Josse kongolo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 449
- 990
Nilipoona hyo clip niliona aibu utazan mie ndo nimefanya hivo huyu mc katudhalilisha sana sisi wanaume napendekeza kwa wanaume halisi walio karibu na huyu bwana wafanye kila wawezalo wamchapie ili aipate fresh,mwanaume gan unali lia hadharani sisi kwetu mwanaume kuli hivo ni ishara ya kutokua na kifua cha kubeba mambo mazito
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app