Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Don't be quick to judge. You never know.

Hizi nyoyo zetu tunazotembea nazo bwana, acha zijifiche tu zimebeba mengi.

Huwezi jua huyo mdada ana impact gani katika maisha yake. Maybe its a dream come true, maybe she saved his life.... maybe he never thought he would ever be loved again after previous breakup.

Let him cry his heart out. Whatever is in his heart, his Lord understands better.
Thread closed.
 
Huyu jamaa hii clip yake nimeshindwa kuirudia hadi najisikia aibu kuitazama tena,kafanya kitendo cha kilofa nahisi ana chembechembe za mwanaume wa Dar.

Eti mwanaume rijali unamvish pete mpenzi wako huku unajiliza huo ni udada,yaani ni balaa sitamani kijana mwingine aje afanye kitu kama hiki.

ILA LABDA HUENDA JAMAA KAMKUTA MWANAMKE NA BIKRA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MGOGO KADATA

Beautiful ones are not yet born
Bikra ikishatolewa haitaitwa tena bikra bali ni historia iliyokwisha kupita na wakati.

MC Tatutatu ni jinga la kimataifa kabisa, tena pumbavu sanaaaa.

Mwanaume huna kifua cha kukomaa kuficha upumbavu mbele za watu?

Sasa hapo ni mbele ya kadamnasi ndiyo analia hivi je chumbani si ndiyo atakuwa anagaragara kabisa kulilia papuchi na huyo Mke?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wote mnaosupport iyo kulia Lia na kupiga magoti et emotional nini nini sijui mbwa tu nyie mvae na pedi sasa tujue moja. Vipo vitu vya mwanaume kulia au kupig magoti lakini sio haya mambo yakisengerembwendembindembunya.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3] huo msamiati hapo mwisho
 
MWILI, NAFSI NA ROHO VYOTE HUWA PA1 KUKAMILISHA UHAI ISIPOKUWA BINADAMU AKIFA TU NDIPO HIVYO VITU HUTENGANA.

N. B:

USIKUBALI HUO UJINGA WA KIPAGANI TOKA NCHI ZA MAGHARIBI.

NAKUHAKIKISHIA HUO UPUMBAVU SITAKUJA KUUFANYA KAMWE SABABU HATA TUKIWA TUNAKOJOA NI LAZIMA MWANAMKE ACHUCHUMAE/AINAME/AWE CHINI YANGU MWANAUME NA NI ISHARA TOSHA KUWA NI YUPI ALIYELAANIWA KWA KUAGIZWA ATAPASWA KUWA CHINI YA MWANAUME NA KUTAWALIWA SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wanaume tunamengi sana yakujifunza.
Ashakum si matusi; hivi kama na mama yako alilaaniwa vp kuhusu uzao wake (ambe ndo wewe)

Mwanaume amefanywa kuwa mwalimu kwenye familia yake, sasa swali; hivi ndivyo utakavyowafundisha binti zako kuwa wamelaaniwa ndomaana wanachuchumaa kukojoa..!!!??
You are smarter than that bro..!!

Tukubali kufungua mind zetu, tupokee maarifa na turuhusu akili zetu kuyachanganua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bikra ikishatolewa haitaitwa tena bikra bali ni historia iliyokwisha kupita na wakati.

MC Tatutatu ni jinga la kimataifa kabisa, tena pumbavu sanaaaa.

Mwanaume huna kifua cha kukomaa kuficha upumbavu mbele za watu?

Sasa hapo ni mbele ya kadamnasi ndiyo analia hivi je chumbani si ndiyo atakuwa anagaragara kabisa kulilia papuchi na huyo Mke?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazingua kinyama,hapa kuna watu watakuja kuponda thread hii

Beautiful ones are not yet born
 
Mwanzo uliandika kama mtu anayefahamu maandiko ndomana nikaona nikukumbushe kidogo, ila kwa haya uliyoandika saiv Duuhh..!!
Eti mwanamke amelaaniwa kuwa chini ndomana anachuchumaa kukojoa..!!!

