Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Kwanini wanaume wa kitanzania imewauma sana alichofanya huyo kaka? kamlilia mpenzi wake kulingana na waliyopitia haamini kama leo wamefikia hiyo stage sasa shida iko wapi akimwaga machozi na kupiga magoti?
Hahaha kweli mfumo dume hauwezi kuisha kwenye jamii za kiafrika,

Nawasikitikia sana dada zangu.
Siku ya ndoa si atagalagala kabisa!
 
yaani ni upuuzi mkubwa

umetafuta mwenyewe hela ya pete

umeenda kununua mwenyewe

umepanga sherehe mwenyewe

umelipia ukumbi mwenyewe

hayo yoote ulipanga mwenyewe

hlf mwisho wa mchezo unalia kama umefanyiwa surprise

NI UMAMA NI UBIBI NI USHANGAZI NI UDADA KABISA
 
nukuu ya Leo!
sio kila mwanamke anapenda hela.. ila kama unajionesha kuwa unazo..
wapo wa kukusaidia kuzitumia!
 
sherehe hiyo imehudhuriwa na watu mbalimbali wa Serikali na taasisi zisizo za kiserikali.

Kiongozi wa Serikali aliyekuwepo ni nani? au ni Mwenyekti wa mtaa huo?
 
Toa ujinga wako hapa na utokwe na pepo la upumbavu kichwani mwako we kijana.

Baba yako naye alimlilia Mama yako hivi hivi mbele za Wakwe kumvalisha Mkewe pete ya ndoa?

Biblia inasema "MLEE MTOTO KATIKA NJIA IMPASAYO NA KAMWE HATAIACHA HATA ATAKAPOKUWA MZEE", inamaanisha ndivyo Wazazi wako walivyokulea hivyo?

Hata ile kauli ya "JIKAZE MTOTO WA KIUME" hauwezi kuitumia mbele za Watu ili ufiche upumbavu wako?

MC Pilipili ndiye wa kwanza kuwa na hisia sana za kupenda kupita kiasi duniani hadi ashindwe kujitambua na kuelewa matokeo ya kuzidiwa na hisia mbele za Watu?

Wewe na MC Pilipili ni mataira sana ambayo hayajawahi kutokea duniani na hayatatokea hadi dunia itapoangamizwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba umeongea fact sana, ila nimecheka mpk dunia itapoangamizwa!!! Ha ha ha
 
Wanaume wa JF bwana. Wanajikuta wao ndio vidume hizi fake ID hizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
MC pilipili ni jamaa yangu wa karibu sana.namfahamu huyo bint na jamaa zake wawili. Pilipili ameforce sana kumuoa huyo dada. Mwanamke ana jamaa yake anayempenda sana sema jamaa hayupo tayari kumwoa.ila mpaka one week ago demu alikuwa anawasiliana na jamaa kuwa yeye anampenda.jamaa hataki kumwoa demu.

Pilipili ame force sana kwa ahadi nyingi lakini demu hana hisia naye na jamaa anapenda sana show off nadhan sababu hajiamini.mademu hawadumu naye ana udhaifu mkubwa. Wengi wanalalamika he isnt a man enough. Kwanza hawezi kutatua changamoto kama baba yaani kuwaza kiume.na hii imesabbisha mara nying awe ni mtu wa mipasho na maneno kwa wana wake.

Ni mtu ambaye usimpelekee issue ukitegemea yeye mwanaume mtashirikiana kusolve ataenda kuizungumza kwenye radio au atawaambia washkaji
Atafurahia show huyo MC uchwara....I felt something like this was behind all the drama. Mwanaume confident halilii demu hata siku moja. Kuoa mwanamke wa mtu hakujawahi kuwa na matokeo chanya asubirie tu maumivu ya kupigiwa.
 
