Hakuna lecture aliyezidiwa akili na mwanafunzi wake.Unaamini walimu wako wote wamekuzidi akili?
mbishi hana mambo ayo wa pili ndio kazama mazima mazima.Ukidate au kuoa mwanamke mzuri kaa tayari kwa matokeo yoyote iwe umefulia au bado una pesa zao.
Nikki sijui wa pili sijui mbishi awe makini sana na yule pilipili pia(haka kajamaa kanaweza kujinyonga kabisa,kamezama mzima mzima)
sawa Kaka ake na Lisa.Ukisikiliza zile clip zao utagundua kabisa Mabeste ni muongo wa kutupwa. Sababu alizozisema za yeye kuachwa na mke wake hazina mashiko kabisa, yani ni sababu za kitoto na inaonekana ni mtu ambaye hakuwa tayari kuingia kwenye majukumu ya ndoa.
Hebu imagine mwanaume analalamika eti mama watoto amewapeleka shule bila ya kuniuliza mimi tuwapeleke shule gani? Hivi kati ya mwanaume na mwanamke ni nani wa kuanzisha hii discussion? Halafu watoto kupelekwa shule ya gharama sio tatizo as long as wamelipiwa, kwa nini kama kweli una nia ya kuwalea wanao usichangie chochote?
Katika kitendo ambacho ni cha fedheha ni kile ambapo mke wake alimkopea mahari kwa rafiki yake kwa kuweka bond gari[emoji23][emoji23][emoji23]. Akaenda kulipa then wakairudishiwa ili wakakomboe. Hapa mama mkwe na mwanae walifanya hivi ili kuokoa jahazi maana mchizi alishaishiwa mbinu kabisa. Cha kusikitisha mpaka leo mchizi hajapeleka hiyo mahari na anajitetea kwa mama mkwe eti mwanae alimforce kumuoa yeye hakuwa tayari[emoji23][emoji23][emoji23].
Yani Mabeste inabidi aje na utetezi mwingine, lkn kwa huo uharo alioongea hakuna wa kumuamini.
Unforgetable
mwandishi aliye muhoji lissa
mtoa bandiko, nyie watu wawili kiukweli huyu lissa anawazidi akili
huyu mwandishi anahojiwa yeye badala ya kuhoji, wewe nae unashindwa gundua ilo zaidi unaona lissa yuko smart kuliko mabeste
hapana lissa yuko smart kuliko ww na mwandishi.
Mabeste hajazidiwa uwezo wa akili. Ukimuangalia anavyoongea jamaa ameharibika kisaikolojia kwa yaliyomkuta mpaka anashindwa kuongea vizuri.Mimi nakubali kuwa Mabeste alizidiwa akili. Kama sio akili basi tupunguze tuseme uwezo wa kujieleza.
Umeniita?
Hakika!Muuliza maswali hajaitendea haki hadhira.
Kwanza unamuhoji vipi mtu masaa matatu hakuna maji mezani wala tissue?
Pili, uulizaji maswali wa huyu jamaa umekuwa wa kishamba sana. Yani huyu dada ndo anampelekesha mwenye kipindi.
Kuna maswali huyu dada alitakiwa kuulizwa. Muulizaji ameishia kukimbilia kutafuta viewers.
HAKUJIPANGA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa fedheha iliojeUkisikiliza zile clip zao utagundua kabisa Mabeste ni muongo wa kutupwa. Sababu alizozisema za yeye kuachwa na mke wake hazina mashiko kabisa, yani ni sababu za kitoto na inaonekana ni mtu ambaye hakuwa tayari kuingia kwenye majukumu ya ndoa.
Hebu imagine mwanaume analalamika eti mama watoto amewapeleka shule bila ya kuniuliza mimi tuwapeleke shule gani? Hivi kati ya mwanaume na mwanamke ni nani wa kuanzisha hii discussion? Halafu watoto kupelekwa shule ya gharama sio tatizo as long as wamelipiwa, kwa nini kama kweli una nia ya kuwalea wanao usichangie chochote?
Katika kitendo ambacho ni cha fedheha ni kile ambapo mke wake alimkopea mahari kwa rafiki yake kwa kuweka bond gari[emoji23][emoji23][emoji23]. Akaenda kulipa then wakairudishiwa ili wakakomboe. Hapa mama mkwe na mwanae walifanya hivi ili kuokoa jahazi maana mchizi alishaishiwa mbinu kabisa. Cha kusikitisha mpaka leo mchizi hajapeleka hiyo mahari na anajitetea kwa mama mkwe eti mwanae alimforce kumuoa yeye hakuwa tayari[emoji23][emoji23][emoji23].
Yani Mabeste inabidi aje na utetezi mwingine, lkn kwa huo uharo alioongea hakuna wa kumuamini.
Unforgetable
CountrywideUkidate au kuoa mwanamke mzuri kaa tayari kwa matokeo yoyote iwe umefulia au bado una pesa zao.
Nikki sijui wa pili sijui mbishi awe makini sana na yule pilipili pia(haka kajamaa kanaweza kujinyonga kabisa,kamezama mzima mzima)
U saw it coming.....Ukidate au kuoa mwanamke mzuri kaa tayari kwa matokeo yoyote iwe umefulia au bado una pesa zao.
Nikki sijui wa pili sijui mbishi awe makini sana na yule pilipili pia(haka kajamaa kanaweza kujinyonga kabisa,kamezama mzima mzima)