Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Kibinadamu mtu ambae anajaribu sana kuficha kile anachohisi ndani ya moyo wake hua anaonekana jasiri sana kwa watu, lakini ukweli ni kwamba huyo ndio mtu dhaifu zaidi kulikoni yule anaekubali kunyesha wazi hisia zake bila kujali mitazamo ya wengine kwa wakati huo.....mwanaume kulia au kua wazi kihisia katika jambo analopitia huo ni ujasiri wa hali ya juu na ndio uanamme wenyewe.....kujifanya mgumu while ndani kunaghafirika ni utoto haioneshi ukomavu wako kama binadamu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hisia sahihi za mtu huwezi kuzijua, ni kitu kipo ndani yake. Hisia si za mapenzi tu, hisia zipo za namna nyingi... Amini hata mchumba wake atakuwa alimuuliza hapo baadae wakiwa faragha, wame-relax... "...tell me darling, what happened, le' me know why you criiied!!.." Jibu kwa swali hili laweza lisieleweke kirahisi, hivyo dawa yake ni 'kupiga kimya' tu. Mc Pilipili atakuwa zwazwa kama alilia 'mapenzi' tu kwa mchumba wake.

Lakini kama alikumbuka kwa mfano, kauli fulani aliyowahi kupewa na mamake kama wosia, ama kejeri iliyomkwaza kutoka mpezi wake wa zamani aliyemgharimia kisha akamtosa kwa dharau...au jambo jingine ambalo kimsingi analifahamu na kulielewa yeye mwenyewe, nitamuunga mkono. And it's healthy, by the way.

Wengi wetu tunapenda kuwa watoa hukumu kwa wenzetu, sioni kama ni sahihi.
Unaonekana jinsi gani hufai kuwa KIONGOZI katika jamii yoyote ile duniani maana kwa kuendekeza hisia zako kila siku utakuwa unatamani Wake za wafanyakazi wenzako, na watakutafuta kwa mapanga na marungu hadi wakutoe marinda, wakuasi na kukuua kwa kushindwa ku-control hisia zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kibinadamu mtu ambae anajaribu sana kuficha kile anachohisi ndani ya moyo wake hua anaonekana jasiri sana kwa watu, lakini ukweli ni kwamba huyo ndio mtu dhaifu zaidi kulikoni yule anaekubali kunyesha wazi hisia zake bila kujali mitazamo ya wengine kwa wakati huo.....mwanaume kulia au kua wazi kihisia katika jambo analopitia huo ni ujasiri wa hali ya juu na ndio uanamme wenyewe.....kujifanya mgumu while ndani kunaghafirika ni utoto haioneshi ukomavu wako kama binadamu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakitibuana hata kidogo tu mke wake,mwanamke utasikia anamwambia wewe kuna utofauti gani na wanawake? Unalia lia hata mbele za wanawake. Kama ndio ujasiri wenyewe huo basi wanajeshi wangekuwa wanaweka bunduki chini analia saaaana baada ya mwenzie aliekuwa amezoeana nae sana kupigwa risasi na kuuliwa pembeni yake hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A Man who crying i front of her Women what kind of Man is that???He is the weak like 7 day or like brick and less....[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BIKRA? MSITUONE TU TUMO HUMU TUSHAKULA K NYINGI SANA. HATUPENDI TU KUTANGAZA. ANGEKUWA BIKRA MI NGEHARISHA MWAKA MZIMA.ASHALIWA SANA HUYO DEMU NA ATAENDELEWA KULIA MAANA DEMU HANA HISIA KABISA KWA JAMAA...SEMA BASI TU.

Huyu jamaa hii clip yake nimeshindwa kuirudia hadi najisikia aibu kuitazama tena,kafanya kitendo cha kilofa nahisi ana chembechembe za mwanaume wa Dar.

Eti mwanaume rijali unamvish pete mpenzi wako huku unajiliza huo ni udada,yaani ni balaa sitamani kijana mwingine aje afanye kitu kama hiki.

ILA LABDA HUENDA JAMAA KAMKUTA MWANAMKE NA BIKRA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MGOGO KADATA

Beautiful ones are not yet born
 
Kuna watu wanatafsiri ulijali kwa tafsiri zakijinga sana.

