Ya Magufuli kujirudia, anahisi kuwa ndiye Rais wa Nchi. Atumia fursa ya Rais Samia kuwa nje kikazi

Ya Magufuli kujirudia, anahisi kuwa ndiye Rais wa Nchi. Atumia fursa ya Rais Samia kuwa nje kikazi

Sikujibu, naona unataka ugomvi ila mie nishatoka kuswali sitaki ugomvina maskini.
maskini tena.. 😀 😀 😀 .. uje na mada inayoeleweka,, usiweke thread ambayo ukiulizwa swali unahamaki unajibu na hisia kali kama mama yako ndio rais.. Stupid
 
maskini tena.. 😀 😀 😀 .. uje na mada inayoeleweka,, usiweke thread ambayo ukiulizwa swali unahamaki unajibu na hisia kali kama mama yako ndio rais.. Stupid
duh, watoto mnaozaliwa nyumba za wageni mnatukana wazazi wenu.
Asante kwa tusi, naomba kama kuna lingine niongezee.
 

Wakati Mh Samia Suluhu yupo nje ya nchi kikazi , Paul Makonda anatumia ziara zake ambazo zimepewa jina la 'OPERESHENI CHAFUA MBOWE" kujijenga kisiasa na siyo kujenga chama wala bosi wake , yaani mwenyekiti wa chama.

RC na WAZIRI hawana mamlaka hata ya kumfukuza mtu kazi. Ila wanaweza kuinfluence wenye mamlaka waanze mchakato huo!

MAKONDA hajawai kuwa Mtumishi wa Umma, ni kijana tu wa Mtaani na UVCCM na hajui lolote Nje ya Nafasi za uteuzi. Hazijui standing orders ndiyo maana anaita wataaluma, kuwatukana na kuwafukuza.

Makonda Anautafuta kwa kutumia jina la DR SAMIA na jina la Dr MAGUFULI, na tena akitumia mikutano style ya Dr Magufuli wakati itifaki haimpi nguvu ya kuwaamrisha na kuwawajibisha watumishi wa Umma

Yeye kama kiongozi wa CHAMA hapaswi kuwahoji watumishi wa umma walio katika TECHNICAL TEAM angaweza kuwahoji watumishi wa umma waliopo kwenye Administration kama RAS, RMO na wengine wenye majukumu ya kusimamia SERA.

Hakika kama bado ningekua huko, hata kwenda kwenye mikutano au kuitwa kuhojiwa naye NISINGEENDA , standing ORDERS zinajieleza mtumishi wa Umma anawajibika kwa nani

Magufuli alikua ni RAIS, huyu hana mandate ya kuita ma Police , Madaktari na Wahandisi kuwahoji.

Siasa IPO na ndiyo inaamua maisha yetu, ila SIYO TUBEBWE NA PROPAGANDA za Makonda ambaye tunajua kabisa ni muongo na anatafuta umaarufu, mpaka tuache kila kitu tubaki tunamjadili yeye.

1. Anasema Chadema wanataka kubadili katiba ili kuwaongeza waaunge wawe 740 , wakati CDM wamesema idadi ya wabunge ipungue chini ya 320 kama ilivyopendekezwa na Warioba.

2. Anasema MAANDAMANO hayatakiwi, maana yataua utalii wakati yeye anaandamanisha watu kila siku mkoa kwa mkoa, amefunga barabara toka - KIA- mpaka Arusha , watalii wamechelewa ndege, wanaowahi Ngorongoro , wanaowahi ku-connect ndege


Anapaswa kuwaripoti kwa MKUU wa MKOA na mkuu wa Mkoa amwambie RAS na WAKURUGENZI au WAKUU WA IDARA washuhulikie kero tajwa. Ila si kwa Makonda kujifanya yeye ni JAJI
Hana mvuto
 
Watanganyika wengi ni wajinga, hawajui sheria na haki zao acha waendeshwe hadi siku ujinga ukiwaisha ndo wataamka.
 
Mkurugenzi wa CIA anayembelea Afrika ya Mashariki za Makonda zinahesabika.
 
Sio bongo,
Itakuwa ni Bongo hii hii CHADEMA itakuwa na Majority na tutapewa ridhaa na Wananchi siku hiyo Makonda kesi zake zone zitafufuliwa Sirro nae ataitwa wajibu uhalifu walioufanya awamu ya 5.
 
Mfumo wetu unazalisha watu wajinga sn, kuanzia wasomi wenyewe ni wajinga hawajaelimika wanapelekwa badala ya kusimamia misingi

Shida kubwa kwa nchi yetu sio wajinga, Bali ni wasomi kugeuka waoga. Yaani mtu akipata ajira anaogopa kusema ukweli eti atapoteza ajira. Ukisikia msomi mzima anasema hataki kupoteza ugali wa watoto wake, ujue hilo ni janga.
 
Muda huu Makonda yuko Ziba Igunga. Kafunga Barabara Kuu kwenda Mwanza. Ni ghadhabu kubwa kwa abiria.
 
Wakati Mh Samia Suluhu yupo nje ya nchi kikazi , Paul Makonda anatumia ziara zake ambazo zimepewa jina la 'OPERESHENI CHAFUA MBOWE" kujijenga kisiasa na siyo kujenga chama wala bosi wake , yaani mwenyekiti wa chama.

RC na WAZIRI hawana mamlaka hata ya kumfukuza mtu kazi. Ila wanaweza kuinfluence wenye mamlaka waanze mchakato huo!

MAKONDA hajawai kuwa Mtumishi wa Umma, ni kijana tu wa Mtaani na UVCCM na hajui lolote Nje ya Nafasi za uteuzi. Hazijui standing orders ndiyo maana anaita wataaluma, kuwatukana na kuwafukuza.

Makonda Anautafuta kwa kutumia jina la DR SAMIA na jina la Dr MAGUFULI, na tena akitumia mikutano style ya Dr Magufuli wakati itifaki haimpi nguvu ya kuwaamrisha na kuwawajibisha watumishi wa Umma

Yeye kama kiongozi wa CHAMA hapaswi kuwahoji watumishi wa umma walio katika TECHNICAL TEAM angaweza kuwahoji watumishi wa umma waliopo kwenye Administration kama RAS, RMO na wengine wenye majukumu ya kusimamia SERA.

Hakika kama bado ningekua huko, hata kwenda kwenye mikutano au kuitwa kuhojiwa naye NISINGEENDA , standing ORDERS zinajieleza mtumishi wa Umma anawajibika kwa nani

Magufuli alikua ni RAIS, huyu hana mandate ya kuita ma Police , Madaktari na Wahandisi kuwahoji.

Siasa IPO na ndiyo inaamua maisha yetu, ila SIYO TUBEBWE NA PROPAGANDA za Makonda ambaye tunajua kabisa ni muongo na anatafuta umaarufu, mpaka tuache kila kitu tubaki tunamjadili yeye.

1. Anasema Chadema wanataka kubadili katiba ili kuwaongeza waaunge wawe 740 , wakati CDM wamesema idadi ya wabunge ipungue chini ya 320 kama ilivyopendekezwa na Warioba.

2. Anasema MAANDAMANO hayatakiwi, maana yataua utalii wakati yeye anaandamanisha watu kila siku mkoa kwa mkoa, amefunga barabara toka - KIA- mpaka Arusha , watalii wamechelewa ndege, wanaowahi Ngorongoro , wanaowahi ku-connect ndege

Anapaswa kuwaripoti kwa MKUU wa MKOA na mkuu wa Mkoa amwambie RAS na WAKURUGENZI au WAKUU WA IDARA washuhulikie kero tajwa. Ila si kwa Makonda kujifanya yeye ni JAJI
Mbowe kajichafua mwenyewe kwa kuchota Ruzuku ya chama na kujenga nyumba yake.

Anachafuka zaidi kwa king'ang'ania Uenyekiti na kukifanya Chama ambacho ni Cha Umma kuwa mali ya familia yake
 
Mbowe kajichafua mwenyewe kwa kuchota Ruzuku ya chama na kujenga nyumba yake.

Anachafuka zaidi kwa king'ang'ania Uenyekiti na kukifanya Chama ambacho ni Cha Umma kuwa mali ya familia yake
Makojo umejiunga JF 2014 mpaka leo unaweza kama kuna tope kichwani.

Uelewa wako unaonyesha jinsi hata mwanaume anaye tembea na wewe mnafanana akili.
 
Back
Top Bottom