Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Mkuu mbona umepaniki ukweli ni kwamba nyie watu wa mikoani mnashida sana ndo maana mnafanya vitu vya ajabu ili muweze ku fit in
Kama ww ni Baba yake na huyo MC Pilipili sijui MC Tatutatu, ungefurahishwa na huo ujinga hadi nisipaniki?

Samahani kama nimekukwaza lakini uongo ni dhambi huyo dogo katukosea sana Babu, Baba, Kaka, Wadogo wa kiume adabu.

Tena kama ni nyumbani kwetu ni lazima angekuja tukamlamba viboko vya kumfundisha heshima tena hadharani ili iwe fundisho kwa Wanaume wengine ambao wangeweza kushawishika kuigaiga huo upunguwani wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani KE mkavu ila ME ndo chozi lamtoka??

halafu mbona huyo KE anaonekana kama amekubali kuolewa kutimiza wajibu tu?!
 
HIVI HILI MC TAIRA LIKIKUTANA NA WALE WAKE ZETU WA MARA(WAKURYA) AMBAO HAWAWEZI KUONA THAMANI YAO KWA WANAUME KWA KUPENDWA KWA DHATI WAKISHAOLEWA HADI WAPIGWE, LITAWEZA KUTHUBUTU HATA KUM-REINSTALL MKEWE AKILI HATA KWA KOFI 1 TU ILI MKE AJUE KWELI BABA MWENYE NYUMBA(KICHWA CHA FAMILIA) AMECHUKIA SANA KWA KOSA LENYE MATOKEO MABAYA SANA ALILOTENDEWA NA MKEWE?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ww ni Baba yake na huyo MC Pilipili sijui MC Tatutatu, ungefurahishwa na huo ujinga hadi nisipaniki?

Samahani kama nimekukwaza lakini uongo ni dhambi huyo dogo katukosea sana Babu, Baba, Kaka, Wadogo wa kiume adabu.

Tena kama ni nyumbani kwetu ni lazima angekuja tukamlamba viboko vya kumfundisha heshima tena hadharani ili iwe fundisho kwa Wanaume wengine ambao wangeweza kushawishika kuigaiga huo upunguwani wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe huyo jamaa ni MC Pilipili? Ila kama ndo yeye ni mshamba fulani maana jamaa anamuona yule dem sijui kama kitu gani yani? Maana kuna kipindi alikua hakauki kumpost post itakua hajawahi kua na dem mkali na haamini maana kimsingi kwa ule ufupi wake ni wanawake wachache sana wanaweza kumkubali na raia wengi sana walikua wana comment daah "daah blaza kwa ufupi huo huyo demu kafata hela na unaarufu wako" kibaya zaidi na yeye mwenyewe anajua hilo
 
mvisha pete naona katambulisha ndugu, kwani hana mshenga? i wounder cjaona mbwembwe za wahaya !! ila dogo ushamba unamzuzua
 
Yaani sisi watu wa ajabu sana. Unaweza kuta huyu aliyeanzisha hii mada pia huwa analia na kupiga magoti akiwa faragha na mwenzi wake Ila hapa kwa vile yupo nyuma ya keyboard anajifanya yeye mgumu. Sasa tunamsema Pilipili kwa vile tumemuona vipi kuhusu sisi tusiyewahi kuonwa. Kulia si tatizo kwani kila mtu anareaction zake kwa kila jambo linalomtoke katika maisha hivyo unavyomuona pilipili boya pia wengine wanakuona boya

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakuwa katuonesha hadharani basi ni haki yake tumuone BOYA, asingetuonesha hadharani tusingejali wl nini, angejua yeye na mkewe, ila kwa sahivi ni BIIIIIIGGEST BOYA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom