castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,528
- 2,723
nimeshangazwa sana na hilo swala hamna cha kulia pale mda wote unao mlaga kwanini usilie
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikuwa wanamtosa sababu nasikia jamaa ni aina ya Wale Wanaume wenye viherehere. Wanaongea sana. Na Mwanaume unapaswa kuwa na Akiba ya Maneno. Sasa unaambiwa akiwa na Demu halafu akakutana na Marafiki wa huyo Demu ni yule Mwanaume asiyekuwa na Haiba. Anaongea anapitiliza. Aliwahi kudate na Rafiki yangu Mmoja hivi siwezi kumtaja hapa. Alimwacha kwa mambo yake hayohayo. Atofautishi Mahusiano na Comedy zake.Huyu dada kamkubali nakupenda na kumu support mana Mc pilipili wadada walikuwa Wana mtosa na kumkimbia plus dharau. I'm happy for him aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una akili sanaaA
Hata mimi kuna demu siku nikimuoa nitalia mpaka nitoe kamasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo sisi hatumtambui mbona !!! Ni wakuja huyo tena nasikia anatokea kijijini kwenu
Nimekuelewa sana we ni mwanamke wa aina gani na unapenda nini....have a gud nightSo ulitaka akamlilie chumbani? Afu mdada awaze nini labda?
He is genuine. He let his feelings flow when they rose.
Let him be. Usimoangie qhat makes hima a man and what you think makes him a lesser man.
Maboya kama hawa ndiyo wanaotusababishia wanaume wote tuonekane mazuzu duuh...
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa wanamtosa sababu nasikia jamaa ni aina ya Wale Wanaume wenye viherehere. Wanaongea sana. Na Mwanaume unapaswa kuwa na Akiba ya Maneno. Sasa unaambiwa akiwa na Demu halafu akakutana na Marafiki wa huyo Demu ni yule Mwanaume asiyekuwa na Haiba. Anaongea anapitiliza. Aliwahi kudate na Rafiki yangu Mmoja hivi siwezi kumtaja hapa. Alimwacha kwa mambo yake hayohayo. Atofautishi Mahusiano na Comedy zake.
Sent using Jamii Forums mobile app