Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

ameojiwa nimeona clip anasema alikuwa anapigiwa sana simu na majamaa wanalalamika wamepokonywa demu wao ambaye walikuwa naye toka chuo,hivyo wakati anamvalimisha pete akakumbuka milima na mabonde yote hakuamini kama wamefika hatua hiyo akalia kwa furaha
Daah, kweli duniani kuna mambo, cha mtu chake au sio, ila kulia ni umama mwanaume hautakiwi kuonesha hisia za hivyo angekenua tu majino yake afu akifika room alieeeee hadi kero, ila duh mbele ya wanaume unajiliza wala sio manhood

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa hii clip yake nimeshindwa kuirudia hadi najisikia aibu kuitazama tena,kafanya kitendo cha kilofa nahisi ana chembechembe za mwanaume wa Dar.

Eti mwanaume rijali unamvish pete mpenzi wako huku unajiliza huo ni udada,yaani ni balaa sitamani kijana mwingine aje afanye kitu kama hiki.

ILA LABDA HUENDA JAMAA KAMKUTA MWANAMKE NA BIKRA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MGOGO KADATA

Beautiful ones are not yet born
kweli...na mwnamke akajaribu kuwa mstaarab akashuka chini........kweli kuna tatizo....kama tunafikiri hivi vitu ndio vinatufanya tuonekane "sweet"....tuna safari ndefu kama wanaume
 
Aibu ya kufungulia mwaka 2019 hii,wanaume wa kweli tunazidi kumalizika
 
ameojiwa nimeona clip anasema alikuwa anapigiwa sana simu na majamaa wanalalamika wamepokonywa demu wao ambaye walikuwa naye toka chuo,hivyo wakati anamvalimisha pete akakumbuka milima na mabonde yote hakuamini kama wamefika hatua hiyo akalia kwa furaha
Kumbe alkua na majamaa wengi huko chuo waliokula nae tunda!!MC amejitaftia matatzo ya kupokonya demu wa wana aisee yatakayo mkuta huko mbele atatoa pia ushuhuda kama yule member wetu humu aliempokonya jamaa mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo tumejijengea mwanaume hatakiwi kulia wakati wanaume wako sensitive and vulnerable Kama sisi tu,mie ningependa mwanaume wangu alie tena kwa yowe,yewoooomiiii
haha..sio kwamba tumejijengea, ndio hali halisi...huyo leo analia hivyo mnamsifia wakina mama, siku utampelekea tatizo akusolvie kama mwanamume au mme alafu atapiga hayo mayowe (kwasababu yupo emotional kama wewe kama ulivyodai hapo) alafu utakuja kufungua threadi humu! ohooo
 
ameojiwa nimeona clip anasema alikuwa anapigiwa sana simu na majamaa wanalalamika wamepokonywa demu wao ambaye walikuwa naye toka chuo,hivyo wakati anamvalimisha pete akakumbuka milima na mabonde yote hakuamini kama wamefika hatua hiyo akalia kwa furaha
Hivi kalia..au alikuwa anaigiza (comedian) ..ila sishangai alisema yeye ni mmoja ya wasanii wa3 wanaomilki BMW eti wana group la Whatsaap

Yaani kumiliki gari alikuja fanya show off kipindi cha clouds kwa kutaja idadi yao..sometimes sio acting tu..mtu aweza kuwa akili ina kasoro tukawa hatujui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom