suleym
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,961
- 1,209
Hisia sahihi za mtu huwezi kuzijua, ni kitu kipo ndani yake. Hisia si za mapenzi tu, hisia zipo za namna nyingi... Amini hata mchumba wake atakuwa alimuuliza hapo baadae wakiwa faragha, wame-relax... "...tell me darling, what happened, le' me know why you criiied!!.." Jibu kwa swali hili laweza lisieleweke kirahisi, hivyo dawa yake ni 'kupiga kimya' tu. Mc Pilipili atakuwa zwazwa kama alilia 'mapenzi' tu kwa mchumba wake.
Lakini kama alikumbuka kwa mfano, kauli fulani aliyowahi kupewa na mamake kama wosia, ama kejeri iliyomkwaza kutoka mpezi wake wa zamani aliyemgharimia kisha akamtosa kwa dharau...au jambo jingine ambalo kimsingi analifahamu na kulielewa yeye mwenyewe, nitamuunga mkono. And it's healthy, by the way.
Wengi wetu tunapenda kuwa watoa hukumu kwa wenzetu, sioni kama ni sahihi.
Huyo jamaa kachemka babu, Kaonesha ushamba utaliaje vile, haki nimeona aibu mm.