Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Sifa moja kubwa kama mwanaume ni kuficha emotions zako haiwezi umetokea msiba home we kama kichwa cha familia kupanga kutuliza akili inakuaje ndo uko mstari wa mbele kumwaga michozi
Huwezi ukalia unavyo propose binti hiyo inaonesha how weak unaenda kua kwenye ndoa yako


Sent from my iPhone using JamiiForums
You nailed it, dume limeumbwa kuwa imara. Emotional beings ni wanawake, they can not hold enough hata mkojo tu hawawezi. No sphincter muscles.
 
Hili jambo la mwanaume kupiga goti wakati wa kumvalisha pete mchumba naona linazidi kukomaa,si utamaduni wetu japo sio mbaya sana kwani ni effects za globalization kwenye muingiliano wa kiutamaduni na wazungu/waarabu/wachina na vile tunasema "strong culture absorbs weak culture" na hii inachangiwa sana na nguvu ya kiuchumi.

Tuyaache hayo,leo Mc wa taifa Pilipili kama anavyojiita mwenyewe kamvisha pete mdada mrembo sana huko Boko Dsm hongera kwake but concern yangu kubwa ni kitendo cha yeye Pilipili kama Mwanaume kulia sana wakati kapiga goti mbele ya binti halaf binti anaonekana hana hata chembe ya hofu na kuguswa na kilio cha pilipili,huu ni udhaifu ambao kama.

Mwanaume lijali hakika hupaswi kuuonyesha,that is a big point of weaknes,hata kama umewahi kuumizwa sana kwenye mapenzi jitahidi usitoe chozi mbele ya mwanamke ambaye si mama yako,hii itakusaidia sana hata ukiwa kwenye ndoa ukitoa maamuzi yanakua ya kiume kweli kweli but hii ya kulia lia si dalili njema sana,kwa anayewajua vizuri wanawake atakua amenielewa.

By the way hongera sana Pilipili kwa kupata mchumbaView attachment 987138View attachment 987135
Mchekeshaji maarufu Bongo, MC Pilipili jioni ya leo amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake (Mke mtarajiwa) Philomena Thadey, nyumbani kwa Wazazi wa mwanamke maeneo ya Boko (Tegeta) jijini DSM, sherehe hiyo imehudhuriwa na watu mbalimbali wa Serikali na taasisi zisizo za kiserikali.
Hajawahi kuwa outright Man than just some mediocre attention seeking dismal comedian

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati ninakuwa na huzuni, ila ni aghalabu kuonesha hisia zangu dhahiri, kama kulia ntalia nikiwa alone. Males must be nurtured to be strong otherwise tutakuza vizazi vya akina MC Pilipili ambao wataingia kwenye ndoa huku wakiwa hawawezi kusimama imara. Inatokea changamoto, mke analia baba anashindwa ku take charge nae anaungana na mkewe kulia. Ulishawahi kumuona baba yako anajiliza mbele za watu!

Its all about interpretation of things....ume associate kulia na udhaifu sababu hivyo ndivyo ulivyolelewa.....naomba tu nikwambie kulia is not making a person less a man,labda kama kuna new research inayoonyesha kuwa ukiwa ni mwanaume unayelia utakua huwezi ku make judgements ..hapo ndio mngekua na hoja,ila kulia na uanaume sio vitu vinavyoenda pamoja,...……………..sad unasema huwezi kuonyesha hisia zako meaning huwezi kulia hivi hujui kwamba kulia kunamfanya mtu afeel better...hata kwenye msiba mtu ambaye analia huwa anarecover mapema kuliko mtu asiyelia,mtu asiyelia anatumia grieving period kubwa Zaidi...so kulia is important..eti kulia sio uanaume nikikupa kitunguu ukate hautalia? au utaenda kukata ukiwa chumbani kwako usionyeshe hisia zako?joke
 
Yaani sisi watu wa ajabu sana. Unaweza kuta huyu aliyeanzisha hii mada pia huwa analia na kupiga magoti akiwa faragha na mwenzi wake Ila hapa kwa vile yupo nyuma ya keyboard anajifanya yeye mgumu. Sasa tunamsema Pilipili kwa vile tumemuona vipi kuhusu sisi tusiyewahi kuonwa. Kulia si tatizo kwani kila mtu anareaction zake kwa kila jambo linalomtoke katika maisha hivyo unavyomuona pilipili boya pia wengine wanakuona boya

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora aneyelia chumbani, huyu anayelia hadharan na macamera yana mmulika ni upimbi wa kiwango cha juu
 
Jibu liko wazi..."Dhaifu" wanawake wazuri hawako attracted na mwanaume dhaifu. Huwezi mpata demu anaejitambua ukiwa huna confidence ama hujiamini! Ukitikiswa kidogo tu unaanza kujiliza.

its opposite,wanawake tunapenda mtu anayeonyesha kutujali tena kupita kiasi..lol
 
Mwanamke anaonekana ana mawazo sana, pengine anajiuliza atamsaliti vipi huyu jamaa au labda anajiuliza kwanini hajajitokeza lijali wa kweli kumchumbia?
 