Tofauti ya mwanamke na mwanaume ni papuchi na gegedo basi hayo mengine ni sawa kabisa no difference. Sote ni binadamu tulio sawa.
Hafu mie mcha Mungu mzuri tu sana pia huo mda wa nyie kudekezwa sijui mke mwema mjinyooshe ka wafalme sina ndoa hujengwa na wawili inashangaza Baba hufatilii wanao hata ku bond siku moja ukimwachia mwanamke huo uzembe.


Kwa taarifa yako mpenzi wangu ananipenda sana tu kanikubali nilivo na ananijua hulka yangu na kanikubali maana kila mtu na mapungufu yako tena na wanaume watano wameni propose engagement sema namkubali mmoja zaidi ndo anajielewa. My hubby will be like a king I am a strong woman and I will protect my territory by any means. No intruders will be allowed.

Cariha mie I'm so cool hujaka nami tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unless uwe unaigiza humu, but ironically you sound kama mwanamke flani mjuaji na mbinafsi sana. You need mwanaume alie very strong ku deal na character yako otherwise sie tunaopenda mahusiano bila kelele na makwazo tutakuwa tunaishia njiani tu.
 
Huyu Inavyoelekea hadi mzigo atapewa kwa ratiba maalum. Wanawake Walivyo wengi unampigia magoti na kumlilia wa nn. Kuowa sio bahati kwa mwanaume ni lazima Kw sababu ss ndio tunao hamua austahili kulia, Bali kuolewa ni bahati mwanamke ndio anastahili kulia. Ili Jamaa kenge Sana sijui Ana umri gani. Mm niliowa na 26yrs na sikufanya uhuu ujinga. Huyu u aweza kuta yupo early 30 bado anamambo ya kijinga. Acha aingie kwenye ndoa kama ataendelea kufanya uwo ujinga. Pimbi Sana huyu mshikaj

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah hilo halina shaka, kugonga kila j5 jioni. Hahah weekend hamna kusex kwa kisingizio cha mapumziko halafu inapelekwa kinyemela kwa Robert anaiwasha kimafia.
 
Wewe mie sijapoyosha mtu hapa Mc pilipili kafanya jambo sahihi kuonyesha hisia zake na hajawa mnafiki real man ndo anavotakiwa usipomlilia mkeo anayekuvulia na kulala uchi utamlilia nani.

Hafu Kuwa mwanaume hakukupi class ya uelewa ka mjinga unakuwa tu mjinga kukwepa kuonyesha hisia nakuwa bandidu huo sio uanaume ni udhaifu ka udhaifu mwingine.

Society yako imeku shape kuona mwanamke sio wa kupendwa na kuheshimwa ndo mana unaona Mc kafanya kitu hovyo kumbe was right kabisa.

Mie mwanangu nitamlea kwa misingi ya utu na ubinadamu tena aheshimu mwanamke ka chombo cha thamani sio nyie mnaamini kumdharau mwanamke ndo uanaume huo.

Mie mpenzi wangu muelewa ananiheshimu na mheshimu mno na ananisikiliza licha ya kunizidi kila kitu kuanzia elimu umri had dhambi lakini husikiliza hisia zangu nami humpa ushauri mpaka ananishangaa tena ananipenda kuliko maelezo. Huyo ndo mwanaume kamili ninaye mpenda.


Sasa nyie bakini na mila potovu zenu za kutokuheshimu wanawake eti si urijali aaargh

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kakuzidi kila kitu. Nilijua we ndio umemzidi kila kitu! Hio mbona ni logical. Ila pamoja na yote hajawahi kukulillia mbele ya kadamnasi
 
Mc Pili Pili sie wengine tumekuelewa,tukio lilikua overwhelming kwako, na kulia ni natural,wewe pekee ndio unayejua how you felt that day,mbona wadada wengine siku ya harusi wanalia wakati ni jambo la furaha ?
Hata siku moja big G haiwezi kuitwa gundi japo ina nature ya kukamata baadhi ya vitu kama ilivyo gundi. A man has his moral values kama mwanamume japo wote ME na KE ni binadamu.
 
Back
Top Bottom