Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Sifa moja kubwa kama mwanaume ni kuficha emotions zako haiwezi umetokea msiba home we kama kichwa cha familia kupanga kutuliza akili inakuaje ndo uko mstari wa mbele kumwaga michozi
Huwezi ukalia unavyo propose binti hiyo inaonesha how weak unaenda kua kwenye ndoa yako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kweli sio comedian at all
Huyu Jamaa anatumia nguvu nyingi sana kuchekesha. Ila siyo Mchekeshaji( Kila nikitazama Clip zake uwa naishia tu kusonya). Kwanza anaongea haraka. Anavyoongea havichekeshi. Tabu tupu. Leo anamvisha Mtu Pete anajiliza. Kiki za mjini hizi!!!Nimeamini hazipatikani kirahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It's not about mimi au cute Kuwa mwanaume hakukufanyi usiwe na hisia. Nyie wanaume mnaojificha ndio hufa siku si zenu mkiogopa kufanya mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada unamoyo mwepesi wa kudanganywa.. wanauame tunaweza fanya chochote kukurishisha lakini sio kutoka moyoni.

Maigizo tuu hayo.. chozi linakauka dk.1, mwanaume akifikia kuwa na hisia za kulia ni shida.. 5 hrs bado chozi linashuka tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaa
Hata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaaemekana wanaume wote waliopiga magoti wanaendeshwa na wake zao.. hawana sauti.. afadhali upige goti bila kulia.. unalia kabisa na mchozi..
Kuna watu wanatafsiri ulijali kwa tafsiri zakijinga sana.

Hivi uanaume wangu au ulijali wangu unaathirika vp kama me ntapiga goti moja kumvisha pete mchumba wangu?

Hawa ndo wale utawaskia wanajiita wagumu, na mara nyingi ni maisha ndo huwa yanawapa mentality hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom