Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Hata siku moja big G haiwezi kuitwa gundi japo ina nature ya kukamata baadhi ya vitu kama ilivyo gundi. A man has his moral values kama mwanamume japo wote ME na KE ni binadamu.

mnhhhhhh kwa nini unalazimisha watu(wanaume ) wafanane??kila mtu ana upbringing tofauti,personality tofauti,experiences za Maisha tofauti..values za mwanaume A haziwezi kufanana na mwanaume B,sababu malezi sio kama kitabu/manual Fulani kila mzazi ni lazima awe nacho na akifate kanuni zake katika kulea...
 
Assume alikuwa anachekesha. Si unaona anavyojichekeshaga japo anapata riziki
 
Sijaelewa manake hili suala sikuwahi kulifuatilia!

Ni kwamba MC Pilipili alikuwa analia kama ambavyo wanawake wanavyolia wakati wa kuvishwa pete au kufunga ndoa, au?!
 
Hu
Huyu jamaa ni mgogo nini!?....ana sura ya ombaomba!
 
Sijaelewa manake hili suala sikuwahi kulifuatilia!

Ni kwamba MC Pilipili alikuwa analia kama ambavyo wanawake wanavyolia wakati wa kuvishwa pete au kufunga ndoa, au?!
Yes mkuu
 
Unazidi kumfundisha ujinga Dada..mwanaume huwa halii.Bali macho huwa mekundu.
Mfumo dume aliuasisi muumba mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume suruali hujulikana tu kimatendo kutokujiamini ku dharau wanawake ndo wanafiki urijali kumbe hata shoga anasimamisha mfyuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nampa pole mke wako kuolewa na mjinga ka wewe. Useless man
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usinipangie hii open forum mbona wewe una comment kwa raha zake siku disturb if ur a real thinker argument ni jambo la kawaida na sio la kushangaa. So mind ur business mie mjuaji wewe mbulula mbona yamrkushinda.
Kwanini unapenda arguments sana most of the times, like you never takes things easy. I wonder kama kuna utulivu kweli katika kubadilishana kauli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…