Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuzidi wewe daah !!Tukiachana na kofia ya Pilipili mkewe ni mzuri bwana. Shape mashallah
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee...nlifikiri mimi tuu ndio nimeona hilo! kwanza kwa promo alilompa huyo mke mtarajiwa kunatupa wasiwasi, ni kama vile labda hakuamini kama angempata......lakini mda ndio tiba ya haya mambo...kuna kitu tutakielewa tuu mda ukimbariki...and i hope i am wrongMie naona kama jamaa ndio kaolewa. Umeona dem alivyokua konki. Eti dem ndio anaenda kumbembeleza.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhmkuu huyo demu ni mzinzi tangu kitambo,,chuo nilikua nae st joseph yaani amepigika vya kutosha na wana
Sent using Jamii Forums mobile app
Don't be quick to judge. You never know.
Hizi nyoyo zetu tunazotembea nazo bwana, acha zijifiche tu zimebeba mengi.
Huwezi jua huyo mdada ana impact gani katika maisha yake. Maybe its a dream come true, maybe she saved his life.... maybe he never thought he would ever be loved again after previous breakup.
Let him cry his heart out. Whatever is in his heart, his Lord understands better.
Hakika,jamaa ajiandae kugongewaHUYU DADA HUYUUU...MIMI NIMEOA WALA SIMUONEI WIVU...MIMI NAMSEMEA KWA WEMA TU...ILA HAPA...HAHAHA PILIPILI AINGIE SOKONI UPYA...BAHATI MBAYA KATUONESHA INSTA ID YAKE KABISA...TUSHAMJUA ALIVYO...BORA YA NDAUKA...ila hatuwezi jua...KIPENDACHO ROHO HULA NYAMA MBICHI...
Ukiangalia ile video vizuri...utamuona bibie macho makavuuu...ht hambembelezi...yeye yake pete tuu...mmmh hapana aisee...na kuna video moja amepost anatoa shukran...yaan pale ndo nikajithibitishia kwa kumwangalia tu...yule demu ile engagement kaikubali with interest...MWANAUME YEYOTE ALIYEPITIA BALEHE ZOTE NA KUTIMIA KIAKILI NA KIUTULIVU...ATAGUNDUA YULE DEMU PALE HAKUNA MKE...
Kuna mkuu kaitupia pandisha zilizopitaWapi Video
Kweli kabisa umenena kwa kilio hicho ni upuuzi sio hisiaWanaume wa mikoani wakifika dar hadi huruma aiseee
Katokea dodoma jamaniHawa wanaume wa Dar sijui wana nini kwenye vichwa vyao.
Yaani hapo hata papuchi itabidi uwe unalia ndo unapewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywa soda saba nakuja kulipaHuyu Jamaa anatumia nguvu nyingi sana kuchekesha. Ila siyo Mchekeshaji( Kila nikitazama Clip zake uwa naishia tu kusonya). Kwanza anaongea haraka. Anavyoongea havichekeshi. Tabu tupu. Leo anamvisha Mtu Pete anajiliza. Kiki za mjini hizi!!!Nimeamini hazipatikani kirahisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku kujifanya kwenu mnaigaiga kila kitu hadi visivyofaa ndiko kulikosababisha leo hii mnadai haki za LESBGT.Acha wivu mleta mada wewe ka hukulia ni ushamba wako. Mimi baby shamwambia kabisa apige goti
Sent using Jamii Forums mobile app
Amejiandaa kuishi kwa kupiga magoti siku zote, huu ni upuuzi ambao sitakaa niufanye!Hili jambo la mwanaume kupiga goti wakati wa kumvalisha pete mchumba naona linazidi kukomaa,si utamaduni wetu japo sio mbaya sana kwani ni effects za globalization kwenye muingiliano wa kiutamaduni na wazungu/waarabu/wachina na vile tunasema "strong culture absorbs weak culture" na hii inachangiwa sana na nguvu ya kiuchumi.
Tuyaache hayo,leo Mc wa taifa Pilipili kama anavyojiita mwenyewe kamvisha pete mdada mrembo sana huko Boko Dsm hongera kwake but concern yangu kubwa ni kitendo cha yeye Pilipili kama Mwanaume kulia sana wakati kapiga goti mbele ya binti halaf binti anaonekana hana hata chembe ya hofu na kuguswa na kilio cha pilipili,huu ni udhaifu ambao kama.mwanaume lijali hakika hupaswi kuuonyesha,that is a big point of weaknes,hata kama umewahi kuumizwa sana kwenye mapenzi jitahidi usitoe chozi mbele ya mwanamke ambaye si mama yako,hii itakusaidia sana hata ukiwa kwenye ndoa ukitoa maamuzi yanakua ya kiume kweli kweli but hii ya kulia lia si dalili njema sana,kwa anayewajua vizuri wanawake atakua amenielewa.
By the way hongera sana Pilipili kwa kupata mchumbaView attachment 987138View attachment 987135
Mchekeshaji maarufu Bongo, MC Pilipili jioni ya leo amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake (Mke mtarajiwa) Philomena Thadey, nyumbani kwa Wazazi wa mwanamke maeneo ya Boko (Tegeta) jijini DSM, sherehe hiyo imehudhuriwa na watu mbalimbali wa Serikali na taasisi zisizo za kiserikali.
Yani Upopoma huu ni bora tu hata Mungu arudi leo au kesho kutoa hukumu tunaonda mbinguni twende na wanaochomwa moto wachomwe, au aiangamize tu dunia yote kisha aumbe dunia nyingine yenye Wanaume wanaojitambua kuliko huyu kimeo aliyetudhalilisha Wanaume dunia nzima.