Aiba
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 2,047
- 3,912
[emoji23] ushasema ni faragha babu faragha ni tofauti na hadhara kupiga goti c shida sasa unalia kwamba umepata bahati ya kuwa naye au vp wakulia ni mwanamke maana kuolewa kwa sasa imekuwa bahati.Yaani sisi watu wa ajabu sana. Unaweza kuta huyu aliyeanzisha hii mada pia huwa analia na kupiga magoti akiwa faragha na mwenzi wake Ila hapa kwa vile yupo nyuma ya keyboard anajifanya yeye mgumu. Sasa tunamsema Pilipili kwa vile tumemuona vipi kuhusu sisi tusiyewahi kuonwa. Kulia si tatizo kwani kila mtu anareaction zake kwa kila jambo linalomtoke katika maisha hivyo unavyomuona pilipili boya pia wengine wanakuona boya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wanaenda kwa waganga kutafuta pesa, wanawake wanaenda kwa waganga kutafuta wame angalia tofauti iyoo
Sent using Jamii Forums mobile app