Hah
HUYU DADA HUYUUU...MIMI NIMEOA WALA SIMUONEI WIVU...MIMI NAMSEMEA KWA WEMA TU...ILA HAPA...HAHAHA PILIPILI AINGIE SOKONI UPYA...BAHATI MBAYA KATUONESHA INSTA ID YAKE KABISA...TUSHAMJUA ALIVYO...BORA YA NDAUKA...ila hatuwezi jua...KIPENDACHO ROHO HULA NYAMA MBICHI...

Ukiangalia ile video vizuri...utamuona bibie macho makavuuu...ht hambembelezi...yeye yake pete tuu...mmmh hapana aisee...na kuna video moja amepost anatoa shukran...yaan pale ndo nikajithibitishia kwa kumwangalia tu...yule demu ile engagement kaikubali with interest...MWANAUME YEYOTE ALIYEPITIA BALEHE ZOTE NA KUTIMIA KIAKILI NA KIUTULIVU...ATAGUNDUA YULE DEMU PALE HAKUNA MKE...
Hahah hapo demu ndio anakula bingo, ndoa ya bure hio anajua baada ya hapo ataendelea kufanya yake tu kwa jinsi atakavyo maana mume ndio amefosi kingi ikiwa anajua wazi so many guys are hitting on her woman. Siongei kwa ubaya ila ndoa za kuoneana huruma zina mateso sana mbeleni including a lots of cheating.
 
Anililie chumbani Huko sio kwenye halaiki ya watu . Hapo wa kulia ni mimi yeye Anibembeleze, zamani mabibi harusi walikuwa wanalia sijawahi sikia bwanaharusi analia.

unaona sawa mwanamke aonyeshe hisia zake,ila mwanaume ndio asionyeshe..why?? huu ni ukatili...
 
Its all about interpretation of things....ume associate kulia na udhaifu sababu hivyo ndivyo ulivyolelewa.....naomba tu nikwambie kulia is not making a person less a man,labda kama kuna new research inayoonyesha kuwa ukiwa ni mwanaume unayelia utakua huwezi ku make judgements ..hapo ndio mngekua na hoja,ila kulia na uanaume sio vitu vinavyoenda pamoja,...……………..sad unasema huwezi kuonyesha hisia zako meaning huwezi kulia hivi hujui kwamba kulia kunamfanya mtu afeel better...hata kwenye msiba mtu ambaye analia huwa anarecover mapema kuliko mtu asiyelia,mtu asiyelia anatumia grieving period kubwa Zaidi...so kulia is important..eti kulia sio uanaume nikikupa kitunguu ukate hautalia? au utaenda kukata ukiwa chumbani kwako usionyeshe hisia zako?joke
Kulialia ni sign za kuonyesha weakness for a man,Sio kwamba hatutakiwi kulia,inapokuwa ni jambo la huzuni sana inabidi kulia lakini sio kwa vitu ambavyo sisi wanaume wengi hatuoni/hatuamini kuwa kuna sababu ya kulia,ndio maana hata kama inabidi kulia inabidi ujifiche uli usionyeshe kuwa unalia na huo ndio uanaume dunia nzima sio kwa Boko Dar es salaam peke yake..
 
haha..sio kwamba tumejijengea, ndio hali halisi...huyo leo analia hivyo mnamsifia wakina mama, siku utampelekea tatizo akusolvie kama mwanamume au mme alafu atapiga hayo mayowe (kwasababu yupo emotional kama wewe kama ulivyodai hapo) alafu utakuja kufungua threadi humu! ohooo
Hahah ndio maana wanawake inabidi tuwatangulie mbele always. Angalia tu thinking ya Rebbecca hapo, yeye anawaza moyo wake ujazike na furaha kwa sasa tu ujilize mbele yake afurahi ila siku ada ya mtoto ikikosekana ukianza kujiliza atakutolea shombo badala akufariji muendelee kulia pamoja. Hahahah huyo ndio mwanamke.
 
Back
Top Bottom