Hivi uanaume wangu au ulijali wangu unaathirika vp kama me ntapiga goti moja kumvisha pete mchumba wangu?

Hawa ndo wale utawaskia wanajiita wagumu, na mara nyingi ni maisha ndo huwa yanawapa mentality hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho wa siku ndio mtaishia kufua na kuosha vyombo kisa tu urijali wako uko palepale,
Jitambue ndugu, uanaume ni zaidi ya ujuavyo wewe hata vitabu vya dini vinatabanaisha hilo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili jambo la mwanaume kupiga goti wakati wa kumvalisha pete mchumba naona linazidi kukomaa,si utamaduni wetu japo sio mbaya sana kwani ni effects za globalization kwenye muingiliano wa kiutamaduni na wazungu/waarabu/wachina na vile tunasema "strong culture absorbs weak culture" na hii inachangiwa sana na nguvu ya kiuchumi.

Tuyaache hayo,leo Mc wa taifa Pilipili kama anavyojiita mwenyewe kamvisha pete mdada mrembo sana huko Boko Dsm hongera kwake but concern yangu kubwa ni kitendo cha yeye Pilipili kama Mwanaume kulia sana wakati kapiga goti mbele ya binti halaf binti anaonekana hana hata chembe ya hofu na kuguswa na kilio cha pilipili,huu ni udhaifu ambao kama.

Mwanaume lijali hakika hupaswi kuuonyesha,that is a big point of weaknes,hata kama umewahi kuumizwa sana kwenye mapenzi jitahidi usitoe chozi mbele ya mwanamke ambaye si mama yako,hii itakusaidia sana hata ukiwa kwenye ndoa ukitoa maamuzi yanakua ya kiume kweli kweli but hii ya kulia lia si dalili njema sana,kwa anayewajua vizuri wanawake atakua amenielewa.

By the way hongera sana Pilipili kwa kupata mchumbaView attachment 987138View attachment 987135
Mchekeshaji maarufu Bongo, MC Pilipili jioni ya leo amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake (Mke mtarajiwa) Philomena Thadey, nyumbani kwa Wazazi wa mwanamke maeneo ya Boko (Tegeta) jijini DSM, sherehe hiyo imehudhuriwa na watu mbalimbali wa Serikali na taasisi zisizo za kiserikali.
duuh.....wanaume wa dar nyieee....haya mambo hayaaaa
 
warembo lazima msifie hili kwakua it works for your advantage, gives you a certain type of leverage against the other part....ingawa ni against the nature!

Why would a man's tears make me feel like am in control of him?

I would let him shed his tears because he is winning over some battle in his heart I may never get to know about.

Then I would lift up my King, dust his knees and let him lead us into the journey we are just beginning.

His bitter past got buried together with the tears he shed, when they touched the ground.
 
Huyu Jamaa anatumia nguvu nyingi sana kuchekesha. Ila siyo Mchekeshaji( Kila nikitazama Clip zake uwa naishia tu kusonya). Kwanza anaongea haraka. Anavyoongea havichekeshi. Tabu tupu. Leo anamvisha Mtu Pete anajiliza. Kiki za mjini hizi!!!Nimeamini hazipatikani kirahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa I see,na mwenzie idrisa sijawahi kuwaelewa wanachekesha nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MC pilipili ni jamaa yangu wa karibu sana.namfahamu huyo bint na jamaa zake wawili. Pilipili ameforce sana kumuoa huyo dada. Mwanamke ana jamaa yake anayempenda sana sema jamaa hayupo tayari kumwoa.ila mpaka one week ago demu alikuwa anawasiliana na jamaa kuwa yeye anampenda.jamaa hataki kumwoa demu.

Pilipili ame force sana kwa ahadi nyingi lakini demu hana hisia naye na jamaa anapenda sana show off nadhan sababu hajiamini.mademu hawadumu naye ana udhaifu mkubwa. Wengi wanalalamika he isnt a man enough. Kwanza hawezi kutatua changamoto kama baba yaani kuwaza kiume.na hii imesabbisha mara nying awe ni mtu wa mipasho na maneno kwa wana wake.

Ni mtu ambaye usimpelekee issue ukitegemea yeye mwanaume mtashirikiana kusolve ataenda kuizungumza kwenye radio au atawaambia washkaji
 
Back
Top Bottom