Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha hahaaaaaaa... [emoji23]Vizuri sana bwana MC ..umetuwakilisha vema sisi wanaume wa Dodoma.
Hii ndio hulka yetu ..kulia kulia kwenye mapenzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa io hata makalio yao ni sawa?Tofauti ya wanaume na wanawake wa Dar ni ndevu na manyonyo tu. Mengine ni sawa sawia
Sent using Jamii Forums mobile app
labda haamini kama kampata mrembo yule,maana siyo kawaidaHuyu jamaa hii clip yake nimeshindwa kuirudia hadi najisikia aibu kuitazama tena,kafanya kitendo cha kilofa nahisi ana chembechembe za mwanaume wa Dar.
Eti mwanaume rijali unamvish pete mpenzi wako huku unajiliza huo ni udada,yaani ni balaa sitamani kijana mwingine aje afanye kitu kama hiki.
ILA LABDA HUENDA JAMAA KAMKUTA MWANAMKE NA BIKRA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MGOGO KADATA
Beautiful ones are not yet born
Nabii frank kilawa, huyu hapa mtu anaekiuka maandiko ya biblia na usiowataka kanisani kwako hajulikani nani mwanaume nani mwanamke.
.
"Sijawahi kusikia wala kusoma popote katika historia za mitume wote mwanamume akimpigia magoti mwanamke".
Kuna mawili anaact mbili Madawa yanafanya kazii.Nmeona hii Video nkashangaa sana. Huyu kijana mvulana analia kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake? Ametokea mkoa gani fala huyu? Mwishowe sisi wanaume wa mjini tunaonekana nasi ni mauza uza kama huyu fala.
Mwanaume huwezi lia hivi... Unalia kwa kwikwi mpaka mwanamke anakubembeleza? Sisi miaka yetu huyu angetengwa na jamii.mwanaume ilikuwa ni aibu kulia hadharani.
Unaliaje mbele mtu ambaye atakuwa mkeo na watu wapo? Unalia kwa kwikwi hivi kama huamini?mi nlizoea kuona wanawake wanalia hivi si wanaume.huyu jamaa ana tabia za kishoga bila shaka.
Labda kama kakukuta Bikra!Tatizo tumejijengea mwanaume hatakiwi kulia wakati wanaume wako sensitive and vulnerable Kama sisi tu,mie ningependa mwanaume wangu alie tena kwa yowe,yewoooomiiii
Aiseee...sijui tutajibu nini mbele za Mungu kwa kujikataa kiuhalisia kwa tabia zetu tulizoumbwa na Mungu kwa kuigaiga utashi wa kike ili kujiona wajanja Kumbe ni wapumbavu watupu.Aibu ya kufungulia mwaka 2019 hii,wanaume wa kweli tunazidi kumalizika
Inasikitisha kwa kweli, wanaume tunazidi kupungua duniani [emoji848][emoji848]PUMBAVU THAAAAANA hilo, sijui ndilo lenyewe MC PILIPILI hivyo linajing'atang'ata tu hapa na utaira wake wa kiwango cha SGR ili lionekane halikukosea kwa huo upunguwani wake[emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Video yenyewe hii hapa...angalieni hiyo hasara ya mwanamke huyuu...View attachment 987484
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakwambia kila Mwanamke mzuri kwa nnje pia kwa ndani ni mzuri 100%?Mseng.e anafaidi sio siri, pisi imesimama ni hamna, ndio maana analia
Sent using Jamii Forums mobile app
Yoyote ambaye shughuri zake iwe za biashara au kikazi zipo dar na ameishi dar kuanzia miaka mi2 tayari unakuwa ume-adapt tabia za darIli uwe mwanaume wa Dar unatakiwa kuwa na sifa zipi?
-Uwe umezaliwa dar?
-Makabila ya Dar yan uwe mzaramo? Maana hawa ndio wenye dar wenyew wengine wahamiaji.
-Au umeishi dar kwa takribani miaka 5 na kuendelea?
Hebu mtujuze hapo.
-
Sent using Jamii Forums mobile app