Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Mi namkataa hapo hapoHivi angekuwa ndo wa kwangu aibu hii ningeificha wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi namkataa hapo hapoHivi angekuwa ndo wa kwangu aibu hii ningeificha wapi
Unaumwa ww nan apige magot blalifuuAcha wivu mleta mada wewe ka hukulia ni ushamba wako. Mimi baby shamwambia kabisa apige goti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.Mimi wyf alipiga yeye!! Hahaha , eti akaniambia "piga magoti basi" , yani mbele ya wazazi wa pande zote mbili duh;;; nikamwambia "utapiga wewe, Fara wewe" 😁
Watu wamebanduana miaka yote hiyo Leo unalia nini Sasa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Duniani kuna mambo kweli..
Atakuwa boya huyo kama alikupigia magoti, na wewe ulikua unamwambi apige goti ili iweje?
Watakatifu wa jamiiforum 🤣🤣🤣🤣kuficha hisia mwisho unakufa presha.
Hata mimi nashangaa yaani aogope kulia, kupiga magoti mbele ya sweet wake kisa ni mwanaume Jamaniiii MAPENZI HAYANA KOMANDO.Kuna watu wanatafsiri ulijali kwa tafsiri zakijinga sana.
Hivi uanaume wangu au ulijali wangu unaathirika vp kama me ntapiga goti moja kumvisha pete mchumba wangu?
Hawa ndo wale utawaskia wanajiita wagumu, na mara nyingi ni maisha ndo huwa yanawapa mentality hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app