Ya Mbowe na Gambo yametufundisha kwamba, mwanaume wa kweli lazima apige yowe pindi chai ya watoto wake inapoguswa na vitu visivyojulikana

Ya Mbowe na Gambo yametufundisha kwamba, mwanaume wa kweli lazima apige yowe pindi chai ya watoto wake inapoguswa na vitu visivyojulikana

Mikopo Consultant

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2024
Posts
529
Reaction score
1,150
Kumekucha kumekucha

Gambo
Mkuu Gambo kaambiwa maneno machache tuu, ‘Hudhuria kwenye vikao’ almanusura adondoke chini kwa shambulizi la moyo. Nikagundua kumbe alikuwa yupo mbele ya wateja wake a.k.a wapiga kura. Maneno ya RC yamemchoma sana mwanaume huyu; chupa ya chai ya wanawe imepokea mguso na kitisho, lazima apige yowe. Naona anatoa maelezo mengi sana mtu huyu, hakika ni mwanaume wa kweli, chai ya watoto ipo hatarini, yowe lazima lipigwe.

Mbowe
Baada ya Tundu Lissu a.k.a Apostle Mwamposa wa siasa za Tanzania kuanza kukishikashika kichwa cha Mbowe (kwenye paji la uso) na kukiachia kama afanyavyo Mwamposa kwenye maombezi, napo yowe limeanza kusikika.

Msaidizi: Apostle!, unavyogusa na kukiachia kichwa cha mtu huyu tunaona muujiza ukitendeka.

Mwamposa: Muujeza gaaani unatendeka?

Msaidizi: Anapiga yowe huku amekumbatia chupa ya chai

Mwamposa: Yumkini, chupa yake ya chai imepata mguso usojulikana

Msaidizi: Hii ina maana gani Apostle?

Mwamposa: Ne mwanaume wa kweli mtu huyu, chai ya Watoto ekiguswa, lazima apige yowe, mwacheni apige yowe.

Msaidizi: Piga yowe piga yowe mwanaume, onesha uanaume wako kwa kupiga yowe.
 
Kumekucha kumekucha

Gambo
Mkuu Gambo kaambiwa maneno machache tuu, ‘Hudhuria kwenye vikao’ almanusura adondoke chini kwa shambulizi la moyo. Nikagundua kumbe alikuwa yupo mbele ya wateja wake a.k.a wapiga kura. Maneno ya RC yamemchoma sana mwanaume huyu; chupa ya chai ya wanawe imepokea mguso na kitisho, lazima apige yowe. Naona anatoa maelezo mengi sana mtu huyu, hakika ni mwanaume wa kweli, chai ya watoto ipo hatarini, yowe lazima lipigwe.

Mbowe
Baada ya Tundu Lissu a.k.a Apostle Mwamposa wa siasa za Tanzania kuanza kukishikashika kichwa cha Mbowe (kwenye paji la uso) na kukiachia kama afanyavyo Mwamposa kwenye maombezi, napo yowe limeanza kusikika.

Msaidizi: Apostle!, unavyogusa na kukiachia kichwa cha mtu huyu tunaona muujiza ukitendeka.

Mwamposa: Muujeza gaaani unatendeka?

Msaidizi: Anapiga yowe huku amekumbatia chupa ya chai

Mwamposa: Yumkini, chupa yake ya chai imepata mguso usojulikana

Msaidizi: Hii ina maana gani Apostle?

Mwamposa: Ne mwanaume wa kweli mtu huyu, chai ya Watoto ekiguswa, lazima apige yowe, mwacheni apige yowe.

Msaidizi: Piga yowe piga yowe mwanaume, onesha uanaume wako kwa kupiga yowe.
Mbowe hata akishinda hofu na msongo hazitamuacha sqlama
 
Mbowe hata akishinda hofu na msongo hazitamuacha sqlama
Mbowe akishinda atabaki mwenyewe, nimetembea kwenye vijiwe Fulani fulan vijana wanasema walikuwa wanasikia ukigusa kiti kile hubaki Salama wameanza kuuona ukweli, wamedhamiria aondoke
 
Mbowe hata akishinda hofu na msongo hazitamuacha sqlama
Shida ni miguso ya Tundu Lissu, kila siku anakuja na jipya, mzee Mbowe lazima aweweseke, maana kijana Lissu kila siku anakuja na kombora jipya vitani
 
Shida ni miguso ya Tundu Lissu, kila siku anakuja na jipya, mzee Mbowe lazima aweweseke, maana kijana Lissu kila siku anakuja na kombora jipya vitani
Jana amemuita Mugabe...eti ninataka kumlindia mwenyekiti legacy asijekuwa kama Mugabe kutoka kuwa Mpigania uhuru hadi kuwa dikteta🤣.

Nimegundua kuwa Lissu ni mutu mubaya, ana silaha nyingi🤣🤣🤣
 
Jana amemuita Mugabe...eti ninataka kumlindia mwenyekiti legacy asijekuwa kama Mugabe kutoka kuwa Mpigania uhuru hadi kuwa dikteta🤣.

Nimegundua kuwa Lissu ni mutu mubaya, ana silaha nyingi🤣🤣🤣
"Lissu ni kama Hamas, anaachilia mateka mmoja mmoja" JTB

Haishiwi maneno Tundu Lissu, Mbowe kayakanyaga
 
Jana amemuita Mugabe...eti ninataka kumlindia mwenyekiti legacy asijekuwa kama Mugabe kutoka kuwa Mpigania uhuru hadi kuwa dikteta🤣.

Nimegundua kuwa Lissu ni mutu mubaya, ana silaha nyingi🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
 
Kwahiyo unataka kusema kuwa Mbowe ambaye tunaambiwa ni bilionea amefirisika kiasi cha kundesha maisha yake kwa msaada wa hela za chama?
 
Ni kweli Makonda ana guts ila kuchambana vile hadharani wala haileti picha nzuri.
 
Kwahiyo unataka kusema kuwa Mbowe ambaye tunaambiwa ni bilionea amefirisika kiasi cha kundesha maisha yake kwa msaada wa hela za chama?
Who knows, inawezekana Chadema ni nguzo muhimu za yeye kubakia kwenye platform ya kupata madili na pesa rahisi
 
Ni kweli Makonda ana guts ila kuchambana vile hadharani wala haileti picha nzuri.
Ofcoz alichofanya Makonda sio uungwana, ila kama alichoongea pia ni kweli, hapo inakuwa ni ngumu sana kum defend Gambo
 
Back
Top Bottom