Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaa binamu jamaniHyo kofia sasa, kama wapishi za meli ya wagiriki, mxiew hovyo na Msura wake kama andazi la shilole
Sent from my iPhone using JamiiForums
Don't be quick to judge. You never know.
Hizi nyoyo zetu tunazotembea nazo bwana, acha zijifiche tu zimebeba mengi.
Huwezi jua huyo mdada ana impact gani katika maisha yake. Maybe its a dream come true, maybe she saved his life.... maybe he never thought he would ever be loved again after previous breakup.
Let him cry his heart out. Whatever is in his heart, his Lord understands better.
Not a sign of weakness perse ila ni sign ya stupidity.Just so you know it is not a sign of weakness.
Walikuwa wanamtosa sababu wakati wake wa kuoa ulikuwa bado haujafika, kumbuka kila kitu chini ya jua hufanyika kwa sababu maalum za kimbingu.Huyu dada kamkubali nakupenda na kumu support mana Mc pilipili wadada walikuwa Wana mtosa na kumkimbia plus dharau. I'm happy for him aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
YANI NI UJINGA WA SGRHawa wanaume wa Dar sijui wana nini kwenye vichwa vyao.
Yaani hapo hata papuchi itabidi uwe unalia ndo unapewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma biblia na kurudia sijaona sehemu wameandika Mungu akatatoa ubavu wa kuume, ww umetoa biblia gani ninachojua biblia haikutaja upande ganiMungu akasema na tufanye mtu kwa mfano wetu,ukafinyangwa udongo na kupuliziwa pumzi akatokea Adam,wakasema tufanye msaidizi ndipo ukachomolewa ubavu wa kuume mwa Adam akaumbwa Eva....Men are always special no matter umefanyiwa nini but you have to live with uspecial wako ulopewa zawadi na Mungu.....but pia yatupasa kumshukuru mwanamke alokufanyia mema but sio kumlilia hadharani
Mimi wyf alipiga yeye!! Hahaha , eti akaniambia "piga magoti basi" , yani mbele ya wazazi wa pande zote mbili duh;;; nikamwambia "utapiga wewe, Fara wewe" [emoji16]
Nina mengi yakukushauri mkuu ila ngoja nikuache tuu.Aisee HAPANA kwakweli, hiyo ni bonge la dhambi nakukatalia kabisa kabisa kuwa huo ni udhaifu wa kiwango cha juu.
IMPACT KWA BINADAMU MPITA NJIA HUYU HUYU AMBAYE HUJUI SIKU SAA WALA SEKUNDE GANI ATAWEZA;
KUDHURIKA NA MUDA/KUPITWA NA WAKATI/KUZEEKA,
KUDHURIKA NA MAJERAHA/KUVUNJIKA NA KUWA KILEMA TOKANA NA AJALI,
KUDHURIKA NA MAGONJWA HADI KUDHOOFIKA/TB/KANSA/KISUKARI/BP N. K, KUPOTEA UHAI WAKE/KUFA.
"ALAANIWE ANAYEMTEGEMEA MWANADAMU BALI AMEBARIKIWA ANAYEMTEGEMEA BWANA KATIKA KILA JAMBO."
"MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYOIPENDA NAFSI YAKO" INAMAANA USIZIDISHE UPENDO WAKO KWA BINADAMU KULIKO MUNGU ANAYEKUPATIA UHAI SABABU UTACHOKIPENDA SANA KULIKO WW BINAFSI UNAVYOJIPENDA KITAKUCHUKULIA NAFASI KUBWA SANA KATIKA MAISHA YAKO KUKITUMIKIA KULIKO KUMKUMBUKA MUNGU WAKO KWA MAOMBI NA SALA.
"USIABUDU SANAMU" NI PA1 NA KUTORUHUSU KUKIHUSUDU KITU, KIUMBE CHOCHOTE NA KUKITHAMINI SANA KULIKO MUUMBA WAKO, KAMA VILE FEDHA, MALI, MAPENZI, ANASA, MADARAKA, N. K.
Hivyo basi, MC Pilipili katudhalilisha sana Wanaume na kumkufuru Mungu wake aliyempatia mamlaka ya yeye(Mwanaume/Mume) kuwa kichwa cha familia/kiongozi/mtawala katika ndoa kwa kumlilia Mwanamke na kupiga goti mbele yake nakati ni Mungu pekee ndiye astahiliye kupigiwa magoti na Binadamu yeyote na Malaika duniani na mbinguni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Just so you know it is not a sign of weakness.
Inyeshe wapi mvua nakati kizazi chetu chenyewe kimejaa laana teleNdio mana mvua hazinyeshi kama inavyotakiwa
Hata kama MUNGU katuagiza Binadamu tuwe na KIASI katika kila jambo.So ulitaka akamlilie chumbani? Afu mdada awaze nini labda?
He is genuine. He let his feelings flow when they rose.
Let him be. Usimpangie what makes him a man and what you think makes him a lesser man.
Inaitwa Idle, idol ni kitu kingine kabisaKiukweli, that was not a good scene, kitendo cha kumweka mwanamke idol hadi umalize kulia mbele za watu.