Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Hili jambo la mwanaume kupiga goti wakati wa kumvalisha pete mchumba naona linazidi kukomaa,si utamaduni wetu japo sio mbaya sana kwani ni effects za globalization kwenye muingiliano wa kiutamaduni na wazungu/waarabu/wachina na vile tunasema "strong culture absorbs weak culture" na hii inachangiwa sana na nguvu ya kiuchumi.
Tuyaache hayo,leo Mc wa taifa Pilipili kama anavyojiita mwenyewe kamvisha pete mdada mrembo sana huko Boko Dsm hongera kwake but concern yangu kubwa ni kitendo cha yeye Pilipili kama Mwanaume kulia sana wakati kapiga goti mbele ya binti halaf binti anaonekana hana hata chembe ya hofu na kuguswa na kilio cha pilipili,huu ni udhaifu ambao kama.mwanaume lijali hakika hupaswi kuuonyesha,that is a big point of weaknes,hata kama umewahi kuumizwa sana kwenye mapenzi jitahidi usitoe chozi mbele ya mwanamke ambaye si mama yako,hii itakusaidia sana hata ukiwa kwenye ndoa ukitoa maamuzi yanakua ya kiume kweli kweli but hii ya kulia lia si dalili njema sana,kwa anayewajua vizuri wanawake atakua amenielewa.

By the way hongera sana Pilipili kwa kupata mchumbaView attachment 987138View attachment 987135
Mchekeshaji maarufu Bongo, MC Pilipili jioni ya leo amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake (Mke mtarajiwa) Philomena Thadey, nyumbani kwa Wazazi wa mwanamke maeneo ya Boko (Tegeta) jijini DSM, sherehe hiyo imehudhuriwa na watu mbalimbali wa Serikali na taasisi zisizo za kiserikali.
Mwanaume wa dar katika ubora wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwege kweli kweli hili. Hawa ndio wanao pandwa vichwani na wake zao.
Udhaifu No. 01, kaisha tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa yani siku Mkewe akimwomba kitu "Mme wangu naomba uninunulie Prado Land Cruiser" utashangaa ananunua hata kama hana uwezo yuko radhi akakope hela ambayo hatakuwa na uwezo nayo kulipa ilimradi tu amridhishe mkewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haka kajamaa kama kuna watu wanakafaham leo hii Wanaume wa Humu ndani Tupitishe Muswada/Azimio tukatenge haka kajamaa kanakodharirisha wanaume halisi hivi.

Naomba nilete huu mswada kwenu tuangalie kama akidi itatimia tukatenge kapumbuvuu kabisa haka. Kana mpa dada wa watu kazi ya kukabembeleza. Naye huyu dada anapatikana wap nimcheck?
Umtenge kwani amekuomba pesa ya kula?
wewe mwenyewe maisha yamekutenga jitafakari...

Unake izindaba zakho.
 
20190104_090447.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasumba ya wachangiaji jf bhana ni kufuata mkumbo wa wachangiaji wa kwanza kwenye uzi, kama wachangiaji wa mwanzo wakiwa na mtazamo hasi basi hata wanaofuatia huendelezea mkumbo uleule na iwapo wachangiaji wa mwanzo wakiwa chanya wengi wa wanaofuata huwa hivyo hivyo.

Nina hakika wapo waliochangia bila hata kuiona video husika kwa kuwa hawana MB za kutosha ila mkumbo tu...

Wapo ambao ni wanaume na wapo dar ila huji-position mikoani kwa muda tu hasa pale mada inapohusu udhaifu wa kinachoitwa "wanaume wa dar" na kisha hujirudisha Dar wakati wa kuelezea "ushamba wa watu wa mikoani (nje ya dar)". Hawa ni kama popo-watu.

Mimi nakataa kabisa, Mc Pilipili hakulia bali machozi ndiyo yalimtoka machoni kutokana na hisia kali anazozijua yeye mwenyewe! Ni machozi yanayobemba ujumbe mkubwa kuliko kile kinachooneka mbele ya macho ya watazamaji... Machozi ya namna hiyo hayatawaliki, na kila unapojaribu kuyatawala, nayo huongezeka mara dufu.

Sio kweli kwamba wanaume hawatokwi na machozi, hayo ya hisia huwatoka wanaume wengi tu hata kama kwa kujificha ili kuficha 'aibu'... Ni suala la kisaikolojia zaidi kuliko uwezo wa kibabe wa kiume. Nina uhakika, Mc Pilipili anaweza kupigwa fimbo 20 au zaidi na asilie... Lakini machozi yatokanayo na nguvu ya hisia hayazuiliki.
Kitu ambacho siungi mkono, ni suala la kumpigia magoti mwanamke wakati upo katika hatua muhimu ya kuchukua uongozi wa familia yako kama baba, ni kuigaiga tu.

Kama hujanielewa unaongozwa na ushabiki ama wivu kumuhukumu Mc Pilipili.
Hivi mkuu hujaona vizuri hiyo clip au unajitoa ufahamu, jamaa kapiga kwikwi kama zote, domo limejikunja uso umejikusanya unasema hajalia, yani pale angepigwa busu kabla hajavika pete angegalagala chini au angezimia kabisa we angalia vizuri usipotoshe uma, kaanza taratiibu kafinya finya macho, then domo likajikunja, then huku anasikitika haamini anachokiona mbele yake baadae fulu mafuriko we huoni au unakataa kuona makusudi, au ulilia mzee baba na ww ulivyoona hiyo video clip

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi wyf alipiga yeye!! Hahaha , eti akaniambia "piga magoti basi" , yani mbele ya wazazi wa pande zote mbili duh;;; nikamwambia "utapiga wewe, Fara wewe" 😁
Haahahahaaa nimecheka sana.
 
Mimi wyf alipiga yeye!! Hahaha , eti akaniambia "piga magoti basi" , yani mbele ya wazazi wa pande zote mbili duh;;; nikamwambia "utapiga wewe, Fara wewe" [emoji16]
We kiazi ndo umeamua kuja kunisengenya humu eee.....
 
Huyu Matonya Ndiyo Analia Kama Yupo Veyula Kanywa Pombe Ya Choya
Bado Safari Ni Ndefu Sana Watani Zangu Wagogo
 
Asante sana Chifu, nimeumizwa sana kwa jinsi UANAUME unavyopotokomea kwa kasi ya 4G sababu ya kuigaiga mambo yasiyo na ulazima wowote katika maisha yetu.

Hata hivyo nimeonya, nimeongoza, nimemuadabisha na kumfundisha kupitia mafungu katika Biblia kama tunavyofafanuliwa kupitia;

2TIMOTHEO 3:16-17.
Mkuu umehukumu kabla hujahukumiwa, ila nakusapoti kuwa mwanaume kulialia mbele ya wakwe ni udhaifu wa hali ya juu, baba mkwe anakuangalia unavyojiliza, baba yako anakuangalia unavyojiliza sijui wanakuonaje km baba wa familia anayefata, mfano sisi kabila yetu ukioa siku ya harusi baba yako mzazi anakuvesha kanzu unakaribishwa rasmi katika jukwaa la wanaume sasa siwezi kuelewa mila za kwao wanafanyaje ila hainiingii akilini wazee watamheshimu vipi kijana wakujilizaliza

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baby With Women
MC Pilipili
Yaani Hajui Lolote
 
Hata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umezidisha chumvi
 
Huyu jamaa hii clip yake nimeshindwa kuirudia hadi najisikia aibu kuitazama tena,kafanya kitendo cha kilofa nahisi ana chembechembe za mwanaume wa Dar.

Eti mwanaume rijali unamvish pete mpenzi wako huku unajiliza huo ni udada,yaani ni balaa sitamani kijana mwingine aje afanye kitu kama hiki.

ILA LABDA HUENDA JAMAA KAMKUTA MWANAMKE NA BIKRA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MGOGO KADATA

Beautiful ones are not yet born
MC Pilipili ni Comedian mkuu kwahiyo mchukulie hivyo hivyo!!
 
Back
Top Bottom