yoyote ile na ndicho kilichotokea.

Sasa tusubiri Mnyama ili na Mimi nijiite Sheikh Yahya kama itakuwa kweli.
 
Matokeo aliyo yapata Yanga nigeria yamemuumiza sana Simba na ndoman wamefkia hatua hii ya kusema kweny uwanja wa muhhadi5 anashinda labda na njaa ila mpira wasahau ikokitu.
Punguza ushamba. Hatuchezi kombe la luzas

Simba ikishinda goli moja , so unaumia.

Yanga km mgumba aliyepata mimba.

Simba tushazoea Kimataifa, hationgei saaana Bali vitendo
 
namwona simba anaenda kutolewa na kuishushia hasira Namungo FC ligi kuu bara
 
Ngoja nijifunze kuhesabu kiarabu maana siku hiyo mtangazaji ni mwendo wa “HAMSA", “SITTAH" sitaki kujichanganya kabisa [emoji1787]
Tangu tunaanza na nyasa ndiyo MANENO yenu. Mna uzuzu mwingi!

Hamchoki ,hamfanyi tathimini?
 
Pamoja na kwamba nipo upande mwingine ila naona Ngada fc akipita kwa faida ya goli la ugenini yaani Aggr itakuwa 2-2
 
Hata Mimi kuna hisia zinanijia kiwa Simba anavuka hii stage.
Match nilizowahi pata hisia na ikawa kweli
1. Man U vs Barca - 2018 UEFA ,ikumbukwe match ya mkondo wa kwanza kule Spain Man U alitoa draw na Ronaldo alikosa tuta,mechi ya marudiano pale OT ikaja masuala ya historia Mara sijui hakuna timu ya Uingereza iliyowahi mfunga BARCA pale England + pressure ya mashabiki wa zilizoitwa top 4 kipindi kile yaani ,Liverpool,Arsenal na Chelsea walitujua sana kutujaza maneno pale nilipokuwepo lakini wakati naenda kuangalia match nikajisikia tu nasema Paul Scholes is scoring a goal and that is what happened,FT Man u 1 - 0 Barca na mwaka huo Man U alibeba ubingwa.

2. Match ya Yanga dhidi ya African sport kule Tunis,niliwaambia kuwa nimepata hisia Kali kuwa Yanga anafuzu hatua ya makundi kwa namna yoyote ile na ndicho kilichotokea.

Sasa tusubiri Mnyama ili na Mimi nijiite Sheikh Yahya kama itakuwa kweli.
2018 RONALDO alikuwa mchezaji wa REAL MADRID chizi wewe.
 
Hivi mkuu unakumbuka kuwa Barcelona alikuwa hafungwi Nou camp hasa na Madrid ulikuwa huwezi kumtolea pale kwake Santiago bernabeu wao hupenda kuuita museums of European football lkn ajax hakumpiga pale kwake na Bayern hakufanya hivyo kwa Barcelona Tena Barcelona akiwa fire na Bora Zaid mambo hubadilika kwenye football
Kwahiyo mikia imekua Ajax sasa au Madrid
 
Hivi mkuu unakumbuka kuwa Barcelona alikuwa hafungwi Nou camp hasa na Madrid ulikuwa huwezi kumtolea pale kwake Santiago bernabeu wao hupenda kuuita museums of European football lkn ajax hakumpiga pale kwake na Bayern hakufanya hivyo kwa Barcelona Tena Barcelona akiwa fire na Bora Zaid mambo hubadilika kwenye football
Mtatfta reference nyingi ila hazita saidia
 
Back
Top Bottom