Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

.
Screenshot_2019-01-07-14-13-38-569_com.facebook.katana.jpeg


Sent using Redmi Note 5
 
Hata siku moja big G haiwezi kuitwa gundi japo ina nature ya kukamata baadhi ya vitu kama ilivyo gundi. A man has his moral values kama mwanamume japo wote ME na KE ni binadamu.

mnhhhhhh kwa nini unalazimisha watu(wanaume ) wafanane??kila mtu ana upbringing tofauti,personality tofauti,experiences za Maisha tofauti..values za mwanaume A haziwezi kufanana na mwanaume B,sababu malezi sio kama kitabu/manual Fulani kila mzazi ni lazima awe nacho na akifate kanuni zake katika kulea...
 
Assume alikuwa anachekesha. Si unaona anavyojichekeshaga japo anapata riziki
 
Sijaelewa manake hili suala sikuwahi kulifuatilia!

Ni kwamba MC Pilipili alikuwa analia kama ambavyo wanawake wanavyolia wakati wa kuvishwa pete au kufunga ndoa, au?!
 
Hu
Hili jambo la mwanaume kupiga goti wakati wa kumvalisha pete mchumba naona linazidi kukomaa,si utamaduni wetu japo sio mbaya sana kwani ni effects za globalization kwenye muingiliano wa kiutamaduni na wazungu/waarabu/wachina na vile tunasema "strong culture absorbs weak culture" na hii inachangiwa sana na nguvu ya kiuchumi.

Tuyaache hayo,leo Mc wa taifa Pilipili kama anavyojiita mwenyewe kamvisha pete mdada mrembo sana huko Boko Dsm hongera kwake but concern yangu kubwa ni kitendo cha yeye Pilipili kama Mwanaume kulia sana wakati kapiga goti mbele ya binti halaf binti anaonekana hana hata chembe ya hofu na kuguswa na kilio cha pilipili,huu ni udhaifu ambao kama.

Mwanaume lijali hakika hupaswi kuuonyesha,that is a big point of weaknes,hata kama umewahi kuumizwa sana kwenye mapenzi jitahidi usitoe chozi mbele ya mwanamke ambaye si mama yako,hii itakusaidia sana hata ukiwa kwenye ndoa ukitoa maamuzi yanakua ya kiume kweli kweli but hii ya kulia lia si dalili njema sana,kwa anayewajua vizuri wanawake atakua amenielewa.

By the way hongera sana Pilipili kwa kupata mchumbaView attachment 987138View attachment 987135
Mchekeshaji maarufu Bongo, MC Pilipili jioni ya leo amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake (Mke mtarajiwa) Philomena Thadey, nyumbani kwa Wazazi wa mwanamke maeneo ya Boko (Tegeta) jijini DSM, sherehe hiyo imehudhuriwa na watu mbalimbali wa Serikali na taasisi zisizo za kiserikali.
Huyu jamaa ni mgogo nini!?....ana sura ya ombaomba!
 
Sijaelewa manake hili suala sikuwahi kulifuatilia!

Ni kwamba MC Pilipili alikuwa analia kama ambavyo wanawake wanavyolia wakati wa kuvishwa pete au kufunga ndoa, au?!
Yes mkuu
 
Hongera Mc pilipili wanawake wengi walikutosa but mrembo cute Mena ka kukubali wapo watakaokuponda jinsi ulivo propose Kuwa ni udhaifu hyo ni mentality ya kimfumo dume, cute Mena ni malkia wako na wewe ka binadamu una hisia usiogope kuzionesha. All the best kwenye ndoa yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Unazidi kumfundisha ujinga Dada..mwanaume huwa halii.Bali macho huwa mekundu.
Mfumo dume aliuasisi muumba mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume suruali hujulikana tu kimatendo kutokujiamini ku dharau wanawake ndo wanafiki urijali kumbe hata shoga anasimamisha mfyuuuu
Achana nalo hilo jimama, ukute hata kuolewa kwenyewe haujaolewa, au lilishaolewa mara nyingi tu likaachika, so linabaki kukandia tu Wanaume ilimradi lionekane lina uelewa sana wa uhalisia wetu sisi Wanaume, utadhani na lenyewe lina jinsia mbili sawa na dume jike.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nampa pole mke wako kuolewa na mjinga ka wewe. Useless man
Ujinga wote linaotetea humu na jinsi linavyojisifia kuwa ni "wife material" ni tofauti kabisa na Wake wanaojitambua, tena na lenyewe linajisifia kabisa kuwa linamshukuru sana Mungu, PUMBAVU! Labda awe mungu mtu wa kiunoni, kwapani na chale za mwilini ila si Muumba mbingu na nchi aruhusu Wanaume tunaojitambua kusapoti huu ujinga kwa jinsi tulivyoumbwa kitabia na urijali tulionao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usinipangie hii open forum mbona wewe una comment kwa raha zake siku disturb if ur a real thinker argument ni jambo la kawaida na sio la kushangaa. So mind ur business mie mjuaji wewe mbulula mbona yamrkushinda.
Kwanini unapenda arguments sana most of the times, like you never takes things easy. I wonder kama kuna utulivu kweli katika kubadilishana kauli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom