Yaandaliwe Mapokezi makubwa kwa Rais Samia tokea Marekani

Yaandaliwe Mapokezi makubwa kwa Rais Samia tokea Marekani

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Haipo siri kuwa safari ya mama Samia Marekani imekuwa ya mafanikio makubwa.

Hakuna shaka kuwa mazungumzo ya ana kwa ana (one to one) ya awaye yote (mwenye nia njema) na mama Samia huwa ni ya mafanikio makubwa.

IMG_20220416_114514_839.jpg


Kwa hakika mama Samia si wale wengine. Huyu ni msikivu na mwenye mawazo huru (open minded). Mungu atupe nini?

Bila shaka kutokea sasa tutegemee misimamo mipya kuhusiana:

1. Katiba mpya.
2. Haki zetu zikiwamo za mikutano ya kisiasa.
3. Vita vya Ukraine na Urusi.
4. Nyimbo mpya kutoka kwa chawa wale wale.

Safari yenye fursa ya kulileta taifa pamoja, kwa hakika ni bora kuliko zozote zile.

Mungu ibariki Tanzania
 
Nasikia Makamu wa Rais wa Marekani alijua kwamba mwaka 2015/2020 nchi haikuwa na Rais, ilimchukua mama Samia saa nzima kumuelezea hali ilivyokuwa, hakuamini, ikabidi amuonyeshe picha na video.

Yeye alikuwa anajua JPM ni Waziri wa ujenzi,
 
Haipo siri kuwa safari ya mama Samia Marekani imekuwa ya mafanikio makubwa.

Hakuna shaka kuwa mazungumzo ya ana kwa ana (one to one) ya awaye yote (mwenye nia njema) na mama Samia huwa ni ya mafanikio makubwa.

View attachment 2189466

Kwa hakika mama Samia si wale wengine. Huyu ni msikivu na mwenye mawazo huru (open minded). Mungu atupe nini?

Bila shaka kutokea sasa tutegemee misimamo mipya kuhusiana:

1. Katiba mpya.
2. Haki zetu zikiwamo za mikutano ya kisiasa.
3. Vita vya Ukraine na Urusi.
4. Nyimbo mpya kutoka kwa chawa wale wale.

Safari yenye fursa ya kulileta taifa pamoja, kwa hakika ni bora kuliko zozote zile.

Mungu ibariki Tanzania
Kinacho haribu viongozi wa ccm ni sifa zilio pitiliza na wapembe wao wanao tegemea siasa kupata daily bread, Raisi ulicho fanya ni kawaida na ni haki kwa wa tznia wote, sio favour
 
Nasikia Makamu wa Rais wa Marekani akijua kwamba mwaka 2015/2020 nchi haikuwa na Rais, ilimchukua mama Samia saa nzima kumuelezea hali ilivyokuwa, hakuaminu, ikabidi amuonyeshe picha na video.

Yeye alikuwa anajua JPM ni Waziri wa ujenzi,
Du!
 
Haipo siri kuwa safari ya mama Samia Marekani imekuwa ya mafanikio makubwa.

Hakuna shaka kuwa mazungumzo ya ana kwa ana (one to one) ya awaye yote (mwenye nia njema) na mama Samia huwa ni ya mafanikio makubwa.

View attachment 2189466

Kwa hakika mama Samia si wale wengine. Huyu ni msikivu na mwenye mawazo huru (open minded). Mungu atupe nini?

Bila shaka kutokea sasa tutegemee misimamo mipya kuhusiana:

1. Katiba mpya.
2. Haki zetu zikiwamo za mikutano ya kisiasa.
3. Vita vya Ukraine na Urusi.
4. Nyimbo mpya kutoka kwa chawa wale wale.

Safari yenye fursa ya kulileta taifa pamoja, kwa hakika ni bora kuliko zozote zile.

Mungu ibariki Tanzania
Tusubiri vijipesa kidogo..vya kukabiliana na athari za kiuchumi zilizoletwa na vita vya Ukraine na urusi.

Hizo tutazielekeza kwenye kujenga majengo ya wamachinga nchi nzima.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haipo siri kuwa safari ya mama Samia Marekani imekuwa ya mafanikio makubwa.

Hakuna shaka kuwa mazungumzo ya ana kwa ana (one to one) ya awaye yote (mwenye nia njema) na mama Samia huwa ni ya mafanikio makubwa.

View attachment 2189466

Kwa hakika mama Samia si wale wengine. Huyu ni msikivu na mwenye mawazo huru (open minded). Mungu atupe nini?

Bila shaka kutokea sasa tutegemee misimamo mipya kuhusiana:

1. Katiba mpya.
2. Haki zetu zikiwamo za mikutano ya kisiasa.
3. Vita vya Ukraine na Urusi.
4. Nyimbo mpya kutoka kwa chawa wale wale.

Safari yenye fursa ya kulileta taifa pamoja, kwa hakika ni bora kuliko zozote zile.

Mungu ibariki Tanzania
Tunaendelea kupoteza mabilioni.
 
umenena Mkuu.
Tumuunge Mkono Rais wetu kwa kazi nzuri anayo ifanya kwa masilahi ya Nchi yetu.
Muungeni mkono kwa kufanya kazi na kuacha ufisadi sio kwa kupoteza muda kwenda kiwanja cha ndege; sio mnapoteza muda wenu tu bali hata mafuta ya magari mnayotumia ambayo yamekuwa adimu!
 
... kwa Mh. Rais kugusia suala la Katiba Mpya ambayo ndio ajenda kuu ya Chadema kwa sasa; Mh. Mbowe, Bavicha, na Bawacha wanatakiwa wawe kwenye mapokezi ya Mh. Rais mara atakaporejea. Chadema wamuunge mkono Mh. Rais kwa kuonesha nia njema.
 
Tunaendelea kupoteza mabilioni.

Kwa kutambua umuhimu wa kuwasikiliza watu wanasema nini ataokoa maisha ambayo yangepotea.

Ni heri kupoteza mabilioni kuliko kupoteza watu.

Mama apewe uungwaji mkono kumpa moyo wa concessions zaidi.

Inajulikana walamba asali wamenuna!
 
Back
Top Bottom