Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Nilipoona hyo clip niliona aibu utazan mie ndo nimefanya hivo huyu mc katudhalilisha sana sisi wanaume napendekeza kwa wanaume halisi walio karibu na huyu bwana wafanye kila wawezalo wamchapie ili aipate fresh,mwanaume gan unali lia hadharani sisi kwetu mwanaume kuli hivo ni ishara ya kutokua na kifua cha kubeba mambo mazito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Just so you know it is not a sign of weakness.
Ni sign ya weakness kubwa

Mc pilipili ameishusha hadhi ya kiume .

Upige goti halafu unalia pia why!!!?

Aisee wife atapiga yeye goti na nitampa hint kabisa

"Aisee utapiga goti wakati nakuvalisha Pete.."

Akikataa tutasimama kama minara wote wawili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.
Hahahahaha we noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzake wanaonyesha hisia kwa kutoa vizawadi vidogo vidogo kama range hivi yeye anatoa machozi. Pumbafu sana angekula kibao.
 
Back
Top Bottom