Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Daah, kweli duniani kuna mambo, cha mtu chake au sio, ila kulia ni umama mwanaume hautakiwi kuonesha hisia za hivyo angekenua tu majino yake afu akifika room alieeeee hadi kero, ila duh mbele ya wanaume unajiliza wala sio manhoodameojiwa nimeona clip anasema alikuwa anapigiwa sana simu na majamaa wanalalamika wamepokonywa demu wao ambaye walikuwa naye toka chuo,hivyo wakati anamvalimisha pete akakumbuka milima na mabonde yote hakuamini kama wamefika hatua hiyo akalia kwa furaha
Sent using Jamii Forums mobile app