Ubaki salama mkuu, me ngoja niende.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda mazima kabisa tena usijisogeze kabisa katika anga zangu maana usitake kunihalalishia niikatae Biblia.

Swala la Mwanaume kula kwa jasho chanzo chake ni nini?

Je Mwanamke kuzaa kwa uchungu na kutawaliwa na Mwanaume ni nini?

Unataka kumpinga hadi Mungu aliyethibitisha kuwa "Mwanamke ni kiumbe dhaifu" nakati yeye ndiye aliyemuumba afu ww na ujinga wako unajitoa ufahamu kuwa ni sahihi kumvalisha Mwanamke pete kwa kupigiwa magoti na kulialia kama mtoto anayelilia uji wa mgonjwa?

"C U FOREVER AND ALWAYS"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bikra ikishatolewa haitaitwa tena bikra bali ni historia iliyokwisha kupita na wakati.

MC Tatutatu ni jinga la kimataifa kabisa, tena pumbavu sanaaaa.

Mwanaume huna kifua cha kukomaa kuficha upumbavu mbele za watu?

Sasa hapo ni mbele ya kadamnasi ndiyo analia hivi je chumbani si ndiyo atakuwa anagaragara kabisa kulilia papuchi na huyo Mke?

Sent using Jamii Forums mobile app
Au alikuwa kwenye maigizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo wataalam tunasema anatarajia kuolewa yeye sio kuoa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ila wanaume tunamengi sana yakujifunza.
Ashakum si matusi; hivi kama na mama yako alilaaniwa vp kuhusu uzao wake (ambe ndo wewe)

Mwanaume amefanywa kuwa mwalimu kwenye familia yake, sasa swali; hivi ndivyo utakavyowafundisha binti zako kuwa wamelaaniwa ndomaana wanachuchumaa kukojoa..!!!??
You are smarter than that bro..!!

Tukubali kufungua mind zetu, tupokee maarifa na turuhusu akili zetu kuyachanganua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kusudi la Mungu lilikuwa Binadamu tuishi jinsi tunavyoishi ss hv?

Laana ndiyo imetuweka katika hali hii baada ya kuasi dhambi pale Eden, so fungua akili yako ielewe kwanini uishi maisha yanayoandamwa na changamoto za kila aina kama ajali, magonjwa, njaa na vita na wakati huo amani ni janga la dunia nzima.

Mama yangu asili yake imetokana na huyo huyo Ever/Hawa, hivyo hakuondoi maana yoyote kuwa alilaaniwa sababu Binadamu sote tumetokana na asili ya dhambi baada ya Adamu na Ever kula tunda katika bustani ya Eden.

Mungu hajawahi kuwa mwongo, si mwongo na hatakuwa mwongo kamwe, na akisema kitu lazima kitimie kama alivyotamka neno tu na viumbe vyote vilifanyika/viliumbika.

Weka hisia pembeni, kubaliana na ukweli maana utakuweka huru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kusudi la Mungu lilikuwa Binadamu tuishi jinsi tunavyoishi ss hv?

Laana ndiyo imetuweka katika hali hii baada ya kuasi dhambi pale Eden, so fungua akili yako ielewe kwanini uishi maisha yanayoandamwa na changamoto za kila aina kama ajali, magonjwa, njaa na vita na wakati huo amani ni janga la dunia nzima.

Mama yangu asili yake imetokana na huyo huyo Ever/Hawa, hivyo hakuondoi maana yoyote kuwa alilaaniwa sababu Binadamu sote tumetokana na asili ya dhambi baada ya Adamu na Ever kula tunda katika bustani ya Eden.

Mungu hajawahi kuwa mwongo, si mwongo na hatakuwa mwongo kamwe, na akisema kitu lazima kitimie kama alivyotamka neno tu na viumbe vyote vilifanyika/viliumbika.

Weka hisia pembeni, kubaliana na ukweli maana utakuweka huru.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani mimi niko uhuru, sijui wewe, maana kwenye hiyo njaa, magonjwa, ajali (na yote uliyoweka hapo), I am exempt, nayasikia tu kwenu. I was once a victim though, ila tangu nikatae kung'ang'ania ujinga (maana na me nilikua kama wewe) I've been completely free.
Good luck

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ameojiwa nimeona clip anasema alikuwa anapigiwa sana simu na majamaa wanalalamika wamepokonywa demu wao ambaye walikuwa naye toka chuo,hivyo wakati anamvalimisha pete akakumbuka milima na mabonde yote hakuamini kama wamefika hatua hiyo akalia kwa furaha
 
Kasumba ya wachangiaji jf bhana ni kufuata mkumbo wa wachangiaji wa kwanza kwenye uzi, kama wachangiaji wa mwanzo wakiwa na mtazamo hasi basi hata wanaofuatia huendelezea mkumbo uleule na iwapo wachangiaji wa mwanzo wakiwa chanya wengi wa wanaofuata huwa hivyo hivyo.

Nina hakika wapo waliochangia bila hata kuiona video husika kwa kuwa hawana MB za kutosha ila mkumbo tu...

Wapo ambao ni wanaume na wapo dar ila huji-position mikoani kwa muda tu hasa pale mada inapohusu udhaifu wa kinachoitwa "wanaume wa dar" na kisha hujirudisha Dar wakati wa kuelezea "ushamba wa watu wa mikoani (nje ya dar)". Hawa ni kama popo-watu.

Mimi nakataa kabisa, Mc Pilipili hakulia bali machozi ndiyo yalimtoka machoni kutokana na hisia kali anazozijua yeye mwenyewe! Ni machozi yanayobemba ujumbe mkubwa kuliko kile kinachooneka mbele ya macho ya watazamaji... Machozi ya namna hiyo hayatawaliki, na kila unapojaribu kuyatawala, nayo huongezeka mara dufu.

Sio kweli kwamba wanaume hawatokwi na machozi, hayo ya hisia huwatoka wanaume wengi tu hata kama kwa kujificha ili kuficha 'aibu'... Ni suala la kisaikolojia zaidi kuliko uwezo wa kibabe wa kiume. Nina uhakika, Mc Pilipili anaweza kupigwa fimbo 20 au zaidi na asilie... Lakini machozi yatokanayo na nguvu ya hisia hayazuiliki.
Kitu ambacho siungi mkono, ni suala la kumpigia magoti mwanamke wakati upo katika hatua muhimu ya kuchukua uongozi wa familia yako kama baba, ni kuigaiga tu.

Kama hujanielewa unaongozwa na ushabiki ama wivu kumuhukumu Mc Pilipili.
 
Huwezi kuwa free kwa 100% sababu maisha unayoyakataa ndiyo aliyaishi Yesu/Mungu pa1 na Manabii wake.

Unajua Kwanini ni lazima upitie hayo?

Ayubu alimkosea nini Mungu hadi anapitia changamoto ambazo ukipewa ww ss hv kwa imani yako haba hutaweza kuendelea kumuamini Mungu na kumtegemea katika kila jambo?

Yote niliyoyataja hapo juu kuhusu changamoto ni faida kubwa sana kwako ww Binadamu uweze kumshirikisha Mungu na kumtegemea katika kila jambo.

Kumbuka laiti ungekuwa unapata kila unachokitaka basi pasingekuwa na haja kabisa ya kumtafuta Mungu Muumbaji wa vitu vyote vilivyomo nchini na mbinguni kwa kumuabudu katika roho na kweli.

Try to be dynamic so as to accept truthful.
Nadhani mimi niko uhuru, sijui wewe, maana kwenye hiyo njaa, magonjwa, ajali (na yote uliyoweka hapo), I am exempt, nayasikia tu kwenu. I was once a victim though, ila tangu nikatae kung'ang'ania ujinga (maana na me nilikua kama wewe) I've been completely free.
Good luck

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu huyo demu ni mzinzi tangu kitambo,,chuo nilikua nae st joseph yaani amepigika vya kutosha na wana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa huyo fala alikua anajiliza nini? Nikajua analia machozi ya furaha kwa kukuta kitu mnato/bikra...

Mkuu nisaidie namba za huyo dada, kuna mawaidha nataka nimpatie...
 
Back
Top Bottom