nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Amelindwa sana, ukiangalia jitihada zake kiufundi ni ndogo mno.Kipa kafanya mangapi. Mara hii umesahau kama hajafungwa, tena kwenye mechi ngumu 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amelindwa sana, ukiangalia jitihada zake kiufundi ni ndogo mno.Kipa kafanya mangapi. Mara hii umesahau kama hajafungwa, tena kwenye mechi ngumu 2
Oyaaa😅😅SIKU HIYO TUTAKUWA TUKIHESABU.MAGOLI KWA MTINDO HUU
WAAAHID
ITHNAIIN
THALAAATHA
ARBAA
HAMSAAAA😂😂
SITAAA
SABAAAA
THAMANIAAA
TISAAAA
ASHARAAA😂😂😂😂
SIPATI PICHAAAA
Waendelee kumlinda, yupo wapi kipa asiyehitaji kulindwa? Ile ni timuAmelindwa sana, ukiangalia jitihada zake kiufundi ni ndogo mno.
Sawa.Waendelee kumlinda, yupo wapi kipa asiyehitaji kulindwa? Ile ni timu
unaota ndotoKwa mechi ya kwanza pale Lupaso, Simba akashinda 1-0, bonge la mtaji na kuifanya timu ijiamini kwenye mechi ya marudiano.
Kocha nimemwelewa namwamini.
Hivi mkuu unakumbuka kuwa Barcelona alikuwa hafungwi Nou camp hasa na Madrid ulikuwa huwezi kumtolea pale kwake Santiago bernabeu wao hupenda kuuita museums of European football lkn ajax hakumpiga pale kwake na Bayern hakufanya hivyo kwa Barcelona Tena Barcelona akiwa fire na Bora Zaid mambo hubadilika kwenye footballMatokeo aliyo yapata Yanga nigeria yamemuumiza sana Simba na ndoman wamefkia hatua hii ya kusema kweny uwanja wa muhhadi5 anashinda labda na njaa ila mpira wasahau ikokitu.
Wabongo bwana kwa kujifariji na kujipa moyo ni mafundi, Any way mpira ni dk 90 lolote linaweza kutokea but kiuhalisia Simba anakwenda kukamilisha ratiba tu!Kwa mechi ya kwanza pale Lupaso, Simba akashinda 1-0, bonge la mtaji na kuifanya timu ijiamini kwenye mechi ya marudiano.
Kocha nimemwelewa namwamini.
Thalatha,khamsah......"SAB A" , "THAMANIA", 'TIS A", " ASHARA"
Nimeendeleza ulipoishia.
Kaagizwa udi na babuMbona harakaharaka, unaenda wapi sasa?
Wataje tu hakun shidaKuna watu wanawewesekaa balaaa
Natamani wapigwe hiyo ya mwishoSIKU HIYO TUTAKUWA TUKIHESABU.MAGOLI KWA MTINDO HUU
WAAAHID
ITHNAIIN
THALAAATHA
ARBAA
HAMSAAAA[emoji23][emoji23]
SITAAA
SABAAAA
THAMANIAAA
TISAAAA
ASHARAAA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SIPATI PICHAAAA
MolokoMbona harakaharaka, unaenda wapi sasa?
Sio siku hiyo Mkuu ni Ijumaa keshokutwa inshallah panapo majaaliwa si mbali nitakaa benchi la mbele kibanda umiza na popcorn 🍿 zangu kama vile Niko Aura Plaza nacheki muvi za kihindi!! Raha kama zote Onyango akiwapa penati mbili Wydad! Mzamiru na Putin wataenda nje kwa red card! Chama na Baleke watawekwa mfukoni! Simba itakuwa kama Abajalo au Lipuli!SIKU HIYO TUTAKUWA TUKIHESABU.MAGOLI KWA MTINDO HUU
WAAAHID
ITHNAIIN
THALAAATHA
ARBAA
HAMSAAAA😂😂
SITAAA
SABAAAA
THAMANIAAA
TISAAAA
ASHARAAA😂😂😂😂
SIPATI PICHAAAA
Mechi ngumu lakini hakupata mikiki mikiki hasa ya WydadKipa kafanya mangapi. Mara hii umesahau kama hajafungwa, tena kwenye mechi ngumu 2
Ni mechi kati ya wydad na Simba, acha kuazima akilifamilia ya soka la Africa na Dunia inaitazama mechi ya Simba Vs Wydad kwa upekee wake.
Simba anamenyana na bingwa mtetezi cafcl anaeshika nafasi ya pili kwa vilabu bora Africa.
duh!Ni mechi kati ya wydad na Simba, acha kuazima akili