Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Hongera Mc pilipili wanawake wengi walikutosa but mrembo cute Mena ka kukubali wapo watakaokuponda jinsi ulivo propose Kuwa ni udhaifu hyo ni mentality ya kimfumo dume, cute Mena ni malkia wako na wewe ka binadamu una hisia usiogope kuzionesha. All the best kwenye ndoa yako

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa nini wamtose?
 
Don't be quick to judge. You never know.

Hizi nyoyo zetu tunazotembea nazo bwana, acha zijifiche tu zimebeba mengi.

Huwezi jua huyo mdada ana impact gani katika maisha yake. Maybe its a dream come true, maybe she saved his life.... maybe he never thought he would ever be loved again after previous breakup.

Let him cry his heart out. Whatever is in his heart, his Lord understands better.
Mungu akasema na tufanye mtu kwa mfano wetu,ukafinyangwa udongo na kupuliziwa pumzi akatokea Adam,wakasema tufanye msaidizi ndipo ukachomolewa ubavu wa kuume mwa Adam akaumbwa Eva....Men are always special no matter umefanyiwa nini but you have to live with uspecial wako ulopewa zawadi na Mungu.....but pia yatupasa kumshukuru mwanamke alokufanyia mema but sio kumlilia hadharani
 
Mungu akasema na tufanye mtu kwa mfano wetu,ukafinyangwa udongo na kupuliziwa pumzi akatokea Adam,wakasema tufanye msaidizi ndipo ukachomolewa ubavu wa kuume mwa Adam akaumbwa Eva....Men are always special no matter umefanyiwa nini but you have to live with uspecial wako ulopewa zawadi na Mungu.....but pia yatupasa kumshukuru mwanamke alokufanyia mema but sio kumlilia hadharani

Just so you know it is not a sign of weakness.
 
Mkuu una akili sanaaA
Hata mimi kuna demu siku nikimuoa nitalia mpaka nitoe kamasi

Sent using Jamii Forums mobile app

Lia tu ndugu yangu.

Let your heart free.

Hata ukimuwaza ama akikatiza ukiskia yanakulenga we mwaga tuuuu na yowe juu.

Am kidding my bro. But I mean it. Don't hold these feelings inside yet they reflect your true feelings.
 
Nmeona hii Video nkashangaa sana. Huyu kijana mvulana analia kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake? Ametokea mkoa gani fala huyu? Mwishowe sisi wanaume wa mjini tunaonekana nasi ni mauza uza kama huyu fala.

Mwanaume huwezi lia hivi... Unalia kwa kwikwi mpaka mwanamke anakubembeleza? Sisi miaka yetu huyu angetengwa na jamii.mwanaume ilikuwa ni aibu kulia hadharani.

Unaliaje mbele mtu ambaye atakuwa mkeo na watu wapo? Unalia kwa kwikwi hivi kama huamini?mi nlizoea kuona wanawake wanalia hivi si wanaume.huyu jamaa ana tabia za kishoga bila shaka.
 

Attachments

Huyu Jamaa anatumia nguvu nyingi sana kuchekesha. Ila siyo Mchekeshaji( Kila nikitazama Clip zake uwa naishia tu kusonya). Kwanza anaongea haraka. Anavyoongea havichekeshi. Tabu tupu. Leo anamvisha Mtu Pete anajiliza. Kiki za mjini hizi!!!Nimeamini hazipatikani kirahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom