Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Hivi mkuu hujaona vizuri hiyo clip au unajitoa ufahamu, jamaa kapiga kwikwi kama zote, domo limejikunja uso umejikusanya unasema hajalia, yani pale angepigwa busu kabla hajavika pete angegalagala chini au angezimia kabisa we angalia vizuri usipotoshe uma, kaanza taratiibu kafinya finya macho, then domo likajikunja, then huku anasikitika haamini anachokiona mbele yake baadae fulu mafuriko we huoni au unakataa kuona makusudi, au ulilia mzee baba na ww ulivyoona hiyo video clip

Sent using Jamii Forums mobile app
PUMBAVU THAAAAANA hilo, sijui ndilo lenyewe MC PILIPILI hivyo linajing'atang'ata tu hapa na utaira wake wa kiwango cha SGR ili lionekane halikukosea kwa huo upunguwani wake[emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa hii clip yake nimeshindwa kuirudia hadi najisikia aibu kuitazama tena,kafanya kitendo cha kilofa nahisi ana chembechembe za mwanaume wa Dar.

Eti mwanaume rijali unamvish pete mpenzi wako huku unajiliza huo ni udada,yaani ni balaa sitamani kijana mwingine aje afanye kitu kama hiki.

ILA LABDA HUENDA JAMAA KAMKUTA MWANAMKE NA BIKRA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MGOGO KADATA

Beautiful ones are not yet born
Ile mtu ni fankuro papyentekero

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmeona hii Video nkashangaa sana. Huyu kijana mvulana analia kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake? Ametokea mkoa gani fala huyu? Mwishowe sisi wanaume wa mjini tunaonekana nasi ni mauza uza kama huyu fala.

Mwanaume huwezi lia hivi... Unalia kwa kwikwi mpaka mwanamke anakubembeleza? Sisi miaka yetu huyu angetengwa na jamii.mwanaume ilikuwa ni aibu kulia hadharani.

Unaliaje mbele mtu ambaye atakuwa mkeo na watu wapo? Unalia kwa kwikwi hivi kama huamini?mi nlizoea kuona wanawake wanalia hivi si wanaume.huyu jamaa ana tabia za kishoga bila shaka.
Hahahaaa!!!
Nimeenda jando,nikatahiriwa bila ganzi na bado sikulia, halafu nije kulia kwa kuingiza pete kwenye kidole cha mwanamke wangu!!!!????

Huyu aliamua kufanya komedi tu,hamna lolote!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Jamaa anatumia nguvu nyingi sana kuchekesha. Ila siyo Mchekeshaji( Kila nikitazama Clip zake uwa naishia tu kusonya). Kwanza anaongea haraka. Anavyoongea havichekeshi. Tabu tupu. Leo anamvisha Mtu Pete anajiliza. Kiki za mjini hizi!!!Nimeamini hazipatikani kirahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli hata mimi huwa hanifurahishi hata ongea yake ila tumpongeze tu kwa kupata wandani wake ni jambo jema sana kama mapungufu kila mtu ana mapungu yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga ww, Mwanaume yupi wa mikoani aliwahi kulia mbele za Wakwe?

Aliwahi kumpigia magoti Mchumba wake kwa kumvalisha pete?

Aliwahi kurembua macho kama demu akiongea na Mwanamke?

Aliwahi kula chipsi kuku na mayai ya kizungu yasiyo na baba wala mama bali ni kemikali tupu?

Anayeongea sauti ya 3 mbele za Mke akiwa anabembeleza nakati alibalehe ili awe dume kiuhalisia kwa kutoongea sauti za kimama mama?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona umepaniki ukweli ni kwamba nyie watu wa mikoani mnashida sana ndo maana mnafanya vitu vya ajabu ili muweze ku fit in
 
Walikuwa wanamtosa sababu nasikia jamaa ni aina ya Wale Wanaume wenye viherehere. Wanaongea sana. Na Mwanaume unapaswa kuwa na Akiba ya Maneno. Sasa unaambiwa akiwa na Demu halafu akakutana na Marafiki wa huyo Demu ni yule Mwanaume asiyekuwa na Haiba. Anaongea anapitiliza. Aliwahi kudate na Rafiki yangu Mmoja hivi siwezi kumtaja hapa. Alimwacha kwa mambo yake hayohayo. Atofautishi Mahusiano na Comedy zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo yeye ndio alikuwa anatoswa duh ila ni vizuri maana si kila mke au mume ni talanta kwako..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume walianza tabia ya kupiga magoti wakati wa kuwavisha wachumba wao Pete sasa watu wakasema eti huo ndo upendo , na sasa hii ya kulia kulia nayo itaenea utaona wengine wataibuka kwa ujinga huu.

Kwangu mwanaume kumoigia magoti mwanamke au kumlilia eti ishara ya upendo ni uzindaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu jamani Watanzania sijui tuna matatizo gani? Kikawaida tukio la kumvalisha binti pete linatakiwa kufanywa SAPRAIZ! Sasa huwezi kuandaa sherehe, ukaita watu including na binti mwenyewe, watu wakashona sare, matarumbeta, nakadhalika halafu eti unapiga goti unamuuliza binti "Will you marry me?" Halafu akikubali unalia.. 😂😂😂 We ulitegemea akatae sasa kaja kufanya nini ukumbini..?🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwanzoni demu alikua anamcheka, anashangaa hili bwege mtozeni ni la wapi..

Mwanamke hana kabisa ile mzuka wa tukio lenyewe yupoyupo tuu, halafu hilo jinga ndio linalia utadhani analilia mbingu..
 
Mwanzoni demu alikua anamcheka, anashangaa hili bwege mtozeni ni la wapi..

Mwanamke hana kabisa ile mzuka wa tukio lenyewe yupoyupo tuu, halafu hilo jinga ndio linalia utadhani analilia mbingu..
Nimekulewa
Mjinga Sana
 
Back
Top Bottom