Hata nisiposhabikia, kama yangu ni ya kwenda kombo yataenda tu, kwani Mabeste na Mkewe walishabikia ya nani?Mkuu inaonekana, umefurahi sana juu ya swala la kuvunjika kwa ndoa yao.Nikiangalia comments zako nyingi nagudua kuwa umekaa kiushabiki sana, sishangai sana kwakua huku ndo dunia ilipofikia.Ningependa ukumbuke kitu kimoja, ya mwenzako yasikie ila omba sana yasikupate.Ilitakiwa utulie na upate cha kujifunza na sio kushabikia unless uwe unalipwa.Be humbled.
Nimekuelewa, siwez kukuchagulia cha kujifunza.Ikitokea yakwako yameenda kombo pia, usisahau kufungua uzi, ili na sisi tufurahie kidogo mkuu.Hata nisiposhabikia, kama yangu ni ya kwenda kombo yataenda tu, kwani Mabeste na Mkewe walishabikia ya nani?
Sijafurahi ila nimejifunza kitu katika suala lao na nimeliweka wazi kwenye uzi huu. Sasa sijui unataka kunichagulia cha kujifunza!
Huyu mc pilipili muda si mrefu tutapata yakeUkidate au kuoa mwanamke mzuri kaa tayari kwa matokeo yoyote iwe umefulia au bado una pesa zao.
Nikki sijui wa pili sijui mbishi awe makini sana na yule pilipili pia(haka kajamaa kanaweza kujinyonga kabisa,kamezama mzima mzima)
Kuna video anadai kuumwa kwake alilogwa na ndugu... Au sijaelewa vizuri??!!Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la kuaibishana au kusemana mtandaoni kwa wanandoa ambao wameshafeli kwenye union zao.
Tulishuhudia Mihayo Wilmore na mkewe wakishambuliana mmoja kwenye podcast ya Men Men Men, mwingine akahojiwa na Clouds pamoja na kuvujisha video.
Kisha msanii Stamina akatoa wimbo pamoja na kufanya interview akieleza wazi wazi kuwa kachapiwa na hataki iwe siri ya ndani na akamtaja alommega mkewe kuwa eti ni mchezaji wa Simba.
Wakati bado anga lina vumbi ikaja issue ya Msanii Venance William 'Mabeste' na Mkewe Lisa Karl Fickenscher kuwasuprise fans kuwa wameshatalikiana huku kila mmoja akivuta kamba upande wake kuwa kaonewa.
Niliangalia interview za hawa watu wawili na ninachoweza kusema ni kuwa Mabeste alioa mke asiye level zake especially kiakili.
Sijui yupi ni mkweli kati yao, ila Lisa hata anavyojieleza tu you can tell alimzidi akili Mabeste. Sijasema ana akili saana ila zikiwekwa zake na mabeste kwenye mzani tofauti ni kubwa sana na hapo ndo tatizo lilipoanzia.
Huyu dada anajua kupangilia maneno, ana the right facial expression, hajajichanganya hata kidogo, hajaonesha chuki wala kupiga ngenga, kwa kifupi kamuaibisha Mabeste with class kwa kupitia kwenye weakness zake na kujifanya kama vile hana shida nazo kumbe ndo anatoboa meli.
Mabeste on the other hand, kakimbilia lile lile ambalo wanaume wote hukimbilia, "ooh kaenda kuwa na rafiki yangu, tulikula Christmas kwao". (Kwanza wanaume mtambue tu, ukimuacha mkeo probability ya yeye kuwa na rafiki yako ni kubwa sana hasa akiwa jembe. Kwa sababu wenzio kwani hawana macho? Unadhani hawakuonei wivu unavyofaidi?)
Kisha Lisa kuhusu hilo suala ameclarify, kuwa huyo rafiki alikuwa rafiki yake yeye kwanza na Mabeste ndo akamjua. So Mabeste amebaki hana claim. Alitumia a very weak point.
Mabeste anasema "sijashirikishwa shule anayoenda kusoma mwanangu naambiwa tu kuwa kaenda shule, sijaambiwa natoaje matunzo". Yani amecheza mule mule kwenye story ya Lisa kuwa Mabeste ni Marioo hawajibiki.
Wanaume, tafuta mwanamke unayemmudu kiakili or else utalialia weeh na kusema wamemchukua sababu ya pesa, wamemchukua sababu ya mali kumbe hukutosha kiakili.
Wasalaam
We ndo wasema hvo Ila ukweli ndo huoSimulizi na Sauti sio channel ya kichochoroni!
Kijerumani. Anamwita Carl Peters ha mkubwa, unamkumbuka tumemsoma kwenye history, Kama sio mhenga hutamjua
Wale walimu wangu wa primary waliostaafu wakaoa wake wenye umri mdogo na kuwa walevi hawawezi nizidi akili hata kama walinifundisha. Sekondari kuna walimu wawili nina akika hawanifikii popote kwa vitendo wanavyofanya na wanavyoendesha maisha yao.Kuna wanawake wengi waliozidi akili waume zao lakini hawajachana. Michelle Obama alikuwa law practice teacher wa Barrack na walichanganya akili zao kufika walipofika.
Nina jaribu Sana kumuweka mama watoto mbali na mitandao ya kijamii na kuto kumfanya awe mtembeaji pasina sababu za msing na kumjengea mazoea ya kuto kuvaa nguo zisizo na staha na ze matamanioHamna sababu ya msingi hapo. Tatizo ni kuchokana tu na mmoja akishamchoka mwenzie basi atatafuta sababu au kuanza visa.
Mitandao imefanya wanawake na mabinti wawe exposed sana so hata kama mwanamke kaolewa anakua bado anajiachia sana na jamaa wengine wakimuona wataanza kuingilia ndoa ya watu
Wanawake zamani hata kutoka tu kwao ilikua ni mpaka awe na ruhusa ya mzazi au mme wake, hii ilisaidia kufanya asionekane sana kwa wasiohusika nae lkn siku hz kama usipomuona mtaani basi utamuona fb, insta au kwenye videos pendwa
Ahahahaha jamaa cjui n mchaga wa wapHuyu Mabeste kabila gan? Mbona pumba nyingi?