Haipo siri kuwa safari ya mama Samia Marekani imekuwa ya mafanikio makubwa.
Hakuna shaka kuwa mazungumzo ya ana kwa ana (one to one) ya awaye yote (mwenye nia njema) na mama Samia huwa ni ya mafanikio makubwa.
Kwa hakika mama Samia si wale wengine. Huyu ni msikivu na mwenye mawazo huru (open minded). Mungu atupe nini?
Bila shaka kutokea sasa tutegemee misimamo mipya kuhusiana:
1. Katiba mpya.
2. Haki zetu zikiwamo za mikutano ya kisiasa.
3. Vita vya Ukraine na Urusi.
4. Nyimbo mpya kutoka kwa chawa wale wale.
Safari yenye fursa ya kulileta taifa pamoja, kwa hakika ni bora kuliko zozote zile.
Mungu ibariki Tanzania
Hakuna shaka kuwa mazungumzo ya ana kwa ana (one to one) ya awaye yote (mwenye nia njema) na mama Samia huwa ni ya mafanikio makubwa.
Kwa hakika mama Samia si wale wengine. Huyu ni msikivu na mwenye mawazo huru (open minded). Mungu atupe nini?
Bila shaka kutokea sasa tutegemee misimamo mipya kuhusiana:
1. Katiba mpya.
2. Haki zetu zikiwamo za mikutano ya kisiasa.
3. Vita vya Ukraine na Urusi.
4. Nyimbo mpya kutoka kwa chawa wale wale.
Safari yenye fursa ya kulileta taifa pamoja, kwa hakika ni bora kuliko zozote zile.
Mungu ibariki Tanzania