Ya msanii Mabeste na mkewe hutokea pale mwanamke anapomzidi akili mumewe

Ya msanii Mabeste na mkewe hutokea pale mwanamke anapomzidi akili mumewe

mi nachojiuliza huyu lisa wakati anaolewa hakuijua hali yamaisha ya mabeste??
nakama ndoa ni kuvumiliana katika shida na raha, kwanini asivumilie wakati washida??
wanaowadungua uhai hawa viumbe hawakosei maana wanamadharau sana wakishapata madanga
 
Ukidate au kuoa mwanamke mzuri kaa tayari kwa matokeo yoyote iwe umefulia au bado una pesa zao.

Nikki sijui wa pili sijui mbishi awe makini sana na yule pilipili pia(haka kajamaa kanaweza kujinyonga kabisa,kamezama mzima mzima)
mbishi hana mambo ayo wa pili ndio kazama mazima mazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisikiliza zile clip zao utagundua kabisa Mabeste ni muongo wa kutupwa. Sababu alizozisema za yeye kuachwa na mke wake hazina mashiko kabisa, yani ni sababu za kitoto na inaonekana ni mtu ambaye hakuwa tayari kuingia kwenye majukumu ya ndoa.

Hebu imagine mwanaume analalamika eti mama watoto amewapeleka shule bila ya kuniuliza mimi tuwapeleke shule gani? Hivi kati ya mwanaume na mwanamke ni nani wa kuanzisha hii discussion? Halafu watoto kupelekwa shule ya gharama sio tatizo as long as wamelipiwa, kwa nini kama kweli una nia ya kuwalea wanao usichangie chochote?

Katika kitendo ambacho ni cha fedheha ni kile ambapo mke wake alimkopea mahari kwa rafiki yake kwa kuweka bond gari[emoji23][emoji23][emoji23]. Akaenda kulipa then wakairudishiwa ili wakakomboe. Hapa mama mkwe na mwanae walifanya hivi ili kuokoa jahazi maana mchizi alishaishiwa mbinu kabisa. Cha kusikitisha mpaka leo mchizi hajapeleka hiyo mahari na anajitetea kwa mama mkwe eti mwanae alimforce kumuoa yeye hakuwa tayari[emoji23][emoji23][emoji23].

Yani Mabeste inabidi aje na utetezi mwingine, lkn kwa huo uharo alioongea hakuna wa kumuamini.


Unforgetable
sawa Kaka ake na Lisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwandishi aliye muhoji lissa
mtoa bandiko, nyie watu wawili kiukweli huyu lissa anawazidi akili

huyu mwandishi anahojiwa yeye badala ya kuhoji, wewe nae unashindwa gundua ilo zaidi unaona lissa yuko smart kuliko mabeste

hapana lissa yuko smart kuliko ww na mwandishi.
 
Bila kupepesa macho, kaka zetu mnakazi kweli, wanawake wanachoka kuvumilia tabu, wengi wanawake wanakimbia familia zao kisa pale mambo yanapoenda ovyo.
Mabeste kasaidiwa sana na lisa mziki wake na nk Lisa kachoka mwanaume kipensi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwandishi aliye muhoji lissa
mtoa bandiko, nyie watu wawili kiukweli huyu lissa anawazidi akili

huyu mwandishi anahojiwa yeye badala ya kuhoji, wewe nae unashindwa gundua ilo zaidi unaona lissa yuko smart kuliko mabeste

hapana lissa yuko smart kuliko ww na mwandishi.

Hata kuweza kufanya hivyo ni akili. Unadhani kila mtu anaweza kucontrol interview namna hiyo?

Kubali tu huyu binti Mabeste hakutosha upstairs.
 
Lisa ni smart upstairs, Mabeste aache ujuha akubali tu na a move on unamuweka mtu mdomoni wa nini sasa.
 
Muuliza maswali hajaitendea haki hadhira.

Kwanza unamuhoji vipi mtu masaa matatu hakuna maji mezani wala tissue?

Pili, uulizaji maswali wa huyu jamaa umekuwa wa kishamba sana. Yani huyu dada ndo anampelekesha mwenye kipindi.

Kuna maswali huyu dada alitakiwa kuulizwa. Muulizaji ameishia kukimbilia kutafuta viewers.

HAKUJIPANGA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika!
 
Ukisikiliza zile clip zao utagundua kabisa Mabeste ni muongo wa kutupwa. Sababu alizozisema za yeye kuachwa na mke wake hazina mashiko kabisa, yani ni sababu za kitoto na inaonekana ni mtu ambaye hakuwa tayari kuingia kwenye majukumu ya ndoa.

Hebu imagine mwanaume analalamika eti mama watoto amewapeleka shule bila ya kuniuliza mimi tuwapeleke shule gani? Hivi kati ya mwanaume na mwanamke ni nani wa kuanzisha hii discussion? Halafu watoto kupelekwa shule ya gharama sio tatizo as long as wamelipiwa, kwa nini kama kweli una nia ya kuwalea wanao usichangie chochote?

Katika kitendo ambacho ni cha fedheha ni kile ambapo mke wake alimkopea mahari kwa rafiki yake kwa kuweka bond gari[emoji23][emoji23][emoji23]. Akaenda kulipa then wakairudishiwa ili wakakomboe. Hapa mama mkwe na mwanae walifanya hivi ili kuokoa jahazi maana mchizi alishaishiwa mbinu kabisa. Cha kusikitisha mpaka leo mchizi hajapeleka hiyo mahari na anajitetea kwa mama mkwe eti mwanae alimforce kumuoa yeye hakuwa tayari[emoji23][emoji23][emoji23].

Yani Mabeste inabidi aje na utetezi mwingine, lkn kwa huo uharo alioongea hakuna wa kumuamini.


Unforgetable
Ilikuwa fedheha ilioje
 
Ukidate au kuoa mwanamke mzuri kaa tayari kwa matokeo yoyote iwe umefulia au bado una pesa zao.

Nikki sijui wa pili sijui mbishi awe makini sana na yule pilipili pia(haka kajamaa kanaweza kujinyonga kabisa,kamezama mzima mzima)
Countrywide
 
Ukidate au kuoa mwanamke mzuri kaa tayari kwa matokeo yoyote iwe umefulia au bado una pesa zao.

Nikki sijui wa pili sijui mbishi awe makini sana na yule pilipili pia(haka kajamaa kanaweza kujinyonga kabisa,kamezama mzima mzima)
U saw it coming.....
 
Back
Top Bottom