Wewe hebu acha ujinga Mwanza hatuna mazuzu kama hivyo. Kwanza hatuendagi kuvisha pete wanawake sisi. Sisi tunapeleka ng'ombe tu. Pete peleka huko Dar kwa wanaume wa Dar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hebu acha ujinga Mwanza hatuna mazuzu kama hivyo. Kwanza hatuendagi kuvisha pete wanawake sisi. Sisi tunapeleka ng'ombe tu. Pete peleka huko Dar kwa wanaume wa Dar.
Mwanaume wa dar katika ubora wakeHili jambo la mwanaume kupiga goti wakati wa kumvalisha pete mchumba naona linazidi kukomaa,si utamaduni wetu japo sio mbaya sana kwani ni effects za globalization kwenye muingiliano wa kiutamaduni na wazungu/waarabu/wachina na vile tunasema "strong culture absorbs weak culture" na hii inachangiwa sana na nguvu ya kiuchumi.
Tuyaache hayo,leo Mc wa taifa Pilipili kama anavyojiita mwenyewe kamvisha pete mdada mrembo sana huko Boko Dsm hongera kwake but concern yangu kubwa ni kitendo cha yeye Pilipili kama Mwanaume kulia sana wakati kapiga goti mbele ya binti halaf binti anaonekana hana hata chembe ya hofu na kuguswa na kilio cha pilipili,huu ni udhaifu ambao kama.mwanaume lijali hakika hupaswi kuuonyesha,that is a big point of weaknes,hata kama umewahi kuumizwa sana kwenye mapenzi jitahidi usitoe chozi mbele ya mwanamke ambaye si mama yako,hii itakusaidia sana hata ukiwa kwenye ndoa ukitoa maamuzi yanakua ya kiume kweli kweli but hii ya kulia lia si dalili njema sana,kwa anayewajua vizuri wanawake atakua amenielewa.
By the way hongera sana Pilipili kwa kupata mchumbaView attachment 987138View attachment 987135
Mchekeshaji maarufu Bongo, MC Pilipili jioni ya leo amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake (Mke mtarajiwa) Philomena Thadey, nyumbani kwa Wazazi wa mwanamke maeneo ya Boko (Tegeta) jijini DSM, sherehe hiyo imehudhuriwa na watu mbalimbali wa Serikali na taasisi zisizo za kiserikali.
Kabisa yani siku Mkewe akimwomba kitu "Mme wangu naomba uninunulie Prado Land Cruiser" utashangaa ananunua hata kama hana uwezo yuko radhi akakope hela ambayo hatakuwa na uwezo nayo kulipa ilimradi tu amridhishe mkewe.Bwege kweli kweli hili. Hawa ndio wanao pandwa vichwani na wake zao.
Udhaifu No. 01, kaisha tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mizezeta hii mianaume ya dar,aibu nineona mimi kwa hiyo pichaHawa wanaume wa Dar sijui wana nini kwenye vichwa vyao.
Yaani hapo hata papuchi itabidi uwe unalia ndo unapewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umtenge kwani amekuomba pesa ya kula?Haka kajamaa kama kuna watu wanakafaham leo hii Wanaume wa Humu ndani Tupitishe Muswada/Azimio tukatenge haka kajamaa kanakodharirisha wanaume halisi hivi.
Naomba nilete huu mswada kwenu tuangalie kama akidi itatimia tukatenge kapumbuvuu kabisa haka. Kana mpa dada wa watu kazi ya kukabembeleza. Naye huyu dada anapatikana wap nimcheck?
Hivi mkuu hujaona vizuri hiyo clip au unajitoa ufahamu, jamaa kapiga kwikwi kama zote, domo limejikunja uso umejikusanya unasema hajalia, yani pale angepigwa busu kabla hajavika pete angegalagala chini au angezimia kabisa we angalia vizuri usipotoshe uma, kaanza taratiibu kafinya finya macho, then domo likajikunja, then huku anasikitika haamini anachokiona mbele yake baadae fulu mafuriko we huoni au unakataa kuona makusudi, au ulilia mzee baba na ww ulivyoona hiyo video clipKasumba ya wachangiaji jf bhana ni kufuata mkumbo wa wachangiaji wa kwanza kwenye uzi, kama wachangiaji wa mwanzo wakiwa na mtazamo hasi basi hata wanaofuatia huendelezea mkumbo uleule na iwapo wachangiaji wa mwanzo wakiwa chanya wengi wa wanaofuata huwa hivyo hivyo.
Nina hakika wapo waliochangia bila hata kuiona video husika kwa kuwa hawana MB za kutosha ila mkumbo tu...
Wapo ambao ni wanaume na wapo dar ila huji-position mikoani kwa muda tu hasa pale mada inapohusu udhaifu wa kinachoitwa "wanaume wa dar" na kisha hujirudisha Dar wakati wa kuelezea "ushamba wa watu wa mikoani (nje ya dar)". Hawa ni kama popo-watu.
Mimi nakataa kabisa, Mc Pilipili hakulia bali machozi ndiyo yalimtoka machoni kutokana na hisia kali anazozijua yeye mwenyewe! Ni machozi yanayobemba ujumbe mkubwa kuliko kile kinachooneka mbele ya macho ya watazamaji... Machozi ya namna hiyo hayatawaliki, na kila unapojaribu kuyatawala, nayo huongezeka mara dufu.
Sio kweli kwamba wanaume hawatokwi na machozi, hayo ya hisia huwatoka wanaume wengi tu hata kama kwa kujificha ili kuficha 'aibu'... Ni suala la kisaikolojia zaidi kuliko uwezo wa kibabe wa kiume. Nina uhakika, Mc Pilipili anaweza kupigwa fimbo 20 au zaidi na asilie... Lakini machozi yatokanayo na nguvu ya hisia hayazuiliki.
Kitu ambacho siungi mkono, ni suala la kumpigia magoti mwanamke wakati upo katika hatua muhimu ya kuchukua uongozi wa familia yako kama baba, ni kuigaiga tu.
Kama hujanielewa unaongozwa na ushabiki ama wivu kumuhukumu Mc Pilipili.
Kissa cha kumkimbia nafiri ni huo udhaifu wa kulia lia mbele yao wakaona kutakuwa hakuna mwanaume ndani. Sasa kwa picha hiyo mwanamke ndio anaonekana ndio mwanaume. Aibu nimeona mimiKisa cha kumkimbia ilikua ni nini?
Haahahahaaa nimecheka sana.Mimi wyf alipiga yeye!! Hahaha , eti akaniambia "piga magoti basi" , yani mbele ya wazazi wa pande zote mbili duh;;; nikamwambia "utapiga wewe, Fara wewe" 😁
We kiazi ndo umeamua kuja kunisengenya humu eee.....Mimi wyf alipiga yeye!! Hahaha , eti akaniambia "piga magoti basi" , yani mbele ya wazazi wa pande zote mbili duh;;; nikamwambia "utapiga wewe, Fara wewe" [emoji16]
Mkuu umehukumu kabla hujahukumiwa, ila nakusapoti kuwa mwanaume kulialia mbele ya wakwe ni udhaifu wa hali ya juu, baba mkwe anakuangalia unavyojiliza, baba yako anakuangalia unavyojiliza sijui wanakuonaje km baba wa familia anayefata, mfano sisi kabila yetu ukioa siku ya harusi baba yako mzazi anakuvesha kanzu unakaribishwa rasmi katika jukwaa la wanaume sasa siwezi kuelewa mila za kwao wanafanyaje ila hainiingii akilini wazee watamheshimu vipi kijana wakujilizaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Mc Ni Debe Tupu Haliachi KuvumaSiku huyu dada akimchanganya huyu jamaa tarajieni kuona mtu kajiua au kaua mtu.
Jamaa kama anaona kapata zari la mentali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata awe mzuri malaika,ni chenga kufanya alichofanya huyo mwenzenu wa dar. Mwanamke amebaki nayo amebaki nayo moyoni tu. Ila amenote jambo la kumsaidia yeye ktk hiyo ndoa. Ksbb tayari kashajua udhaifu wa jamaaIla mchumba ana hadhi ya kupigiwa magoti.Big up kwa Pilipili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umezidisha chumviHata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.
MC Pilipili ni Comedian mkuu kwahiyo mchukulie hivyo hivyo!!Huyu jamaa hii clip yake nimeshindwa kuirudia hadi najisikia aibu kuitazama tena,kafanya kitendo cha kilofa nahisi ana chembechembe za mwanaume wa Dar.
Eti mwanaume rijali unamvish pete mpenzi wako huku unajiliza huo ni udada,yaani ni balaa sitamani kijana mwingine aje afanye kitu kama hiki.
ILA LABDA HUENDA JAMAA KAMKUTA MWANAMKE NA BIKRA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MGOGO KADATA
Beautiful ones are not yet born