Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Acha kutetea upumbavu usio na faida, huu ujinga wenu ndiyomaana kila kukicha mnaleta nyuzi za kudharauliwa na Wake zenu hapa JF.

Baba na Mama zako nao walifanya huu upumbavu, mbona walidumu sana katika ndoa kuliko sisi tunaoigaiga kila aina ya ujinga wa kisasa?

Jiamini mtoto wa kiume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikuwa wanamtosa sababu nasikia jamaa ni aina ya Wale Wanaume wenye viherehere. Wanaongea sana. Na Mwanaume unapaswa kuwa na Akiba ya Maneno. Sasa unaambiwa akiwa na Demu halafu akakutana na Marafiki wa huyo Demu ni yule Mwanaume asiyekuwa na Haiba. Anaongea anapitiliza. Aliwahi kudate na Rafiki yangu Mmoja hivi siwezi kumtaja hapa. Alimwacha kwa mambo yake hayohayo. Atofautishi Mahusiano na Comedy zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siamini kama kuna mwanaume boya kisi hicho,
Naamini alikua anaigiza tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Punguwani tu hilo, kuigiza gani hadi katika mambo ya msingi kama hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu kijana si anatoka kwny kabila la kina Matonya wala msishangae kufanya hivi
 
Hata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.
inasaidia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina mengi yakukushauri mkuu ila ngoja nikuache tuu.

Cha msingi usisahau, kumuabudu Mungu ni rohoni sio mwilini

Sent using Jamii Forums mobile app
MWILI, NAFSI NA ROHO VYOTE HUWA PA1 KUKAMILISHA UHAI ISIPOKUWA BINADAMU AKIFA TU NDIPO HIVYO VITU HUTENGANA.

N. B:

USIKUBALI HUO UJINGA WA KIPAGANI TOKA NCHI ZA MAGHARIBI.

NAKUHAKIKISHIA HUO UPUMBAVU SITAKUJA KUUFANYA KAMWE SABABU HATA TUKIWA TUNAKOJOA NI LAZIMA MWANAMKE ACHUCHUMAE/AINAME/AWE CHINI YANGU MWANAUME NA NI ISHARA TOSHA KUWA NI YUPI ALIYELAANIWA KWA KUAGIZWA ATAPASWA KUWA CHINI YA MWANAUME NA KUTAWALIWA SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wote mnaosupport iyo kulia Lia na kupiga magoti et emotional nini nini sijui mbwa tu nyie mvae na pedi sasa tujue moja. Vipo vitu vya mwanaume kulia au kupig magoti lakini sio haya mambo yakisengerembwendembindembunya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha haha haha hahaaaaaaa..... Wanaume wa Dar wanazidi kuongezeka kila kukicha[emoji23][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa hii clip yake nimeshindwa kuirudia hadi najisikia aibu kuitazama tena,kafanya kitendo cha kilofa nahisi ana chembechembe za mwanaume wa Dar.

Eti mwanaume rijali unamvish pete mpenzi wako huku unajiliza huo ni udada,yaani ni balaa sitamani kijana mwingine aje afanye kitu kama hiki.

ILA LABDA HUENDA JAMAA KAMKUTA MWANAMKE NA BIKRA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MGOGO KADATA

Beautiful ones are not yet born
 
MWILI, NAFSI NA ROHO VYOTE HUWA PA1 KUKAMILISHA UHAI ISIPOKUWA BINADAMU AKIFA TU NDIPO HIVYO VITU HUTENGANA.

N. B:

USIKUBALI HUO UJINGA WA KIPAGANI TOKA NCHI ZA MAGHARIBI.

NAKUHAKIKISHIA HUO UPUMBAVU SITAKUJA KUUFANYA KAMWE SABABU HATA TUKIWA TUNAKOJOA NI LAZIMA MWANAMKE ACHUCHUMAE/AINAME/AWE CHINI YANGU MWANAUME NA NI ISHARA TOSHA KUWA NI YUPI ALIYELAANIWA KWA KUAGIZWA ATAPASWA KUWA CHINI YA MWANAUME NA KUTAWALIWA SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo uliandika kama mtu anayefahamu maandiko ndomana nikaona nikukumbushe kidogo, ila kwa haya uliyoandika saiv Duuhh..!!
Eti mwanamke amelaaniwa kuwa chini ndomana anachuchumaa kukojoa..!!!

Ubaki salama mkuu, me ngoja niende.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom