Ya leo kikaoni usiku pale Utemini

Ya leo kikaoni usiku pale Utemini

Wanaotumiwa na mafisadi wamepambana sana kumshauri boss lady eti asimpe kijiti bwana mdogo na ambakishe palepale alipomteua siku chache zilizopita na huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.

Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.

VC hamtaki yule mlima nyanya! Na akaenda mbali zaidi, eti, yupo tayari akalee wajukuu kuliko kufanya kazi na vijana wenye viburi. Mlengo wa kulia wakamuuliza, vijana ama kijana? Na kama ni vijana, je, na yupi mwingine!? Jibu lake akaishia kuguna pekee!

"....wazee wangu na wana MCC wenzangu nimewasikia. Na acheni nami na wenzangu wanaonishauri mambo ya siasa, tukalipitie." Jibu la boss lady.

Nb: Mradi wa mama bado chaji inasoma 90%.
Unaangaika bure. Samia siasa za mabavu na visasi haziwezi. Kama mnataka kuona anguko lake basi endeleeni kumdanganya awatumie hao watu wenu ambao hawawezi kufanya siasa bila kutumia polisi na vyombo vingine vya dola. Hao watu mnaowataka ni wasanii tu na wanapenda kujimwambafy bila mikakati. Huyo jpm mwenyewe, kama hasingetumia mabavu, wizi, uporaji wa kura na tume ya hovyo ya uchaguzi, Sasa hivi CCM ingekuwa chama cha upinzani. Ni wajinga wachache tu waliokuwa wakishabikia matendo ya hovyo ya kipindi hicho.
 
Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!

Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.

Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
Una nyuzi ngapi ulizotoa maendeleo chanya?
 
“*
huku wakimpigia debe kijana wao mwenye jina la mtoto wa Yoseph ili awe.

Hali kadhalika, wenye mlengo wa kulia wamemshauri boss lady amrejeshe mu-cubya ili kwalo aje awe boss wa Sekretalieti. Na kwa ushirikiano wa Yeye na Mwenezi, wanaamini Chama kitapaa juu mawinguni kwa kuaminiwa tena na Wananchi.*

Mtoto wa Yoseph ni Emmanuel?

Mu-cubya ni nani?

Suzy Elias
Kasi kasi
 
Badala ya kuwaza maendeleo ya nchi na kuumiza vichwa kutoa mawazo chanya na nini kifanyike ili nchi yetu ipate maendeleo y kweli mmekaa kuwaza vyeo na madaraka tu!

Nyuzi zote unazoanzisha ni vyeo na madaraka tu alafu ndo nchi ipate maendeleo ya kweli.

Nasikitika waliokuteua mwenezi hapo CCM.
CCM imetengeneza vijana takataka!!
 
Back
Top Bottom