Ya DP-World, ipite kura ya maoni kwa wananchi, la sivyo tutaendelea kulaani huu mkataba mpaka bahari itapokauka!

Ya DP-World, ipite kura ya maoni kwa wananchi, la sivyo tutaendelea kulaani huu mkataba mpaka bahari itapokauka!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Mbali na kelele zoote hizi za wananchi! Lakini bado bunge lenye idadi ya wabunge 300 hivi, likiwakilisha wananchi zaidi ya 60 milioni limeishinisha kubinafisishwa kwa Bandari zetu zote Tanganyika

umefika wakati sasa, maoni ya wengi yaheshimiwe, hasa kwenye mambo makubwa kabisa yanayomgusa kila mwananchi!

Kwa mjibu wa mitandao ya kijamii yote Tanzania, ni watu wachache sana ambao wameunga mkono jambo hili ukiondoa hao wabunge wa ccm na mamluki wao waliowapandikiza kwenye vyama hivi vidoogo vidoogo!

Ili kuheshimu maoni ya wananchi wengi" ni vyema sasa kuitishwe kura ya maoni ili kuhalarisha kile bunge wamepitisha

Him itasaidia saana kupunguza hasira za wengi kwa mjibu wa jinsi wametoa maoni yao
 
Vijana ambao ndio Taifa la kesho muda wa mjadala wa Dp World ukiendelea Bungeni wao walikuwa pembeni mwa barabara wanasubiri Kombe la NBC Premier league kutokea Mbeya.

innalillah wainna ilay rajiuun
 
Vijana ambao ndio Taifa la kesho muda wa mjadala wa Dp World ukiendelea Bungeni wao walikuwa pembeni mwa barabara wanasubiri Kombe la NBC Premier league kutokea Mbeya.

innalillah wainna ilay rajiuun
Wale ni watoto
 
Back
Top Bottom