Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

ameojiwa nimeona clip anasema alikuwa anapigiwa sana simu na majamaa wanalalamika wamepokonywa demu wao ambaye walikuwa naye toka chuo,hivyo wakati anamvalimisha pete akakumbuka milima na mabonde yote hakuamini kama wamefika hatua hiyo akalia kwa furaha

Tatizo tumejijengea mwanaume hatakiwi kulia wakati wanaume wako sensitive and vulnerable Kama sisi tu,mie ningependa mwanaume wangu alie tena kwa yowe,yewoooomiiii
 
Huyu jamaa hii clip yake nimeshindwa kuirudia hadi najisikia aibu kuitazama tena,kafanya kitendo cha kilofa nahisi ana chembechembe za mwanaume wa Dar.

Eti mwanaume rijali unamvish pete mpenzi wako huku unajiliza huo ni udada,yaani ni balaa sitamani kijana mwingine aje afanye kitu kama hiki.

ILA LABDA HUENDA JAMAA KAMKUTA MWANAMKE NA BIKRA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MGOGO KADATA

Beautiful ones are not yet born
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]ah ah ah daah,siamini km kitu km hiki kimetokea,ah ah ah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasumba ya wachangiaji jf bhana ni kufuata mkumbo wa wachangiaji wa kwanza kwenye uzi, kama wachangiaji wa mwanzo wakiwa na mtazamo hasi basi hata wanaofuatia huendelezea mkumbo uleule na iwapo wachangiaji wa mwanzo wakiwa chanya wengi wa wanaofuata huwa hivyo hivyo.

Nina hakika wapo waliochangia bila hata kuiona video husika kwa kuwa hawana MB za kutosha ila mkumbo tu...

Wapo ambao ni wanaume na wapo dar ila huji-position mikoani kwa muda tu hasa pale mada inapohusu udhaifu wa kinachoitwa "wanaume wa dar" na kisha hujirudisha Dar wakati wa kuelezea "ushamba wa watu wa mikoani (nje ya dar)". Hawa ni kama popo-watu.

Mimi nakataa kabisa, Mc Pilipili hakulia bali machozi ndiyo yalimtoka machoni kutokana na hisia kali anazozijua yeye mwenyewe! Ni machozi yanayobemba ujumbe mkubwa kuliko kile kinachooneka mbele ya macho ya watazamaji... Machozi ya namna hiyo hayatawaliki, na kila unapojaribu kuyatawala, nayo huongezeka mara dufu.

Sio kweli kwamba wanaume hawatokwi na machozi, hayo ya hisia huwatoka wanaume wengi tu hata kama kwa kujificha ili kuficha 'aibu'... Ni suala la kisaikolojia zaidi kuliko uwezo wa kibabe wa kiume. Nina uhakika, Mc Pilipili anaweza kupigwa fimbo 20 au zaidi na asilie... Lakini machozi yatokanayo na nguvu ya hisia hayazuiliki.
Kitu ambacho siungi mkono, ni suala la kumpigia magoti mwanamke wakati upo katika hatua muhimu ya kuchukua uongozi wa familia yako kama baba, ni kuigaiga tu.

Kama hujanielewa unaongozwa na ushabiki ama wivu kumuhukumu Mc Pilipili.
Nakubali mwanaume analia lkn pale hakukuwa na hisia zozote.
 
Mh sijaimaliza hyo clip nimeona aibu, Dada wa watu kasimama tu dume zima analia, angekuwa mwanamke analia mwanaume angempiga hug la nguvu kumbembeleza, sasa huyu dume watu wanamuangalia Kama picha linajibembeleza lenyewe mfyuuuuuuu zake kanichefua 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom