Ya msanii Mabeste na mkewe hutokea pale mwanamke anapomzidi akili mumewe

Hata nisiposhabikia, kama yangu ni ya kwenda kombo yataenda tu, kwani Mabeste na Mkewe walishabikia ya nani?

Sijafurahi ila nimejifunza kitu katika suala lao na nimeliweka wazi kwenye uzi huu. Sasa sijui unataka kunichagulia cha kujifunza!
 
Hata nisiposhabikia, kama yangu ni ya kwenda kombo yataenda tu, kwani Mabeste na Mkewe walishabikia ya nani?

Sijafurahi ila nimejifunza kitu katika suala lao na nimeliweka wazi kwenye uzi huu. Sasa sijui unataka kunichagulia cha kujifunza!
Nimekuelewa, siwez kukuchagulia cha kujifunza.Ikitokea yakwako yameenda kombo pia, usisahau kufungua uzi, ili na sisi tufurahie kidogo mkuu.
 
Kuna video anadai kuumwa kwake alilogwa na ndugu... Au sijaelewa vizuri??!!

All in all mwanamke hadi anakuacha huwa anaandaa point za kujitetea mapema sana, kiasi kwamba anaweza neutralize mazuri yote uliyowahi kumfanyia kwa kosa moja tuu... So sishangai kuonekana anapoint nyingi.

Hawezi kupata akili ya kujitetea kwa sasa sababu moja kwa moja kisaikolojia hayupo sawa hata ukimuona anavyoongea...

Na mwanamke wake kwa alichofanya hatokuja kuamini kikimrudia, kama alichofanya ni sahihi tutajua. Kama Ayubu pia mke wake alivyoona anapitia msoto hadi akafikia hatua akamshauri mume wake aache kumtumikia Mungu wake... Lakini alibaki mpaka jamaa alivyo barikiwa tena.

So ni kwaakili ipi aliyo tumia Lisa... What if uamizi wake ungemfanya mzazi mwenzie ajiue??

How come umeolewa ndoa ya kanisani alafu bado unaomba Mungu akule Mwanaume mwingine...

Karma is a bitch who f#ks every body...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha akili wala nini mwanamke kupangalia maneno ndo akili halafu mabeste wala hakutaka kueleza juu ya maisha yao ila alieleza kwanini ndoa yao ilivunjika kwa sababu watu wengi walivutiwa na ndoa yao na pia walitaka kujua nini kiliwasibu, huyo mwanamke kuona kaumbuka kutoka na rafiki wa mabeste ndo anajieleza story za uongo na kweli kwani ni uongo haishi na huyo rafiki wa mabeste au ndio hiyo akili unayoisema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakubali kuwa Mabeste alizidiwa akili. Kama sio akili basi tupunguze tuseme uwezo wa kujieleza.
 
Kuna wanawake wengi waliozidi akili waume zao lakini hawajachana. Michelle Obama alikuwa law practice teacher wa Barrack na walichanganya akili zao kufika walipofika.
Wale walimu wangu wa primary waliostaafu wakaoa wake wenye umri mdogo na kuwa walevi hawawezi nizidi akili hata kama walinifundisha. Sekondari kuna walimu wawili nina akika hawanifikii popote kwa vitendo wanavyofanya na wanavyoendesha maisha yao.
 
Nina jaribu Sana kumuweka mama watoto mbali na mitandao ya kijamii na kuto kumfanya awe mtembeaji pasina sababu za msing na kumjengea mazoea ya kuto kuvaa nguo zisizo na staha na ze matamanio

Tunachokosea Ni kwamba wanaume tunataka kuwa sawa na wanawake yaaan Kama mnafanya Kaz Basi 50/50 nyumbani

Hapo lazima utawaliwe tu na akupande na afanye atakavyo wanaume tunakimbia majukumu yetu Yale halisi mke wangu Ni mtumish ila nilishamwambia huna hela ya kulisha familia yangu Wala kusomesha hvyo visent vyako nunua vocha na ukizingua nakupiga chini naweka mwingne fanya upumbavu wako ila nisijue tu nikigundua tu hakuna Cha nn Ni kupiga chin TU

Mpka Leo heshima na adabu na amenyooka tutafute hela wanaume ukileta romantic love kwa mkeo atakusumbua Sana Tena Sana na hich ndio huwaponza vijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Too bad mimi ni sexist, nikichangia huu uzi nitakuwa biased kinoma noma..
 
Wanaume wa siku hizi mnakosea wapi? Akili huwa mnaziacha wapi wakati wa kuchagua mke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…