Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Aisee HAPANA kwakweli, hiyo ni bonge la dhambi nakukatalia kabisa kabisa kuwa huo ni udhaifu wa kiwango cha juu.

IMPACT KWA BINADAMU MPITA NJIA HUYU HUYU AMBAYE HUJUI SIKU SAA WALA SEKUNDE GANI ATAWEZA;

KUDHURIKA NA MUDA/KUPITWA NA WAKATI/KUZEEKA,

KUDHURIKA NA MAJERAHA/KUVUNJIKA NA KUWA KILEMA TOKANA NA AJALI,

KUDHURIKA NA MAGONJWA HADI KUDHOOFIKA/TB/KANSA/KISUKARI/BP N. K, KUPOTEA UHAI WAKE/KUFA.

"ALAANIWE ANAYEMTEGEMEA MWANADAMU BALI AMEBARIKIWA ANAYEMTEGEMEA BWANA KATIKA KILA JAMBO."

"MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYOIPENDA NAFSI YAKO" INAMAANA USIZIDISHE UPENDO WAKO KWA BINADAMU KULIKO MUNGU ANAYEKUPATIA UHAI SABABU UTACHOKIPENDA SANA KULIKO WW BINAFSI UNAVYOJIPENDA KITAKUCHUKULIA NAFASI KUBWA SANA KATIKA MAISHA YAKO KUKITUMIKIA KULIKO KUMKUMBUKA MUNGU WAKO KWA MAOMBI NA SALA.

"USIABUDU SANAMU" NI PA1 NA KUTORUHUSU KUKIHUSUDU KITU, KIUMBE CHOCHOTE NA KUKITHAMINI SANA KULIKO MUUMBA WAKO, KAMA VILE FEDHA, MALI, MAPENZI, ANASA, MADARAKA, N. K.

Hivyo basi, MC Pilipili katudhalilisha sana Wanaume na kumkufuru Mungu wake aliyempatia mamlaka ya yeye(Mwanaume/Mume) kuwa kichwa cha familia/kiongozi/mtawala katika ndoa kwa kumlilia Mwanamke na kupiga goti mbele yake nakati ni Mungu pekee ndiye astahiliye kupigiwa magoti na Binadamu yeyote na Malaika duniani na mbinguni.

Don't be quick to judge. You never know.

Hizi nyoyo zetu tunazotembea nazo bwana, acha zijifiche tu zimebeba mengi.

Huwezi jua huyo mdada ana impact gani katika maisha yake. Maybe its a dream come true, maybe she saved his life.... maybe he never thought he would ever be loved again after previous breakup.

Let him cry his heart out. Whatever is in his heart, his Lord understands better.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dada kamkubali nakupenda na kumu support mana Mc pilipili wadada walikuwa Wana mtosa na kumkimbia plus dharau. I'm happy for him aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa wanamtosa sababu wakati wake wa kuoa ulikuwa bado haujafika, kumbuka kila kitu chini ya jua hufanyika kwa sababu maalum za kimbingu.
MUHUBIRI 3:1-15.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu akasema na tufanye mtu kwa mfano wetu,ukafinyangwa udongo na kupuliziwa pumzi akatokea Adam,wakasema tufanye msaidizi ndipo ukachomolewa ubavu wa kuume mwa Adam akaumbwa Eva....Men are always special no matter umefanyiwa nini but you have to live with uspecial wako ulopewa zawadi na Mungu.....but pia yatupasa kumshukuru mwanamke alokufanyia mema but sio kumlilia hadharani
Nimesoma biblia na kurudia sijaona sehemu wameandika Mungu akatatoa ubavu wa kuume, ww umetoa biblia gani ninachojua biblia haikutaja upande gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee HAPANA kwakweli, hiyo ni bonge la dhambi nakukatalia kabisa kabisa kuwa huo ni udhaifu wa kiwango cha juu.

IMPACT KWA BINADAMU MPITA NJIA HUYU HUYU AMBAYE HUJUI SIKU SAA WALA SEKUNDE GANI ATAWEZA;

KUDHURIKA NA MUDA/KUPITWA NA WAKATI/KUZEEKA,

KUDHURIKA NA MAJERAHA/KUVUNJIKA NA KUWA KILEMA TOKANA NA AJALI,

KUDHURIKA NA MAGONJWA HADI KUDHOOFIKA/TB/KANSA/KISUKARI/BP N. K, KUPOTEA UHAI WAKE/KUFA.

"ALAANIWE ANAYEMTEGEMEA MWANADAMU BALI AMEBARIKIWA ANAYEMTEGEMEA BWANA KATIKA KILA JAMBO."

"MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYOIPENDA NAFSI YAKO" INAMAANA USIZIDISHE UPENDO WAKO KWA BINADAMU KULIKO MUNGU ANAYEKUPATIA UHAI SABABU UTACHOKIPENDA SANA KULIKO WW BINAFSI UNAVYOJIPENDA KITAKUCHUKULIA NAFASI KUBWA SANA KATIKA MAISHA YAKO KUKITUMIKIA KULIKO KUMKUMBUKA MUNGU WAKO KWA MAOMBI NA SALA.

"USIABUDU SANAMU" NI PA1 NA KUTORUHUSU KUKIHUSUDU KITU, KIUMBE CHOCHOTE NA KUKITHAMINI SANA KULIKO MUUMBA WAKO, KAMA VILE FEDHA, MALI, MAPENZI, ANASA, MADARAKA, N. K.

Hivyo basi, MC Pilipili katudhalilisha sana Wanaume na kumkufuru Mungu wake aliyempatia mamlaka ya yeye(Mwanaume/Mume) kuwa kichwa cha familia/kiongozi/mtawala katika ndoa kwa kumlilia Mwanamke na kupiga goti mbele yake nakati ni Mungu pekee ndiye astahiliye kupigiwa magoti na Binadamu yeyote na Malaika duniani na mbinguni.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mengi yakukushauri mkuu ila ngoja nikuache tuu.

Cha msingi usisahau, kumuabudu Mungu ni rohoni sio mwilini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Pep
So ulitaka akamlilie chumbani? Afu mdada awaze nini labda?

He is genuine. He let his feelings flow when they rose.

Let him be. Usimpangie what makes him a man and what you think makes him a lesser man.
Hata kama MUNGU katuagiza Binadamu tuwe na KIASI katika kila jambo.

MC Pilipili ni Mjinga sana kupindukia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jidanganye vivyo hivyo eti kutoa machozi ndiyo hisia za upendo wa dhati.

Moyo wa mtu ni giza ndugu yangu.

Wangapi hulia sana wakimwaga machozi ya damu kwa kujutia makosa waliyotenda kwa ndugu, rafiki na jamaa zao lkn hatimaye baadaye tena hurudia makosa yale yale?

"WAJINGA NDIYO WALIWAO"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom