Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Kuna watu wanatafsiri ulijali kwa tafsiri zakijinga sana.

Hivi uanaume wangu au ulijali wangu unaathirika vp kama me ntapiga goti moja kumvisha pete mchumba wangu?

Hawa ndo wale utawaskia wanajiita wagumu, na mara nyingi ni maisha ndo huwa yanawapa mentality hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
term ulijali ukiitafsiri kwa maana ya kudinda utafeli...tumia akili kuwaza
 
Hata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.
hahahaa umenikumbusha mustachi wa maafande wa kwenye gazeti la Sani enzi zile
 
Ukimpigia mwanamke magoti. Yeye atakuwa kichwa siku zote, wewe mkia
Mkuu ukiona umekua mkia kwenye mahusiano yako jua tu umefeli kukaa kwenye position yako.

Kipimo chakua kichwa/lijali kwenye familia hakipo kwenye kujifanya kauzu. Hata nikimbeba mgongoni mke wangu she'll always know who I am in a family.

We ar not becoming men by being cold au kua makauzu. If u know ur roles kwenye familia na ukatimiza ipasavyo wewe ni rijali bila hata kuambiwa na mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hzo emotions ndo huwa burry mapema kuliko wanawake. Kuwa mwanaume hakukupi umwamba eti usionyeshe hisia zako huo ni udhaifu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndo mnatuua mapema kwa upuuzi wenu,hamridhiki wala hamna jema,unafikiri hata tulikia ndo itasaidia kwamba mtaacha mambo yenu? nyie hata tuwavishe pete tukiwabl uchi mtaendelea kutuua tu
 
Mkuu ukiona umekua mkia kwenye mahusiano yako jua tu umefeli kukaa kwenye position yako.

Kipimo chakua kichwa/lijali kwenye familia hakipo kwenye kujifanya kauzu. Hata nikimbeba mgongoni mke wangu she'll always know who I am in a family.

We ar not becoming men by being cold au kua makauzu. If u know ur roles kwenye familia na ukatimiza ipasavyo wewe ni rijali bila hata kuambiwa na mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
@Madimba jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wachache sana Wana uelewa mpana ka wako. Wa fikiria ukauzu ndo urijali
Mkuu ukiona umekua mkia kwenye mahusiano yako jua tu umefeli kukaa kwenye position yako.

Kipimo chakua kichwa/lijali kwenye familia hakipo kwenye kujifanya kauzu. Hata nikimbeba mgongoni mke wangu she'll always know who I am in a family.

We ar not becoming men by being cold au kua makauzu. If u know ur roles kwenye familia na ukatimiza ipasavyo wewe ni rijali bila hata kuambiwa na mtu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom